Baada ya CHADEMA kula ruzuku peke yake bila kuvigawia vyama shirika uchaguzi wa 2015 Msajili abadili kanuni na kuweka masharti magumu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,597
141,411
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.

Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.

Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini

Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!
 
Ado Shaibu amesema wao (ACT-Wazalendo) wataungana na vyama vinavyohitaji kufanya hivyo na huyo msajili hana uwezo wa kuwazuia.
 
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.

Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.

Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini

Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!

Pesa ya ruzuku ni ya umma, na ikitoka inatoka kwa maandishi, je cdm wangewapa vyama vingine, wangeandika wanawalipa hivyo vyama vingine wanavyolipa kwa utaratibu gani wa kisheria? Je hao ukawa walikuwa na account ya fedha ya pamoja, ambayo kila chama kilichangia huko hela ya kampeni, lakini baada ya uchaguzi cdm ikachukua yenyewe hiyo fedha kwenye huo mfuko? Nimeshukuru muda wa kuungana kisheria umepita, maana kuungana kwa vyama ni kutafuta matatizo yasiyo na msingi wowote. Hao NCCR sasa hivi wanafadhiliwa na ccm, kuna popote wanasainiana kisheria kuwa wanalipana ili kuwawezesha NCCR kutumika kwa maslahi ya ccm?
 
Pesa ya ruzuku ni ya umma, na ikitoka inatoka kwa maandishi, je cdm wangewapa vyama vingine, wangeandika wanawalipa hivyo vyama vingine wanavyolipa kwa utaratibu gani wa kisheria? Je hao ukawa walikuwa na account ya fedha ya pamoja, ambayo kila chama kilichangia huko hela ya kampeni, lakini baada ya uchaguzi cdm ikachukua yenyewe hiyo fedha kwenye huo mfuko? Nimeshukuru muda wa kuungana kisheria umepita, maana kuungana kwa vyama ni kutafuta matatizo yasiyo na msingi wowote. Hao NCCR sasa hivi wanafadhiliwa na ccm, kuna popote wanasainiana kisheria kuwa wanalipana ili kuwawezesha NCCR kutumika kwa maslahi ya ccm?
Ndio maana msajili kasema wataungana kisheria badala ya kuungana kihuni na kusababisha hayo uliyoyauliza kutokea.
 
Pesa ya ruzuku ni ya umma, na ikitoka inatoka kwa maandishi, je cdm wangewapa vyama vingine, wangeandika wanawalipa hivyo vyama vingine wanavyolipa kwa utaratibu gani wa kisheria? Je hao ukawa walikuwa na account ya fedha ya pamoja, ambayo kila chama kilichangia huko hela ya kampeni, lakini baada ya uchaguzi cdm ikachukua yenyewe hiyo fedha kwenye huo mfuko? Nimeshukuru muda wa kuungana kisheria umepita, maana kuungana kwa vyama ni kutafuta matatizo yasiyo na msingi wowote. Hao NCCR sasa hivi wanafadhiliwa na ccm, kuna popote wanasainiana kisheria kuwa wanalipana ili kuwawezesha NCCR kutumika kwa maslahi ya ccm?
Acha hiyo, acha hiyo, laaa matusi ya mbali ya kisiasa yaani NCCR na Mbatia amekuwa Mukya wa CCM.
 
Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.
Mwambie hivi, Vyama vya siasa havipo kwa ajili ya kunufaika na ruzuku, vipo kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi. Kama ametumwa kuitetea NCCR basi ajue yuko nje ya wakati, sasa hivi hao watu ni wachumba wa CCM
 
Mwambie hivi, Vyama vya siasa havipo kwa ajili ya kunufaika na ruzuku, vipo kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi. Kama ametumwa kuitetea NCCR basi ajue yuko nje ya wakati, sasa hivi hao watu ni wachumba wa CCM
Vipo kwa ajili ya ruzuku tu hata mbowe alivyoulizwa mbona umebadili gia angani (kumuuzia nafasi ya mgombea uraisi lowasa kwa vipande vya pesa) alijibu lowasa ataongeza kura za uraisi ili tupate ruzuku kubwa
 
Ndio maana msajili kasema wataungana kisheria badala ya kuungana kihuni na kusababisha hayo uliyoyauliza kutokea.

Nccr walikuwa wanalalamika baada vya kuahidiwa kubebwa na ccm, kama sehemu ya kuhadaa umma kuwa wanajitoa ukawa, maana hawakuwa wanapata mgao wa ushirikiano wa Ukawa, wakati wanajua haikuwa ushirikiano wa kugawana ruzuku. Labda Mbatia angesema hiyo ruzuki yake ya yeye kuwa mbunge, kuwa huwa anawagawia chama cha NLD maana nao walikuwa ndani ya ukawa.
 
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.

Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.

Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini

Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!
Kiboko ya matapeli,hasa chadomo
 
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.

Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.

Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini

Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!
Kwani kushirikiana ni lazima huo ni ushirikiano wa hiyari ukipenda unaingia usipotaka unaenda kivyako kama ilivyokuwa SAU,

Atuambie TLP wameahidiwa nini na CCM kwa kumuunga mkono Magufuli.
 
Nccr walikuwa wanalalamika baada vya kuahidiwa kubebwa na ccm, kama sehemu ya kuhadaa umma kuwa wanajitoa ukawa, maana hawakuwa wanapata mgao wa ushirikiano wa Ukawa, wakati wanajua haikuwa ushirikiano wa kugawana ruzuku. Labda Mbatia angesema hiyo ruzuki yake ya yeye kuwa mbunge, kuwa huwa anawagawia chama cha NLD maana nao walikuwa ndani ya ukawa.
Hivi Ukawa ilikuwa bado ipo?
Je, vyama vilivyoshirikiana na ukawa vilikuwa vinafaidi matokeo ya ukawa?
 
Back
Top Bottom