johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,597
- 141,411
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.
Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.
Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini
Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!
Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.
Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini
Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!