test

  1. Meneja Wa Makampuni

    Nearly all men can stand adversity, but if you want to test a man’s character, give him power. Abraham Lincoln

    Tujadili haya maneno, yalikua na maana gani. Nearly all men can stand adversity, but if you want to test a man’s character, give him power. Abraham Lincoln
  2. T

    Rais Samia Suluhu Hassan's first major test

    Nangoja kwa hamu sana hapo tarehe 30 Juni, when the BOT report that president Samia Hassan ordered for will finally be handed over to her, nasubiri sana kuona kitakachotokea kwa watakaotajwa, na pia kama wahusika watatajwa wazi bila Rais Samia kuficha majina yao, na sababu waziri wa fedha wakati...
  3. Replica

    Rais Samia Suluhu kuhutubia Bunge Alhamisi Aprili 22, 2021

    Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Rais Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge Alhamisi Aprili 22 2021 jioni Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa Mama Samia kulihutubia Bunge tangu alipoapishwa kuwa Rais Machi 19 mwaka huu. === Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
  4. Analogia Malenga

    Raila Odinga akutwa na COVID-19

    Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida za mapafu lakini...
  5. Rebeca 83

    Tujaribu dhana ya kujiajiri kupitia kilimo kwa wahitimu wetu

    Hello JF, Msinicheke ila leo nimewaza kwa nini sisi wana JF tusijaribu hii nadharia inayosemwa kila siku watu wajiajiri kupitia kilimo? Najua JF tulishawahi kuwa na kitu kama hiki ila ilikua kwa baadhi ya watu, sijui ilipata changamoto gani? Graduates ni wengi sana. Arable land ni kubwa tu...
  6. Mathanzua

    The WHO finally admits that the PCR test produces countless false positives COVID-19 positives.But why now?

    Posted on December 20, 2020 by State of the Nation Warnings concerning high CT value of tests are months too late…so why are they appearing now? The potential explanation is shockingly cynical. Kit Knightly Off Guardian The World Health Organization released a guidance memo on December 14th...
  7. CONTROLA

    Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

    Hii imezoeleka na sasa hivi imeshakuwa kama kawaida yetu wanaume wote kuambiwa tunapenda kutest mitambo hata kabla ya chochote kile,sawa tumekubali hii kwetu (hasa mimi) kukaa na wewe kama kaka na dada eti nasubiri siku ya ndoa ndio tukwichi kwichi Uvumilivu na ujinga huo sina. Nikae nasubiri...
  8. H

    COVID-19 test ya nyumbani

    Nimesikia jinsi gani wanavyofanya test ya COVID-19/ Corona pale Ujerumani. Ni njia nyepesi unaweza kuifanya kwako nyumbani. Hapa taarifa: 1) Kwanza chukua chupa cha bia. Fungua na peleka chupa karibu na pua. Je unaweza kunusa kitu? Kama ndiyo, hii ni vizuri. Maana kupotea uwezo wa kunusa ni...
  9. Analogia Malenga

    Kenya’s COVID-19 cases rise to 23,202 after 605 more patients test positive and 6 dead

    Kenya has recorded 605 more COVID-19 cases after testing of 4,547 samples, pushing the country’s total caseload to 23,202. In a press briefing on Tuesday, Health CAS Dr. Rashid Aman also announced that six more patients had succumbed to the coronavirus disease bringing the number of fatalities...
  10. S

    Another White House worker test positive for coronavirus

    Trump administration officials were reportedly notified Wednesday night that a cafeteria worker on the White House grounds has tested positive for the Coronavirus. The employee worked at a cafeteria in the Eisenhower Executive Office Building, located just across West Executive Avenue, which...
  11. Nyendo

    Coronavirus cases in Kenya hit 10,105 after 379 more people test positive

    Watu 379 zaidi watangazwa kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus na kufanya maambukizi kufikia 10,105. Katika maambukizi mapya 376 ni wakenya na 3 ni wageni. Pia watu 49 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 2,881. Vifo vya #COVID19 nchini humo vimefikia 185 baada ya mtu mmoja...
  12. Influenza

    Kenya's coronavirus cases near the 9,000 mark as 447 test positive

    Kenya has confirmed 447 more cases of the novel coronavirus, bringing the tally of confirmed cases to 8,975, Health CS Mutahi Kagwe has announced. CS Kagwe was speaking in Mombasa on Thursday during the daily coronavirus briefing. The new cases are from 3,803 samples tested in Kenya in the...
  13. Mlachake

    I have lost taste in listening to local radio stations especially while driving to work

    I was a fan of one of these Dar Es Salaam local Radio stations especially listening on my way to the office each morning, But of recent I found my self loosing test in all these redios, Am not sure if its the 100s of adverts aired or what. Nowadays if am not in a mood to listen to music in my...
  14. Pdidy

    The Acid test of God's will

    Wrong relationships can ruin you. You can't afford to pick the wrong spouse. If it is not God's will and you end up marrying them, you are doomed! Marrying the wrong person is as serious as that. What most singles call God's will today is nothing but an exercise in foolishness, ignorance...
  15. Suley2019

    Visa vya Covid 19 vimeongezeka na kufikia 5,533 nchini kenya baada wagonjwa 149 kupatikana leo

    Wizara ya Afya ya nchini Kenya leo ijumaa imethibitisha visa vipya 149 vya Covid 19 na kufanya jumla ya maambukizi katika taifa hilo kufikia 5,533. Katibu Mkuu wa Afya Dkt Rashid Aman, akihutubia waandishi wa habari wakati akitoa sasisho za kila siku za COVID-19, alisema idadi hiyo ya Wagonjwa...
  16. M

    Magufuli’s great crime was that he decided to test the testers

    f black lives matter, then why are African leaders with a different take on Covid-19 being taunted? Neil Clark is a journalist, writer, broadcaster and blogger. His award winning blog can be found at www.neilclark66.blogspot.com. He tweets on politics and world affairs @NeilClark66 24 Jun, 2020...
  17. Influenza

    COVID-19 in Kenya: 90 more people test positive, total rises to 3,305

    90 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of positive cases in the country to 3,305. Health CAS Rashid Aman said all the new patients are Kenyans: 62 are male while 28 are female. The youngest of them is 14 years old while the oldest is 80 years old...
  18. Geza Ulole

    Baba ataka DNA test baada ya watoto kutaka kumuua kwa kugombania mali yake

    ====== Mzee Jackson Kibor now wants his six sons subjected to DNA test Controversial Eldoret tycoon Mzee Jackson Kibor has vowed to have DNA tests conducted on his six sons to ascertain if he is their biological father before they can inherit his property. According to Mr Kibor, he did not...
  19. C

    COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli

    Suala hili niliwahi kuliandikia post mahali, lakini nimeonelea kulianzishia uzi ili kulifafanua kwa undani zaidi. Katika kuhalalisha hoja ya JPM kulisha maparachichi na maboga test kits za COVID-19, Wafuasi wa JPM wamekuwa mara kwa mara wakitumia hoja kwamba hizi mashine sehemu nyingi duniani...
  20. Nigrastratatract nerve

    CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

    Msimamo usioyumbishwa! Hiyo ndiyo picha aliyoitengeneza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, baada ya kueleza waziwazi mashaka yake juu ya mashine zinazotumika kupima sampuli za wagonjwa wa Corona. Akizungumza kutokea Chato, mkoani Geita wakati wa hafla fupi ya...
Back
Top Bottom