Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Habari za muda huu
Kama wiki imepita nilifanya Aptitude test ya Alistair Company sasa juzi wamenitumia majibu yangu kwamba nimefaulu
Kuna mtu hapa alishawahi kufaulu hii test yao ? Na je baada ya kufaulu nini kilifuata ?
Mana mimi wameniambia kwamba timu yao ya kuajiri ina screen Cv yangu ila sijajua nini kinafuata
Naomba kwa yoyote mwenye ufahamu anijuze
Ahsante
Kama wiki imepita nilifanya Aptitude test ya Alistair Company sasa juzi wamenitumia majibu yangu kwamba nimefaulu
Kuna mtu hapa alishawahi kufaulu hii test yao ? Na je baada ya kufaulu nini kilifuata ?
Mana mimi wameniambia kwamba timu yao ya kuajiri ina screen Cv yangu ila sijajua nini kinafuata
Naomba kwa yoyote mwenye ufahamu anijuze
Ahsante