test

  1. K

    Kwako waziri wa TAMISEMI, angalieni na namna ya kuwachuja wanaoomba kazi za ualimu walau hata kwa "Online aptitude test"

    Mhe.Rais wa JMT, Mhe.Waziri wa TAMISEMI Nawapongeza kwa jitihada zenu katika kutengeneza na kutoa fursa za ajira nyingi sana katika kada ya ualimu na Afya. Ni ishara njema katika kupunguza tatizo la ajira nchini. Mhe. Waziri wa TAMISEMI, maoni na mapendekezo haya ni kwa ajili ya ofisi yako...
  2. Mrs Habib

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Nmejaribu tangu muda walioweka nakuwa rejected sijui shida imekuwa nini na muda umeisha kuna yeyote aliepata shida kama yangu kazi ndo imepita hivyo
  3. A

    DOKEZO University of Dar es Salaam Business School (UDBS), kuvuja kwa mtihani (test) ya Information Management Systems (IM 305), uliofanyika tarehe 18/01/022

    Wakuu, Kama kichwa cha thread kinavyosema. Siku ya tarehe 18/02/2022 Saa saba Kamili ulifanyika mtihani wa INFORMATION MANAGEMENT SYSTEMS (IM 305). Baada ya kutoka kwenye mtihani huo, wanafunzi baadhi walionekana kuwa na huo mtihani kwenye simu zao, ukionekana kupigwa picha mapema kabla ya...
  4. P

    NMB amptitude test

    Wakuu ambao wamefanya amptitude test ya nmb Direct sales staff vipi wameitwa kwenye oral au bado
  5. Mathanzua

    Covid mandates and associated tyranny was a “test” to determine whether the world is ready for a new globalist system of "social credit score"

    The World Economic Forum(WEF )proudly claims that “billions” who obeyed lockdowns and mask mandates will also comply with new globalist “social credit scheme” because they are the stupid lot. It has finally been revealed and we knew this all along that Covid-19 lockdowns, mask mandates and...
  6. M

    Test your airbag here!

    Huwa naona maneno hayo yameandikwa kwenye trela za magari makubwa naamini wengi wetu tumeona pia. Yawezekani ni kichekesho ila kwangu naona kuna maana kubwa kwenye huo msemo suala ni uimara wa chombo chako endapo utagonga hilo trela ama utagongwa kwa mbele yaani uso kwa uso (head on crash or...
  7. Nyenyere

    Wapi wanafanya TOEFL exams kwa Dar es salaam?

    Wakuu naomba mnisaidie ni wapi hapa DSM wanafanya mitihani ya TOEFL kwa ajili ya kwenda US? Kuna jamma yangu ana uhitaji. Thanks
  8. BigTall

    Finland: Waziri Mkuu apimwa kubaini kama ana vimelea vya dawa za kulevya

    Waziri Mkuu wa Finland, Sanna Marin (36) amefanya vipimo vya kubaini kama ana vimelea vya dawa za kulevya ndani ya mwili wake, ikiwa ni siku chache baada ya video kuvuja ikimuonesha akicheza muziki na marafiki zake. Vipimo hivyo vimefanyika jana Agosti 19, 2022 na majibu yanatarajiwa kutoka...
  9. Marumeso

    Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

    Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au? ◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit. ◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka...
  10. MR LINKO

    Basic math test that most people get wrong

    WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
  11. Mathanzua

    Russia Develops New Test to Detect “MonkeyPox Virus” Then Creates the Vaccine for MonkeyPox in Less Than 30 Days

    Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the Americans to the market. It was named “Sputnik V,” reminding the Americans that they were the first...
  12. Mbomozo

    Aptitude Test Interview Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa nafasi ya Business Solution Officer: Big Data Analysis

    Hii Salute Ndg zangu. Kama mida ya saa 7 mchana Leo nimepokea SMS na Email ya invitation kuja Dar kwenye Aptitude test ya TCB kada tajwa hapo juu. But kutokana na kutingwa na majukum upande wangu sidhan kama nitahudhuria. Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha waliopewa taarifa ya aptitude test...
  13. K

    Naomba kufahamishwa kuhusu Computer test interview

    Habari zenu wapendwa, Jamani naomba msaada kwa aliyewahi kufanya computer test interview na shirika la Peace Corps, huwa hasa wanabase kwenye kitu gani? Asante sana
  14. MK254

    Kipevu ready for dry run test, Kenya to double oil handling capacity

    Kenya will double capacity of handling transit petroleum products starting this month from the current 35,000 tonnes as the Sh40 billion new Kipevu Oil Terminal in Mombasa is complete. President Uhuru Kenyatta is scheduled to inspect the facility accompanied by Chinese State Councilor and...
  15. R

    Je interview inayohitaji ulipie Aptitude test ni ya ukweli au longolongo?

    Naomba msaada kujua kuhusu kujilipia aptitude test..Nimepata email ya kua shortlisted lakini inatakiwa nifanye vitu viwili kwanza, moja ni kujaza fomu yao ya 'New staff entry assessment form (attached below) na kusubmit certification ya Psychometric Test Assessment (PAT) ambayo kuipata kwake ni...
  16. Ramon Abbas

    Kuna bata wangapi hapa? Test your Eyes and Count

  17. Kamanda Asiyechoka

    Nina mashaka na malaria test kit, ni bora mafundi maabara watumie hadubini kama zamani

    Zaidi ya mara nne naenda kupima naambiawa hakuna malaria. Nikiangalia mwili wangu upo hoi na hauna nguvu, watu wa hospital Hai wanapima kwa kutumia Malaria test Kit. Mbona hawatumii darubini kama zamani? Maana matokeo yanazingua jamani, mtu unaumwa alafu unaambiwa hauumwi.
  18. mathsjery

    Umewahi develop software ama kufanya chochote na window subsystem linux/WSL kama mbadala wa VM na dual boot?

    Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft walitoa WSL ambayo ina version kadhaa nadhani zimefika mbili mpaka sasa. Hii inasifika kwa kuwa na uwezo...
  19. Mparee2

    COVID-19 Test - Mbuga za Kusini zimetelekezwa

    Hadi ninavyo andika hapa hakuna hata mbuga moja ya kusini Inayofanya Covid sample collection Halafu unasikia Mtu anasema eti tuna promote mbuga za kusini watalii waende huko Mbuga hizo ni; 1. RUAHA NATIONAL PARK (pamoja na kuwa na dispensary ndani ya Park wameshindwa kuiwezesha ichukue sample?)...
  20. Zero Competition

    Msaada kwa aliewahi kufaulu Uptitude Test ya Alistair Company Ltd

    Habari za muda huu Kama wiki imepita nilifanya Aptitude test ya Alistair Company sasa juzi wamenitumia majibu yangu kwamba nimefaulu Kuna mtu hapa alishawahi kufaulu hii test yao ? Na je baada ya kufaulu nini kilifuata ? Mana mimi wameniambia kwamba timu yao ya kuajiri ina screen Cv yangu ila...
Back
Top Bottom