tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. Replica

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri kesi ya Wabunge 19 waliovuliwa uanachama Vs CHADEMA. Mahakama yaridhia Ubunge wao uendelee wakati kesi ikiendelea

    Kesi namba 16 ya mwaka 2022 iliyofunguliwa Mahakama Kuu na Wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA kupinga uamuzi wa kuwavua uanachama na mwenendo mzima wa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya Baraza la Wadhamini CHADEMA, tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendelea Mahakama Kuu...
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakubaliana na William; alikuwa sahihi kabisa. Nampongeza

    Ukiingia Jamhuri ya Twitter utakutana na Mwanamke Mmoja akilalamika kwenye chombo flani cha habari kuhusiana na suala lake la kuachwa siku ya Ndoa. Ukimsikiliza utagundua William alikuwa sahihi kabisa. Yule dada anaonekana kabisa ni kimeo. Kiukweli nampongeza William alijitahidi sana kumvumilia...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Chadema si wamoja tena? Ile live kutoka Ubelgiji haijaonekana, kuna error mahali

    Hakuna matamko tena kutoka kwa makamu Mwenyekiti Chadema Tundu Lissu Hakuna kikao alichoshiriki tena kama ilivyokuwa awali kipindi cha uchaguzi n.k Hakuna andiko lolote tena linaloihusu Chadema kutoka kwa M/kiti msaidizi, ni kiimyaaa!; kulikoni? Chadema mko salama huko? Inakuwaje wadau...
  4. mgt software

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha lawama kwenda kwa Mwendazake Kifungwe sasa. Kiongozi yeyote atakayelaumu tena afunguliwe mashitaka

    Wana JF Kumekuwa na lundo la viongozi wakitoa lawama nyingi kuzielekeza kwa mwendambinguni ikiwa ni sehemu ya kukwepea majukumu waliopewa wakashindwa kuyatimiza kwa wakati. Kwa sasa kila kukicha tunapata lawama mpya , jambo baya sana tangu JPM aondoke duniani yapata mwaka na miezi, hawa jamaa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Panya Road waibuka tena Buza, wajeruhi watu na kuchoma mtoto Bisbisi ya kichwa

    Nahisi kabisa kuna watu, wako nyuma ya kundi la hawa magaidi Lengo lao ni hii nchi isitawalike
  6. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara?

    Kwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara? Unakuta katandika mtandio /kanga analala chini eneo la biashara Credit to 6Was9
  7. prumpeti

    JamiiForums Tanzania India: Adaiwa kubakwa alipoenda Polisi kuripoti tukio la kubakwa

    Msichana wa miaka 13 anaedaiwa kubakwa na wanaume wanne nchini India ,anadaiwa kubakwa tena na Askari Police wakati alipokwenda kuomba msaada wa police na kuripoti shambulio la kwanza Mamlaka ya Uttar Pradesh ilithibitisha Kwamba police huyo amekamatwa kutokana na kitendo chake hicho kilichozua...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ndugai: Nasisitiza hakuna cha bure lazima tuvuje jasho

    Inaonekana Ndugai aliamini alichokisema pale alipopinga sera za taifa kuishi kwa kuomba omba misaada na kupelekea kujiuzulu uspika kwa shinikizo... amelirudia tena jambo lile kwa angle nyingine... Hili dhahiri ni jiwe limerushwa Ikulu, na natumaini wakubwa watapata ujumbe kwamba kuna sehemu...
  9. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
  10. babu M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Job Ndugai: Sitagombea tena ubunge 2025!

    Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa hatogombea tena nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kongwa Dodoma. Ndugai ameyasema hayo jana katika Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mpwapwa wakati wa ibada ya kuweka wakfu gari ya Pareshi ya Mtakatifu Michael...
  11. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Profesa Shivji: Wasomi wanaogopa kukosoa Serikali ili wapate teuzi. Hawana msaada tena kwa jamii ya Watanzania

    Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma -- Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye...
  12. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Makonda wa daladala pandisheni nauli za daladala, msiwe wajinga.Mbona wao wamepandisha tena bila kusubiri majadiliano.

    Habari! Mwishoni mwa mwezi April serikali na wadau wa Usafirishaji na Usafiri walifanya kikao kujadili gharama za Usafirishaji na kufikia makubaliano ya nauli mpya ambazo zingeanza kutumika katikati ya mwezi Mei. Leo asubuhi nasikia mafuta yamepanda na kuuzwa elfu 3 na ushehe kwa petroli na...
  13. Bondpost

    JamiiForums Tanzania Panya road warudi Tena mchana huu

    Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es Salaam kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji. Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya Mtongani . Jambo la ajabu kituo cha polisi kipo karibu kama mita Mia tu na hakuna...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ooh! Boney-M, Boney-M, lini utarudi tena?

    Kwa kweli nikiusikiliza wimbo wao wa "By the river of Babylon", aisee, sauti zao ni tamu mnooo!! Utafuteni YouTube mshuhudie wenyewe!!
  15. mwenye shamba

    JamiiForums Tanzania Je, aliyewahi kuacha kazi anaweza kuomba tena kazi na akapata?

    Wakuu kwema? Wayback kidogo bro wangu aliajiriwa serikalini sekta ya afya huko mtwarwa, alifanya kazi kwa miaka 3 na akaacha kazi kwa sababu anazozijua yeye. Baada ya muda kupita maisha yamemnyoosha vilivyo,nimeona juzi anadai amefanikiwa kutuma maombi Swali; Je, anaweza kuajiriwa tena?
  16. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hofu ya maji yenye sumu tena yatanda mkoani Mara

    Jipatie nakala yako
  17. snipa

    JamiiForums Tanzania Account ya Diamond Plutnumz yadukuliwa tena Leo tarehe 26 April

    Mwanamuzi kutoka Tanzania anaejulikana kama diamond Plutnumz kutoka Wasafi Account yake ya YouTube yadukuliwa Kwa mara nyingine Leo tarehe 26 April
  18. Indoraptor

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya muda gani kama hajalalia mayai?

    Habari wanajamvi, Sina uzoefu na ujuzi wa ufugaji wa kuku. Nauliza tu kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya mda gani endapo amemaliza kutaga na nimemnyima kulalia mayai?
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ukraine yafanya mashambulizi ndani ya Urusi tena karibu na Moscow

    Defenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow. Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio...
  20. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Rais Zelensky aomba tena kukutana na Rais Putin ili wamalize vita

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa tena wito wa kufanya mkutano na Rais wa Urusi Vladimir Putin katika juhudi za kumaliza vita nchini mwake. Zelensky ambaye alishawahi kuomba kukutana na kiongozi huyo amesema hakuwa na hofu ya kukutana na Putin iwapo hilo lingesababisha makubaliano ya...
Back
Top Bottom