Rammie Singh
Member
- Jul 30, 2022
- 10
- 6
Maisha ni magumu na yamejaa changamoto nyingi zisizotarajiwa
Hata hivyo, unapaswa kujiuliza mambo yafuatayo:
Kiasi gani cha mawazo na mvutano wa kifikra Unajisababisha bila sababu Kwa kujenga dhana Na kujikumbushia hofu na maumivu yaliyopita akilini mwako?
Ni mara ngapi unakataa kuachilia mambo kisa mazoea hata pale ambapo yanaapobadilika?
Ni kiasi gani huwa unajilazimisha kufanya kitu tofauti kutokana na msukosuko na mvutano katika maisha yako ?
Hata hivyo, unapaswa kujiuliza mambo yafuatayo:
Kiasi gani cha mawazo na mvutano wa kifikra Unajisababisha bila sababu Kwa kujenga dhana Na kujikumbushia hofu na maumivu yaliyopita akilini mwako?
Ni mara ngapi unakataa kuachilia mambo kisa mazoea hata pale ambapo yanaapobadilika?
Ni kiasi gani huwa unajilazimisha kufanya kitu tofauti kutokana na msukosuko na mvutano katika maisha yako ?