Mnyama simba ameliwa usiku usiku kimya kimya , baada ya kukubali kichapo cha 3-1 kutoka kwa waarabu wa morocco Raja casablanca😂😂, ila simba heshima yake apewe tu kwa hatua hiyo aliyopo, swali la kujiuliza ni kwamba kuna muelekeo wowote wa matumaini katika hatua anayoifuatia au ndio tukutane...