TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.
Habari wana jamii forum poleni sana na majukumu ya kila siku na harakati za kutokomeza hili zimwi jipya la nga'mbo linalotuandama..kwa waliofunga asalaaam aleikum mola aendelee kupokea dua zenu..haya niende moja kwa moja kwenye mada..ilikuwa mwaka 2015 sikumbuki mwezi wala terehe wakati nikiwa...
Mapigano nchini Sudan yamedumu kwa siku kadhaa, na kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha na kujeruhiwa.
Licha ya wito wa kusimamisha vita wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na mashirika mengine ya kimataifa na ya kikanda, hadi sasa, pande zinazopigana za jeshi na kikosi cha usaidizi wa...
Habari zenu!
Kama isemavyo hapo juu...
Enyi vijana na wazee ni nani aliyewaroga?
Ingefaa wanyama waendelee kuishi hapa Duniani na nyinyi kupuuzwa kabisa!.
Hata sasa hamjafikili bado?Mahusiano yenu na wake/ume zenu yako sawa?
Kwakuwa mnazo akili kuliko wanyama nitawafikirisha kidogo lakini...
Hodi na Salamu Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Elimu yangu ni ya Secondary.
Nimekuja kwenu Kuomba Connection ya Kibarua cha kulipwa kwa siku, Nimeandamwa na msururu wa Madeni ya Kodi na kwa mangi.
Nipo tayari kufanya Majukumu yoyote ilimradi yasikiuke Utu na sheria za nchi.
Mungu...
Wakuu tuache mbamba
Mademu wazuri kuwala ni pesa sasa usijifanye unalia lia tu hapa wakati kinachotakiwa ni pesa.
Pesa pesa pesa pesa pesa pesa
Shauri yako kama unatafuta vipesa unahonga.
Wewe tafuta pesa wao watakuja wenyewe acha pesa iongee mzee na siyo wewe uongee au kunyanyua kinywa...
Wakati maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakisubiriwa hapo Aprili 26 mwaka huu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameahirisha sherehe za gwaride na badala ameelekeza kufanyika kwa shughuli za maendeleo katika ngazi za mikoa.
Hii ni...
Mlinzi wa kati mwenye uwezo wa kukaba hadi upepo Dickson Job amesinya mkataba wa miaka miwili kuendelea kutwanga/kucheza Yanga,ni suala la muda kwa Yanga kutangaza taarifa zake, bwana mdogo bado ni wanjano na kijani hivyo bado atakua pale kwenye ukuta wa Yanga!!.
Ikimbukwe job alikuwa na...
Nimelipia kifurishi cha zuku through airtel money, ni siku ya mwisho kutakiwa kulipia vinginevyo huduma inasmamishwa, muamala haukukamilika so nikawapigia wahudumu wa airtel na haya ndio majibu yao
"Samahani kwa usumbufu pesa zako hazikuwasilishwa zuku kwahiyo utasubiri masaa 24 ya kazi then...
Wasalaam wana JF
Unakuta mwanaume alikuwa na mke na wanaishi pamoja pika pakua. Ikatokea kuhitilafiana na wakachukua maamuzi ya kutalikiana kila mtu aende kumi zake. Baada ya kila mmoja kusukuma gurudumu la mahusiano na watu wengine huko waliko mwisho mahusiano yakatika kikomo pia.
Unakuta...
Naziona sana aina hii ya nguo, ama kwenye mwili wa mwanamke au madukani.
Kitamaduni nguo hii ni maalumu kwa ajili ya kuuficha uchi ili usionekane kirahisi na kuutia joto ubaki na vuguvugu.
Naona kama maana ya vazi hili imepotea. Zinavaliwa nyavu ambazo uchi unaonekana moja kwa moja bila kificho
Wiki hii imekuwa mbaya sana kwa Marekani na ulimwengo wote wa kielektronik baada ya siri zote za Marekani za karibuni kumwagwa hadharani kwenye mitandao.
Mwanzoni Pentagon ilisitasita kukubali kashfa hizo lakini hatimae wamekubali kwamba ni chache sana ambazo ziliongezwa kidogo lakini zote...
Wiki iliyopita, Wizara ya Mambo ya Nje ya China ilitangaza kuiwekea vikwazo Taasisi ya Hudson ya Marekani inayounga mkono vitendo vya kuitenganisha Taiwan na China. Kwa muda mrefu, taasisi hiyo ya washauri bingwa ya Marekani imekuwa ikiishambulia China, na watafiti wake wametoa tafiti na ripoti...
Tuna watoto mandazi sana siku hizi, hata Michezo imepungua ya kumjenga mtoto kiakili kwanini mambo machafu yasipate nafasi.
kuna maana kubwa ya kuwepo michezo tofauti tofauti katika maisha yetu.
Enzi hizo nikiitwa Mzee wa kupokea Thanks, kwa siku hizi ningeitwa mzee wa kupokea 'likes'. nilipotea kidogo lakini nimeona leo sikukuu, si vibaya nikapita kuwasalimu hasa wale ma Legend, nimewamiss Wapwa wa JF sijui bado wapo kwa ID nyingine, akina Pundit na kiingereza chake kigumu, Lunyungu na...
Suala la mjadala kuhusu nani ndie mfalme wa muziki wa Africa, limekuwa likichukua kasi.
👉Huku kila mmoja akivutia kamba upande wake, kuanzia east Africa kina king kiba, diamond na hata konde boy wote wamekuwa wakisifiwa na mashabiki wao.
Mpaka kule Nigeria wasanii Kama patoranking, burna...
Naombeni ushauri namna ya kuongeza imani yangu kwa haya mashirika wadhibiti ubora!
Yamkini wanafanya kazi nzuri sana lakini imani yangu kwao ilishakufa kabisa!
Yaani ni mara mia uniambie hiki kitu ni bora kwa reference zingine tofauti na haya mashirika ya ubora tz!.
Kila nikiona nembo ya...
HAKUNA POINTI YA KUSHINDANA KATIKA SHINDANO AMBALO UNAJUA HUTASHINDA
Yaani unakuwa tu kama msindikizaji, Simba ni timu kubwa sana, yenye pride kubwa, so haiwezi kuendelea kuwa mdindikizaji kila msimu kama timu ndogo
Jamani wana Simba tuwe realistic, kwenye mashindano ya CAF Simba mwendo...
Habari wakuu.Miaka ya nyuma kidogo tulisoma magazeti, tena kila habari kuanzia za siasa michezo hadi vibonzo bila kusahau matangazo.
Nakumbuka miaka ile, mzee alikuwa akija na magazeti ya Nipashe, Majira na Mwananchi kila alipotoka kwenye mihangaiko. Hii ilitujengea hamasa ya kupenda kusoma...
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.