Dah Kuna pisi Kali sana nimeipenda ya chuga uko🤦🤦 nadhani inajisikia raha sanaMie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu....we bhana Weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest....Yaan nimepitiliza kama ni temperature bas imekuwa 45 C.
NB:Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Uliyempenda naye kapendeka?nimejikuta nimependa toppest....Yaan nimepitiliza kama ni temperature bas imekuwa 45 C.
Umeanza lini kupenda mwaisa? Maana Kwa matukio tunayowapiga sahizi upendo wa kweli haupo umebaki utapeli😂🤣🤣🤣 NB Lazima ziwepo maana watu hawakawii
Hongera hakikisha nae anakupenda kweli. Mizani ya kweli lazima I balanceNampenda kweli aisee
🤣🤣🤣🤣 Nilikukataza urafiki na dronedrake hukusikia....ona sasa!! Onaaaa?!nyeto itanimaliza wakuu😬
MUACHE MUACHE aokoe kibundaNilikukataza urafiki
hapanaUnaharibu wenzio afu
kijana kakataa UTI, safi sanaPesa zitawaua🤣🤣
Onhoo,sawa