Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,118
- 1,915
Maisha ya sasa mwanaume na mwanamke ni maadui wakubwa sana tusitegemee tena mahusiano ya kimapenzi au ndoa kudumu.
Uhalisia ni kuwa maisha ya sasa yamejaa uadui mkubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ndio maana mahusiano hayastawi tena. Wapenzi wataanza mahusiano lakini baada ya muda mchache watatengana kwasababu tofauti lakini sababu zote zitakazotelewa na hao wapenzi kiini chake ni uadui ulioko katika ulimwengu wa sasa kati ya mwanaume na mwanamke.
Mwanamke hana tena upendo kwa mpenzi wake anamuona mpenzi wake kama gonjwa hali kadhalika kwa wanaume.
Hakuna tena uaminifu kati ya mwanamme na mwanamke matokeo yake ni ubaya kwa ubaya tangu mwanzo wa mahusiano mpaka kuvunjika.
Wanawake wa sasa katika maongezi yao yote yamelenga kumzungumzia mwanaume kama kiumbe mbaya duniani hali kadhalika kwa wanaume ndivyo hivyo.
Sababu ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja kama tunavyowaona watu mfano mama wa Jay Z, ni watu kujaribu kujua je mapenzi ya jinsia moja pengine yana unafuu kuliko haya ya jinsia tofauti?
Hii ndiyo sababu kubwa ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja ingawa athari zake ni kubwa zaidi kwasababu hakuna uzao kati yao.
Mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume yatakuwa mazuri endapo jinsia zote mbili zitajirekebisha na tabia mbaya ikiwemo usaliti ambazo zinasababisha utengano wa wapenzi kila kuchwao.
Upendo umepotea kabisa kati ya Mwanaume na Mwanamke madhara yake ni kuwa mahusiano ama ndoa hazitadumu tena.
Uhalisia ni kuwa maisha ya sasa yamejaa uadui mkubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ndio maana mahusiano hayastawi tena. Wapenzi wataanza mahusiano lakini baada ya muda mchache watatengana kwasababu tofauti lakini sababu zote zitakazotelewa na hao wapenzi kiini chake ni uadui ulioko katika ulimwengu wa sasa kati ya mwanaume na mwanamke.
Mwanamke hana tena upendo kwa mpenzi wake anamuona mpenzi wake kama gonjwa hali kadhalika kwa wanaume.
Hakuna tena uaminifu kati ya mwanamme na mwanamke matokeo yake ni ubaya kwa ubaya tangu mwanzo wa mahusiano mpaka kuvunjika.
Wanawake wa sasa katika maongezi yao yote yamelenga kumzungumzia mwanaume kama kiumbe mbaya duniani hali kadhalika kwa wanaume ndivyo hivyo.
Sababu ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja kama tunavyowaona watu mfano mama wa Jay Z, ni watu kujaribu kujua je mapenzi ya jinsia moja pengine yana unafuu kuliko haya ya jinsia tofauti?
Hii ndiyo sababu kubwa ya ongezeko la mapenzi ya jinsia moja ingawa athari zake ni kubwa zaidi kwasababu hakuna uzao kati yao.
Mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume yatakuwa mazuri endapo jinsia zote mbili zitajirekebisha na tabia mbaya ikiwemo usaliti ambazo zinasababisha utengano wa wapenzi kila kuchwao.
Upendo umepotea kabisa kati ya Mwanaume na Mwanamke madhara yake ni kuwa mahusiano ama ndoa hazitadumu tena.