Naombeni mnishauri kwenye hili la wadogo zangu kuhusu aina ya kozi za kusomea

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Jan 6, 2018
430
780
Hello habarini wanajamv, poleni na majukumu ya kila siku.

Miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi.

Matokeo wiki hii yametoka:
1. Alisoma ECA amepata div 1 ya points 8

2. Alisoma PCM amepata div 3 ya points 13 (EDD), nambeni mnisaidie ushauri wa kozi watakazosoma wanajamvi.

Asanteni.
 
hello habarini wanajamvi... poleni na majukumu ya kila siku..
.
.
miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi.
.
matokeo wiki hii yametoka,
1. alisoma ECA amepata div 1 ya points 8

2. alisoma PCM amepata div 3 ya points 13 (EDD), nambeni mnisaidie ushauri wa cozi watakazosoma wanajamvi.
.
.
Asanteni
Huyo wa ECA aspecialize kwenye Accounting au Banking and Finance, Huyo wa PCM aspecialize Architecture itamsaidia
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Hello habarini wanajamv, poleni na majukumu ya kila siku.

Miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi.

Matokeo wiki hii yametoka:
1. Alisoma ECA amepata div 1 ya points 8

2. Alisoma PCM amepata div 3 ya points 13 (EDD), nambeni mnisaidie ushauri wa kozi watakazosoma wanajamvi.

Asanteni.
Huyo aliyesoma PCM nakushauri aende akasome Bachelor of Technical Education in Civil engineering or Bachelor of Technical Education in Architectural and Technology or Bachelor of Technical Education in Mechanical engineering,

Hizo course kwa Sasa ni hot cakes na ajira yake ipo nje nje, akimaliza tu ajira hii hapa serikalini.

NB: anakuwa fully registered engineer kwa maana anaweza jisajili ERB and at the same time anakuwa Mwalimu wa elimu ufundi - sehemu ya kufanyia kazi Vyuo vya Veta, technical secondary schools, technical colleges etc.

Nenda website ya Mbeya University of Science and Technology (MUST), utakuja kunishukuru immediately baada ya mdogo wako kumaliza na kupata ajira.

70% ya sera mpya ya Elimu imejikita kwenye Elimu ufundi, hivyo ni fursa kwa Sasa kwa eneo Hilo.

Acha wengine wakimbilie course za show off bila kuangalia upepo wa ajira na mwelekeo wa serikali kwa Sasa.

KUPANGA NI KUCHAGUA , KAZI KWAKO.
 
Back
Top Bottom