Bila uchawa awamu ya sita ingekuwa ngumu sana kutawala

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
567
1,551
Ni wazi kuwa Awamu ya nne itabaki kuwa Awamu pekee ya kidemokrasia. Tunadiliki kusema Kikwete ni baba wa Demokrasia.

Hongera sana JK Mungu akutunze. Ni Awamu pekee watu walipingana kwa hoja ndani na nje ya CCM na Bado walibaki pamoja.

Hali haikuwa hivyo katika Awamu ya Tano. Ilikua Awamu ya ubatizo , ilikua Awamu ya kujua nani mwanasiasa nani kanjanja.

Awamu ya Tano ukifanya yasiyo tarajiwa. Ikafikia wale walio onekana kama miamba kama akina Waitara kumbe ndani ni tepetepe wakajulikana.

Sasa hapo ndipo kukazaliwa taaluma mpya ya Uchawa. Hii taaluma imeonekana kuwa njia ya mkato sana katika kufanikisha mambo. Matunda yake ni yaharaka sana. Garama zake ni Mdomo na kujitoa ufahamu. Inahitaji kujizima data tu, yaani uwe kituko flani na ukasuku wa kusigia chochote, ni kusifia tu.

Sasa kama Awamu ya Sita ingakutana na jamii ya Awamu ya nne. Jamii ya kuhoji na kujibu hoja.Jamii ambayo Rais alitoka hadharani kuongelea sakata la Escrow account. Achana na Awamu hii ya kujificha na kuachia watu wa hovyohovyo akina Tivuake na Mwijako ndio wasemee jambo nyeti.

Ukweli siioni Awamu hii ikitoboa mbele ya Awamu ya kuhoji kama ya Awamu ya nne.

Nasemaje!! Magufuli effect ndio nguzo pekee ya kufanikiwa kwa Awamu hii.

Basi kama mnabishi fanyeni kama Awamu ya nne au Mkumbukeni JPM basi, sio siku ya kumkumbuka ndio mnapanga matukio mengine wakati siku zipo nyingi tu.

Babiani mbaya kiatu chair dawa.
 
 
Kinachoendelea sasa, ni muendelezo wa mambo mabaya aliyoyaasisi Magu
Mambo yakibuma jumba bovu anaangushiwa Magufuli. Mengineyo Mama anaupiga mwingi mabango kila kona mara kaleta demokrasia, Mama anapambana na ufisadi, kafungua nchi blah blah kazi iendelee.

Kila mtu ashinde mechi zake maana mama ameshajitenga kabisa na falsafa za Magufuli.

The buck stops with her na hakuna haja ya kuendelea kujificha kwa Magufuli. The jig is up!
 
Ni wazi kuwa Awamu ya nne itabaki kuwa Awamu pekee ya kidemokrasia. Tunadiliki kusema Kikwete ni baba wa Demokrasia.

Hongera sana JK Mungu akutunze. Ni Awamu pekee watu walipingana kwa hoja ndani na nje ya CCM na Bado walibaki pamoja.

Hali haikuwa hivyo katika Awamu ya Tano. Ilikua Awamu ya ubatizo , ilikua Awamu ya kujua nani mwanasiasa nani kanjanja.

Awamu ya Tano ukifanya yasiyo tarajiwa. Ikafikia wale walio onekana kama miamba kama akina Waitara kumbe ndani ni tepetepe wakajulikana.

Sasa hapo ndipo kukazaliwa taaluma mpya ya Uchawa. Hii taaluma imeonekana kuwa njia ya mkato sana katika kufanikisha mambo. Matunda yake ni yaharaka sana. Garama zake ni Mdomo na kujitoa ufahamu. Inahitaji kujizima data tu, yaani uwe kituko flani na ukasuku wa kusigia chochote, ni kusifia tu.

Sasa kama Awamu ya Sita ingakutana na jamii ya Awamu ya nne. Jamii ya kuhoji na kujibu hoja.Jamii ambayo Rais alitoka hadharani kuongelea sakata la Escrow account. Achana na Awamu hii ya kujificha na kuachia watu wa hovyohovyo akina Tivuake na Mwijako ndio wasemee jambo nyeti.

Ukweli siioni Awamu hii ikitoboa mbele ya Awamu ya kuhoji kama ya Awamu ya nne.

Nasemaje!! Magufuli effect ndio nguzo pekee ya kufanikiwa kwa Awamu hii.

Basi kama mnabishi fanyeni kama Awamu ya nne au Mkumbukeni JPM basi, sio siku ya kumkumbuka ndio mnapanga matukio mengine wakati siku zipo nyingi tu.

Babiani mbaya kiatu chair dawa.
Kuna awamu Huwa Haina machawa? Mbona ni Majina tuu yanabadilika eg waimba pambio,wapambe ,machawa nk nk

Kuna Utawala hauna watu wa kuwapigia debe? Upi wa wapi?
 
Back
Top Bottom