Kwanini Erick Hamissi alifutwa kazi bandarini?

Asante CCM

JF-Expert Member
Jun 22, 2023
346
1,301
Duru za kweli zinatabanaisha aliyekuwa boss wa Mamlaka ya BANDARI alifutwa kazi kwa sababu zilizodaiwa kutoonyesha ushirikiano na wawekezaji kule Dubai alipokuwa ameambatana na ujumbe wa Rais.

Jamaa walidai hawaonyeshwi ushirikiano wa haja na boss wa TPA kwa waziri na hazikupita siku mbili Erick akatolewa TPA.

Tatizo la Eric alihisi ule ulikuwa mtego na hakufahamu wakubwa na wale lao moja ndiyo maana alisita kufanya baadhi ya maamuzi kwa upande wake alihisi atanasa.

Kama yupo Mtanzania mwenye kuyafahamu mengi kuhusu huo MKATABA Eric yumo sema yule jamaa mwoga sana hata hawezi kutoa japo ABC kwalo.

Duru.

Pia soma
 
Umekuwa msemaji wa Eric? mnahangaika na kajibandari lakini mnajifanya hamjui kuwa hii nchi yetu zanzibar mliivamia na mumeikalia kwa mabavu toka 1964 na mumetuulia maelfu ya ndugu na wazee wetu , na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi , mumeuchukuwa uhuru wetu na kiti chetu UN yote hayawaumi , mnaumwa na kajibandari chenu

Mkuki kwa nguruwe tu ?+
 
Umekuwa msemaji wa Eric?? mnahangaika na kajibandari lakini mnajifanya hamjui kuwa hii nchi yetu zanzibar mliivamia na mumeikalia kwa mabavu toka 1964 na mumetuulia maelfu ya ndugu na wazee wetu , na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi , mumeuchukuwa uhuru wetu na kiti chetu UN yote hayawaumi , mnaumwa na kajibandari chenu

Mkuki kwa nguruwe tu ?+
Chagua tukupigeje juu chini au chini juu!
 
Chagua tukupigeje juu chini au chini juu!

Hulaumiki ikiwa kardinali wako anaongea haya

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
Duru za kweli zinatabanaisha aliyekuwa boss wa Mamlaka ya BANDARI alifutwa kazi kwa sababu zilizodaiwa kutoonyesha ushirikiano na wawekezaji kule Dubai alipokuwa ameambatana na ujumbe wa Rais...
Sasa km unajua sababu unauliza nini tena? Mnaokoteza kila ainaya uzushi na kujitengenezea uzushi. Ila mju tu zama zenu zimepita bandari inabinafsishwa, mmezoea rushwa na magendo.
 
Umekuwa msemaji wa Eric?? mnahangaika na kajibandari lakini mnajifanya hamjui kuwa hii nchi yetu zanzibar mliivamia na mumeikalia kwa mabavu toka 1964 na mumetuulia maelfu ya ndugu na wazee wetu , na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi , mumeuchukuwa uhuru wetu na kiti chetu UN yote hayawaumi , mnaumwa na kajibandari chenu

Mkuki kwa nguruwe tu ?+
Kuna wabara wangapi wanafanya kazi au kuongoza huko kwenye serikali ya znz hadi useme mmekaliwa kimabavu?
 
Kuna wabara wangapi wanafanya kazi au kuongoza huko kwenye serikali ya znz hadi useme mmekaliwa kimabavu?

Mkuu wa majeshi huku ni mtu wa bara , Raisi ni mtu wa bara , Mkuu wa usalama , Makatibu wakuu , KMKM , Maofisa wa Ikulu, Baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya, Mkuu wa Polisi , masheha nk listi ni kubwa sana
 
Hii safi sana, maana kuna watu wanasambaza uongo, inatakiwa upelelezi chunguze namba zote wanazowasiliana nazo kwa simu na kwa messgaes. Vyanzo vitajulikana tu.

Hii ni vita ya kiuchumi kwa nchi yetu. Aidha watangazie waende wenyewe kwenye vyombo vya uchunguzi au waitwe namna hii.

Nashauri watazamwe ma group yao yote ya wharsapp, telegram, twitter, facebook na jadhalika. Ili vyanzo vijulikane.

Mimi nakisia. vyanzo vya haraka haraka:

1) Anna Tibaijuka.
2) karamagi
3) Adani
4) AD Ports
5) DP World
6) Wakurugenzi waliovunjiwa bodi yao bandarini.
9) Wakurugenzi wa shirika la meli lilitojajwa namba moja.
10) Taasisi za kidini.
11) Sukuma gang
12) Vyama vya siasa ikiwemo CCM yenyewe.

Naamini wengi humu JF ni makondoo tu yaliyokosa mchungaji. Vyanzo vitajulikana tu.

nawapa pongezi sana serikali kwa kuanza kuchukuwa hatua. Maana uongo ukizidi utaonekana ni ukweli.

Chanzo:

 
Naam. Ukiwa mnyoofu hauwezi kudumu kwenye mfumo wa kifisadi, utaonekana 'kikwazo' tu.

Yaani mpaka aibu. Kuna mwanasheria mmoja uchwara anamdanganya kweli rais kuhusu bandari, na bahati mbaya amemwamini kuliko hata AG.

Sasa ameshalikoroga, 2025 ilikuwa mteremko kwake lakini kajitengenezea mlima mkali pasipo na sababu za msingi.
 
Back
Top Bottom