tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    GE2020 Dr. Bashiru: Kama Membe anasema tatizo ni Urais agombee kwa chama chochote tukutane uwanjani

    Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe. VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo urais tukutane na Membe
  2. Wisdom Flag

    Nimerudi tena wakuu na hili tatizo la programming

    Habarini wana programmers.. Nina tutorials nilisoma kwenye w3schools nikadownload codeblocks kwa ajili ya kufanya practice, lakini tatizo ni kwamba ninapotaka ku-run code inazingua sasa sijui tatizo nini. Na kwenye ile tutorial naona cout iko na rangi iliokoza sio kama yangu TATIZO NI WAPI...
  3. K

    Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

    UFAFANUZI WA JUMLA WA TATIZO HILI Hakika mapenzi ni matamu hakuna asiyelifahamu hili na mapenzi kwa kawaida hushirikisha vishiriki ngono kama kupapasana, kubusiana na hata mambo fulani ya kula koni na kuzama chumvini. Hakika uke ni sehemu muhimu sana ya mwanamke inayoweza kuamsha hisia za...
  4. TODAYS

    HATARI: Dini inatumika na wanasiasa kama mwamvuli lakini tatizo liko hapa

    Sikia kwa makini Dini uliyonayo ni ujinga Usijivunie dini Dini ni udanganyifu Dini ni upotofu Dini ndio inakuzuia kufanikiwa Dini ndio imefunga Afrika kuendelea Dini inatumiwa na wanasiasa kama mwamvuli Dini ni takataka kama zingine Aliyoandika biblia ndiye aliyekuja kuipinga Aliyeandikwa...
  5. The Dictator

    Ujumbe kutoka Vodacom: Internet imerejea kama kawaida yaahidi kufidia mb's zilizopotea

    Huduma ya INTANETI sasa imerejea. Tunaendelea kuomba radhi kwa usumbufu ulioupata leo. Vodacom tunaahidi kufidia MB zako ulizopoteza kuanzia kesho asubuhi. Ila kwa uhalisia bado haifungui chochote bado isipokuwa Facebook tu labda.
  6. technically

    Tanzania tuna tatizo la msingi sana la ujinga na upumbavu

    Tuna tatizo la kusoma na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini CCM CHADEMA au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo...
  7. Kendrick Rama

    Msaada wa tatizo la mtoto wa jicho

    Habari zenu wakuu, Naomba mwenye uelewa au mtaalamu wa mambo ya magonjwa ya macho anisaidie hili. Hapo juzi kati niligundua kuna kauvimbe kadogo ndani ya macho yangu ambacho hakana maumivu yoyote, ila baada ya kuchunguza kwa umakini na kuulizia baadhi ya watu walinambia kuwa huyo ni mtoto wa...
  8. K

    Mtoto wangu anatatizo la kupaliwa ninapomnyonyesha naomba ushauri

    Asaalam Wadau natumaini mmeamka salama. Naomba msaada ufuatao Mara nyingi Mke wangu anapomnyonyesha Mtoto anakuwa akipaliwa na hapo wala hakamuliwi maziwa zaidi ya kushikiliwaa tu titi ila ndo hivyo anajikuta akipaliwa kwa kweli hili jambo linaniumizaga sana. mimi tu nikipaliwa huwa nahangaika...
  9. Mzee Mwanakijiji

    Kwani Morogoro kuna tatizo gani?

    Sijui kuna tatizo gani katika Mkoa huo. Imekuwa ni kawaida kiongozi akienda ni lazima alalamikie matatizo ya matumizi ya fedha za Umma. Ameenda Rais, ameenda Waziri Mkuu, ameenda Jafo na hivi sasa kapita Katibu Mkuu wa CCM. Wote kwa namna tofauti na kuhusiana na mambo tofauti tofauti...
  10. M

    Ni vyema serikali, Wananchi tukatambua ugonjwa wa akili na viashiria vyake

    Kwanza ugonjwa wa akili ni kitendo cha kuanzia kufanya matukio kinyume na utaratibu na Kwa kujiamini sana bila wewe kujijua unakosea Ila jamii inakuona wewe unakosea, unaweza ukawa unasikia sauti za watu wanakuita Ila huwaoni, unaweza ukawa unajibizana na sauti ambazo huzioni, unaweza ukawa...
  11. K

    Kumbe tatizo ni passport! Naona lile zoezi halikumalizika kwa wakati

    Nimeona hii taarifa rasmi. Kuna swala la passport mpya ambazo walipewa muda zile tayari naona hawakuhakiki kwa muda Tanzania ikiwa mojawapo. Lakini hata US ndani kuanzia mwezi wa kumi huwezi kisafiri n vitambulisho kama lesini za kuendeshea magari mpaka ukaweke vidole upya au kutumia passport.
  12. Boutafrica

    Wewe Kocha wa Aston villa... safu yako ya ushambuliaji kuna tatizo hapo umeligundua?k

    Sisi wadau hatuongei sana na hatukufundishi ila utakuwa ushaelewa kinachoendelea hapo Mbele....hivi ana matatizo gani huyu kijana wako Glealish? Sasa kaa na kijana wako umwambie kabisa kwamba hicho kitabia chake cha kike wadau hatujakipenda!!! Ahsante.
  13. M

    Naomba ushauri kuhusu tatizo la pingili za uti wa mgongo

    Salamu! kuna ndugu yangu yangu ana tatizo la pingili ya mgongo. Kwa mujibu ya vipimo ni kuwa pingili mbili za mgongo zimepandana (Maelezo ya Daktari baada ya kusoma matokeo ya MRI (Benjamin Mkapa, Dodoma). Hali hii imekuwa inamletea maumivi makali. Aidha, muda fulani hususani nyakati za usiku...
  14. Sky Eclat

    Mimba za mashuleni zilivyosumbua wazungu na changamoto za kutafuta tatizo

    Mimba za vijana mashuleni ni tatizo lililo Unix’s sana vichwa vya policy makers, tafiti nyingi zilifanyika na mapendekezo kutolewa. Kwa wazungu mimba za vijana mashuleni ni mzigo wa ziada kwa taifa kwani mtoto na wazazi wake wote inabidi wahudumiwe na serikali kuanzia makazi, chakula, afya na...
  15. G Sam

    Tatizo ni mfumo wa mawasiliano au? Aliyeshtakiwa makosa 280 ateuliwa kuwa M/kiti Bodi ya VETA

    Mashtaka yalisomwa January sita ila kesho yake DPP akaondoa kesi mahsksmani kimya kimya. Sijui alipewa maagizo? ==== Peter Maduki, ambaye alishtakiwa kwa makosa 280 yakiwamo ya kughushi, kuwasilisha nyaraka za uongo pamoja na utakatishaji fedha, ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa mwenyekiti...
  16. Jackson j

    Tatizo la kutokwa na vipara kichwani (bald round spots)

    Jamani, mimi nina tatizo la kutokuota nywele kichwani katika baadhi ya maeneo na nywele zinakuwa zikichomoka au zinaota zikiwa dhaifu sana hadi sasa ni mwaka mmoja tangu tatizo limeanza, katika kufatilia hata Google nimepata kwamba ni ugonjwa unaitwa Alopecia Aerata. Sasa hapa nauliza kwa...
  17. W

    IST ina tatizo la coolant kutorudi kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank

    Habari Wakuu! Naomba msaada wa kiufundi kwa IST kutorejesha coolant kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank ambayo imekuwa ikimwagika baada ya kujaa. Nimejaribu kubadilisha kifuniko cha rejeta lakini tatizo bado linaendelea.
  18. Papa Mobimba

    Ujue ukubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Kuna matatizo mengi ya tendo la ndoa ambayo yanaathiri wanawake kwa wanaume. Kwa wanaume inawezekana ikawa ni kukosa hamu ya tendo, upungufu wa nguvu za kiume au kuwahi kufika kileleni. Leo nataka kuzungumzia ukubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume matatizo mengine nitazungumza katika...
  19. meddie

    Sioni Facebook App katika simu yangu, nini shida ?

    Sioni wala siwezi Ku access Application ya Facebook kutisimu yangu. Tatizo nini? Imepotea tu yenyewe na hats application list za kwenye simu haipo! Tafadhali msaada kujua kwa nini and how
  20. M

    Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu limefika kileleni. Serikali ichukue hatuna kuepusha matatizo ya kisiasa na kijamii

    Hili ni kwa serikali na watunga Sera wa Taifa hili. Kuna tafiti moja nilikuwa nasoma imefanywa na Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, nimeshangaa kuona hili tatizo lilipofikia. Sio kwamba nilikuwa sijui bali tatizo ni kubwa na vijana waliohitimu vyuo vya elimu ya juu kwa maelfu hawana...
Back
Top Bottom