Naomba msaada wa tatizo la mtoto kukoroma kama ana kamasi puani

Mayova

Senior Member
May 10, 2018
182
123
Ndugu zanguni ma dakatari wa jf nina mtoto anamiezi mitano. Tatizo lake nikwamba kama vile ana makamasi mengi yamejaa puani lakin hata haya toki kwaiyo anakoroma tu puani.

Nimetumia dawa kadhaa kama vile mucolyn, citrizine na ephedrine nasal drops lakini bado hata hija saidia kitu. Naombeni ambae atakua anajua tatizo nn anisaidie
 
Hiyo hali ina muda gan? Kama nitoka azaliwe /siku chache baada ya kuzaliwa inaweza kua ni Laryngomalacia , huwa ni defect ya larynx anayozaliwa nayo mtoto lkn haiumizi wala sio kwamba anaumiaaa ( ila wazazi ndio huumia sana nakuona mtoto anapata tabu)

Mara nyingi hupotea yenyewe Kadiri mtoto anavyokua .

Mtoto anapokua ananyonya/kula/kulala ndo Husikika zaidi .

Maambukizi yoyote ya ktk mfumo wa upumuaji huzidisha hali iyo nakumpa mtoto tabu na matesoooo.

Chakufanya...

Kama ananyonya vizuri/kula vzuri na kulala analala ila anakoroma , basi hakikisha
Unamlinda mtoto dhidi ya mazingira yoyote yanayoweza pelekea kupata maambukizi ktk mfumo wa upumuaji mf.. Mafua n.k
ASILALIE MGONGO , HAKIKISHA ANALALIA TUMBO ( husaidia kupunguza kukoroma )
unapoona mtoto kapatwa na mafua, kikohozi na dalili nyinginezo basi muwahishe mapema kituo cha afya kupata Huduma.
 
Inawezekana anaota nyama puani,kikubwa cha kukushauri ni kumwona daktari anayeeleweka!
Mtafute specialist anaitwa Dr.Zephania anafanya kazi zake ekenwa part time i think!you won’t be dissapointed.Binafsi nilikuwa naumwa na tatizo katika mfumo wa upumuaji na nimeangaika na madokta kibao lakini alitatua my problem!Lakini ili umpate inabid uwah sana ili kushika namba manake huwa anaanza saa 3.30asubuh kuhudumia na majority naona wanamkimbilia sana.Au ikiwezekana go Muhimbili direct.
*Go to specialist only-i am talkin thru experience,wengine ni makanjanja wanapenda kuandikia tu dawa bila kujua kiundani kiini cha tatizo
 
Sa
Mtafute specialist anaitwa Dr.Zephania anafanya kazi zake ekenwa part time i think!you won’t be dissapointed.Binafsi nilikuwa naumwa na tatizo katika mfumo wa upumuaji na nimeangaika na madokta kibao lakini alitatua my problem!Lakini ili umpate inabid uwah sana ili kushika namba manake huwa anaanza saa 3.30asubuh kuhudumia na majority naona wanamkimbilia sana.Au ikiwezekana go Muhimbili direct.
*Go to specialist only-i am talkin thru experience,wengine ni makanjanja wanapenda kuandikia tu dawa bila kujua kiundani kiini cha tatizo
Sawa ndugu yangu. Huyu specialist kumpata ndo mpaka muhimbili tu?
 
Hiyo hali ina muda gan? Kama nitoka azaliwe /siku chache baada ya kuzaliwa inaweza kua ni Laryngomalacia , huwa ni defect ya larynx anayozaliwa nayo mtoto lkn haiumizi wala sio kwamba anaumiaaa ( ila wazazi ndio huumia sana nakuona mtoto anapata tabu)

Mara nyingi hupotea yenyewe Kadiri mtoto anavyokua .

Mtoto anapokua ananyonya/kula/kulala ndo Husikika zaidi .

Maambukizi yoyote ya ktk mfumo wa upumuaji huzidisha hali iyo nakumpa mtoto tabu na matesoooo.

Chakufanya...

Kama ananyonya vizuri/kula vzuri na kulala analala ila anakoroma , basi hakikisha
Unamlinda mtoto dhidi ya mazingira yoyote yanayoweza pelekea kupata maambukizi ktk mfumo wa upumuaji mf.. Mafua n.k
ASILALIE MGONGO , HAKIKISHA ANALALIA TUMBO ( husaidia kupunguza kukoroma )
unapoona mtoto kapatwa na mafua, kikohozi na dalili nyinginezo basi muwahishe mapema kituo cha afya kupata Huduma.
Mtoto anamiezi mitano na hiyo mpaka sasa inawiki mbili. Hali hii haja zaliwa nayo
 
Hiyo hali ina muda gan? Kama nitoka azaliwe /siku chache baada ya kuzaliwa inaweza kua ni Laryngomalacia , huwa ni defect ya larynx anayozaliwa nayo mtoto lkn haiumizi wala sio kwamba anaumiaaa ( ila wazazi ndio huumia sana nakuona mtoto anapata tabu)

Mara nyingi hupotea yenyewe Kadiri mtoto anavyokua .

Mtoto anapokua ananyonya/kula/kulala ndo Husikika zaidi .

Maambukizi yoyote ya ktk mfumo wa upumuaji huzidisha hali iyo nakumpa mtoto tabu na matesoooo.

Chakufanya...

Kama ananyonya vizuri/kula vzuri na kulala analala ila anakoroma , basi hakikisha
Unamlinda mtoto dhidi ya mazingira yoyote yanayoweza pelekea kupata maambukizi ktk mfumo wa upumuaji mf.. Mafua n.k
ASILALIE MGONGO , HAKIKISHA ANALALIA TUMBO ( husaidia kupunguza kukoroma )
unapoona mtoto kapatwa na mafua, kikohozi na dalili nyinginezo basi muwahishe mapema kituo cha afya kupata Huduma.
1: Nakubaliana na uliyoandika, lakini hili la kumlaza mtoto wa miezi mitano kwa tumbo si sawa. Kwani kipindi hiki ndo mfumo wa shingo/misuli inakuwa inapata uimara wa kuweza ku-control uzito wa kichwa. Ni hatari kwa mtoto wa umri huu kulalia tumbo kwani unaweza kusababisha kifo cha ghafla/Infant sudden death syndrome(ISDS) kwa mtoto kukosa hewa. Ni vyema mtoto kulala kwa ubavu au akiangalia juu na ukimwekea support.

2: A: Ni kweli kunaweza kuwa na tatizo la kimaumbile kwenye mfumo wa njia ya hewa. Na hali ya mafua ikaleta tatizo kuonekana kirahisi.

B: Inaweza pia kutokea kwa watoto wenye uzito mkubwa/ wanene kuwa na hali hiyo. Hivyo, ikawa ni kawaida.

C: Inaweza kuwa ni matokeo ya matumizi ya dawa ya kudondosha puani mfano: ephedrine na xyalomethazoline huwa zina.athali hiyo pia/side effect kama ukitumia kwa muda mrefu au kwa wingi.

D: Inawezekana kuwa na aaili ya allergy/ mzio kwenye familia, hivyo mafua kidogo yakasababiaha kunenepa kwa njia/kuta za njia ya hewa na kubana.

E: Kunaweza pia kuwa na viotea kwenye njia ya hewa.

NB: Ni muhimu kusitisha matumizi ya dawa na kumwona ENT/daktari bingwa wa njia ya hewa, masikio na koo.
 
Back
Top Bottom