kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,631
- 5,137
Kuna tatizo la ATM cards NBC hazisomi kwenye ATM mashine. Ukienda bank ni danadana jaribu baadaye , jaribu kesho, Mara ooh tunarekebisha huku wateja wenu tukiendelea kuingia cost ya 6000 kila ninapofanya transaction ya kudraw hela kupitia dirishani.
Kuna kuna tatizo limeshindika basi punguzeni charge ya kutoa hela kupitia dirishani vinginevyo mnakera bhana.
Ni week sasa kadi hazifanyi kazi
Kuna kuna tatizo limeshindika basi punguzeni charge ya kutoa hela kupitia dirishani vinginevyo mnakera bhana.
Ni week sasa kadi hazifanyi kazi