Mtwara: Wanafunzi wasababisha tatizo la umeme kwa wilaya nne

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
1615462278815.png

Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya zinapogusana.

Meneja wa TANESCO wilaya ya Tandahimba Edward Namoto amesema michezo hiyo ni hatari lakini pia inaumiza wananchi wanaotegemea nishati hiyo kujipatia kipato.

Aidha, Wanafunzi hao wa kidato cha tatu ambao wamepanga katika kijiji hicho kwa ajili ya ukaribu wa shule wamekiri hilo.

Chanzo: ITV
 
Meneja wa TANESCO wilaya ya Tandahimba Edward Namoto amesema michezo hiyo ni hatari lakini pia inaumiza wananchi wanaotegemea nishati hiyo kujipatia kipato.

Aidha, Wanafunzi hao wa kidato cha tatu ambao wamepanga katika kijiji hicho kwa ajili ya ukaribu wa shule wamekiri hilo.
Nawalaumu tena Tanesco, kwanini wanaweka insulated wire tena zikiwa loose mpaka zikaribiane na kuweza kugusana zinaporushiwa vijiti tu, why no tight the cables?

Nadhani wameajiri wahandisi uchwara
 

Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya zinapogusana.

Meneja wa TANESCO wilaya ya Tandahimba Edward Namoto amesema michezo hiyo ni hatari lakini pia inaumiza wananchi wanaotegemea nishati hiyo kujipatia kipato.

Aidha, Wanafunzi hao wa kidato cha tatu ambao wamepanga katika kijiji hicho kwa ajili ya ukaribu wa shule wamekiri hilo.

Chanzo: ITV

 
Pelekeni umeme huko acheni visingizio ule DSM mlisema kunguru wakikaa vikao kwenye nyaya umeme hauvuki mara ooh kwani mkisema kuna mgao mtaumwa COVD 19?
Ina maana hao kunguru wamekuwa na nguvu kama yule Mzee wa Iringa
 
Ngoja waje wakanushe usikute hata hapo walipopanga hizo nyumba hazina umeme na nguzo zimepita karibu tu hapo ndo maana wanaamua
Kumpopoa shetani mawe!

Anway hao vijana waipib akhera yakhe!
 

Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya zinapogusana.

Meneja wa TANESCO wilaya ya Tandahimba Edward Namoto amesema michezo hiyo ni hatari lakini pia inaumiza wananchi wanaotegemea nishati hiyo kujipatia kipato.

Aidha, Wanafunzi hao wa kidato cha tatu ambao wamepanga katika kijiji hicho kwa ajili ya ukaribu wa shule wamekiri hilo.

Chanzo: ITV
Visingizio vya uongo kabisa
 

Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya zinapogusana.

Meneja wa TANESCO wilaya ya Tandahimba Edward Namoto amesema michezo hiyo ni hatari lakini pia inaumiza wananchi wanaotegemea nishati hiyo kujipatia kipato.

Aidha, Wanafunzi hao wa kidato cha tatu ambao wamepanga katika kijiji hicho kwa ajili ya ukaribu wa shule wamekiri hilo.

Chanzo: ITV
Pamoja na kwamba sikubaliani na huu utetezi wa tanesco kwa kukosekana umeme masaa 24, lakini huu mchezo wa kurusha miti mibichi kwenye nyaya za umeme nimeufanya sana miaka ya 1985/86. ule mlipuko unaotokea pale ilikuwa ni burudani tosha.
 
Back
Top Bottom