Arsenal nini kifanyike na nini tatizo?

Samaritan Nemesis

JF-Expert Member
Mar 7, 2014
233
270
Gunners wenzangu, huu takribani msimu wa4 tumekua tunaikosa UEFA, ukiangalia kipindi cha Wenger hatukua tunakosa.

Match ya Jana dhidi ya liverpool ndo imekata tumaini kabisa. Tatizo ni wachezaji, bodi au vocha?!!!!
 
tatizo ni kocha,, uwezo wake ni mdogo mnooooo kulinganisha na ukubwa wa timu
 
Gunners wenzangu, huu takribani msimu wa4 tumekua tunaikosa UEFA, ukiangalia kipindi cha Wenger hatukua tunakosa.

Match ya Jana dhidi ya liverpool ndo imekata tumaini kabisa. Tatizo ni wachezaji, bodi au vocha?!!!!
Timu yote ifutwe baada ya miaka 10 ianzishwe timu inaitwa arsenal.
 
Gunners wenzangu, huu takribani msimu wa4 tumekua tunaikosa UEFA, ukiangalia kipindi cha Wenger hatukua tunakosa.

Match ya Jana dhidi ya liverpool ndo imekata tumaini kabisa. Tatizo ni wachezaji, bodi au vocha?!!!!
Kuna special thread ya Arsenal nadhani ingekuwa vyema ungepeleka hoja huko utakutana na Gunners wenzio.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom