Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 522
Nina mashine ya Maxmalipo nilikuwa anaitumia tangu mwaka 2010 lakini baada ya hapo nikaiweka pending bila kutumia ila sasa nataka kuanza kuitumia inasumbua netweki naomba kuuliza Je! hawa jamaa wa maxmalipo bado wapo?
Namba zao nikipiga hazipokelewi je napataje msaada?
Namba zao nikipiga hazipokelewi je napataje msaada?