tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Midimay

    Tatizo la Nchi Hii ni CCM

    CCM wanavyohandle maoni ya Ndugai, inaonyesha kabisa kwamba hata tukiwa na katiba mpya na katiba ya CCM ikabaki kama ilivyo; bado haratakuwa na demokrasia katika nchi. Wabunge wetu wataendelea kuwa waoga wa kuisimamia serikali ndani ya Bunge la JMT na nje ya Bunge. Kwa CCM wengi, wanachama...
  2. T

    Tatizo siyo Ndugai kumkosoa mama hata Nancy Pelosi, Spika wa US alichana hotuba ya Trump mbele yake. Tumeanza kukopa juzi na jana Ndugai akiwa Spika

    Ukubwa wa deni haujaanza leo, Spika hajaanza kuwa Spika awamu hii leo, Madeni ya serikali yapo hata katika bunge la leo, malipo ya hovyo yanafanyila hata katika bunge la leo. Kwa nini Spika akemee leo?
  3. Suzy Elias

    CCM shtukeni, TANESCO wanatuharibia

    Chuki iliyopo mtaani kuhusu Tanesco kukata umeme hovyo ni kubwa na inatisha! Shughuli nyingi za kujikwamua kiuchumi hasa kwa vijana mfano Saloon, uchomeleaji wa vitanda, milango na madirisha unakwamishwa kwa kiwango cha kukatisha tamaa. CCM lisimamieni hilo kwa kuwataka wateule wanaohusika...
  4. Idugunde

    Tanzania haina wapinzani bali wajaza matumbo. Tatizo la uhaba wa madarasa limetatuliwa; mnalalama nini kihusu mikopo?

    Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao. Serikali ya CCM kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza...
  5. B

    Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

    Asalam! Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji. Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda...
  6. K

    World Vision kuna tatizo gani, mbona wanatangaza kazi zilezile kila wakati?

    Hawa watu kila week lazima nikutane na matangazo yao ya kazi. Huwa wana matatizo gani mpaka kutangaza kazi kila week na tena unakuta ni zile zile tu?
  7. T

    umachinga ni tatizo nasiyo fursa kama unavyodhani

    umachinga unahusika na ufanyaji biashara ndogondogo zikihusisha uzaji wa bidhaa za viwandani hasa kutoka mataifa ya mbele. biashara hii miaka mingi imekuwa inaendeshwa kiholela bila kuzingatia uzalendo na athari za kiuchumi. Umachinga unazorotesha uchumi wa nchi, machinga ni mawakala wa kukuza...
  8. S

    Tatizo la Covid: Falme za Kiarabu wazuia ndege zao kuja Tanzania

    Hii ni habari kwa mujibu wa taarifa ya habar ya Azam saa mbili usiku huu. Serikali yashangazwa na uamuzi huo wa Falme za Kiarabu . Habari ndio hio.
  9. B

    Tatizo la ukungu kwenye jicho la kuku, tiba yake ni ipi?

    Ndugu zangu, Kuku wangu wamekumbwa na tatizo la ukungu kwenye macho yao. Jicho alivimbi ,muda mwingi analifumba. Rangi ya kile kiini cheusi cha jicho kinakuwa kama kina ukungu. Je, nitumie dawa gani?
  10. N

    Serikali imulike tatizo la wapiga debe nchini

    Kwa muda mrefu hawa wapiga debe wamekuwa sio tu kero bali pia wanaongeza kupanda kwa nauli za mabasi. Yaani hata wenye vyombo vya usafiri twawaogopa. Hata ukiwa na gari yako binafsi huwezi kuchukua abiria au hata kumpa lifti jamaa yako kwa kuwa tu wao huwa wanajimilikisha hao abiria na...
  11. sky soldier

    Pia unaweza ukamkiss lakini mwenzako bado aliona ni mapema sana

    Ni kuhusu mtoko wa kwanza ule (first date) Mtoto umemcheki umempenda na kumtamani pia , umepanga nae miadi umtoe out kwenye date. sasa vile unamrudisha kwao, kuna ile hali ya kuagana kwenye mtoko wa kwanza kuna ishu ya ku kiss na mara nyingi inabidi mwanaume ndio umpige busu. unaweza kudhani...
  12. Doctor MD

    Litambue tatizo la nywele kukatika au kunyonyoka kwa wanawake

    Kwanza awali ya yote napenda uelewe kwamba Kichwa Cha binadamu kinaunda na vishikizi vipatavyo 100,000 Hadi 300,000 ambapo kuptia vishikizi hivi nywele huota Nywele huota kutokana na sababu zipatazo mbili kuu ambazo ni pamoja na homoni na virutubisho ikiwemo vifamin mbalimbali na madini ya...
  13. S

    TANESCO umeme unasumbua sana hasa leo hapa Dar maeneo mengi umeme tatizo! Chondechonde tunaomba muwe mnatoa taarifa! Kazi hazendi kabisa!

    Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa...
  14. B

    Kesi ya Mbowe: Kupoa mno Kwetu ndilo Tatizo Kuu

    Kama ilivyo tarajiwa hukumu ya leo haikuwa na jipya kama zitakavyokuwa za siku zijazo. Refa kajikita kutafuta chochote dhidi ya upande wa utetezi ili kutupilia mbali lolote wanalo wasilisha. Ama kweli ni refa mchezaji aliyedhamiria kweli kweli. Hoja ngapi za mashtaka zilikuwa na utata mwingi...
  15. R

    Tatizo kudownload Apps Play store

    Habari Wakuu, Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni isipokuwa factory reset bila mafanikio. Msaada tafadhali.
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Tunahitaji propaganda mpya iliyosimama Kupunguza tatizo la Ajira. Serikali mpoo!

    TUNAHITAJI PROPAGANDA MPYA ILIYOSIMAMA KUPUNGUZA TATIZO LA AJIRA. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Kwa zaidi ya 80% ya maisha ya mwanadamu yanaongozwa na Propaganda. Iwe propaganda nzuri au mbaya. Iwe Kwa wazungu, wachina, waarabu au Waafrika, propaganda Kwa sehemu kubwa ndio hufanya watu wawe na...
  17. I

    Mzee Warioba: Rais Samia amekubali Katiba Mpya, tatizo ni Corona

    Mh. Warioba amesema hayo akihojiwa na Mobali wa BBC. Hivyo amesema hajui kura ya maoni itafanyika lini kutokana na janga la Corona.
  18. B

    Tatizo la pikipiki kuchelewa kuwaka

    Pikipiki aina ya Dayun. Betri mpya plug mpya. Lakini inachelewa kuwaka sometime napiga kick ndio I wake, tatizo linaweza kusababishwa na Nini wakuu?
  19. Huihui2

    Hatuwezi kutatua tatizo la sukari bila kusahihisha makosa ya Hayati Magufuli kwenye sekta hii mwaka 2016

    Kwa umri wangu shida ya sukari nchini ikikwisha mwaka 1995 na maduka ya RTC alipokuja AH Mwinyi, sijawahi kuisikia tena mpaka huyu Magufuli alipoivuruga. Mwinyi ndiye aliyeleta trade liberalization, yaani aliruhusu Watanzania wenye uwezo kuagiza popote na kuja kuuza Tanzania. Mwaka 1980-85...
  20. Equation x

    Kama wewe una miaka zaidi ya 25 na huna mpenzi, hilo ni tatizo sugu

    Kama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25 hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa...
Back
Top Bottom