The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,211
Mojawapo ya Kinachosababisha sizipendi simu za Iphone ni muonekano. Iphone matoleo 3 ama hata 4 yanaweza kufanana usijui yupi anatumia simu ipi na yupi ana simu ipi.
Kwa mfano, hii design ya macho 3 ilikuja na Iphone 11, haijabadilika hadi Iphone 13, mtu mwenye Iphone 11 na Mwingine ana Iphone 13 huwezi kuwatofautisha hadi uwaulize wewe unatumia iphone gani hiyo. Hayo mambo ndio sipendi.
Tukija kwa manufacturer wengine kama Samsung, Samsung s9 iko tofauti na s10 iko tofauti na s20, iko tofauti na s21 na iko tofauti na s22 kwa muonekano.
Nasikia Iphone 14 itakua tofauti, tusubiri tuone.
Kwa mfano, hii design ya macho 3 ilikuja na Iphone 11, haijabadilika hadi Iphone 13, mtu mwenye Iphone 11 na Mwingine ana Iphone 13 huwezi kuwatofautisha hadi uwaulize wewe unatumia iphone gani hiyo. Hayo mambo ndio sipendi.
Tukija kwa manufacturer wengine kama Samsung, Samsung s9 iko tofauti na s10 iko tofauti na s20, iko tofauti na s21 na iko tofauti na s22 kwa muonekano.
Nasikia Iphone 14 itakua tofauti, tusubiri tuone.