Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 168
- 254
Uso wangu upo rafu sana..nina mba sana na nimeshatumia antifungal creams za kila aina ila bado mambo bado,hata za kumeza pia kama fluconazole,itraconazole lakini mba unaisha na uso unakaa vizuri kwa siku chache tu mba wanarudi tena kwa kasi ya ajabu.
Wakuu mwenye experience ya hii shida aliitibu vipi naomba msaada tafadhali.Nakosa kabisa confidence kisa ya uso wangu kuwa rough.Sehemu nyingine sina mba au fangasi wowote.
Wakuu mwenye experience ya hii shida aliitibu vipi naomba msaada tafadhali.Nakosa kabisa confidence kisa ya uso wangu kuwa rough.Sehemu nyingine sina mba au fangasi wowote.