tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. MZK

    JamiiForums Tanzania Mradi wa umeme wa maporomoko ya Rusumo gharama kubwa mara 4 ya mradi wa umeme Stiegler’s Gorge pigo kwa walala hoi wa (Tanzania, Rwanda na Burundi)

    Mradi wa Umeme wa maporomoko ya Mto Rusumo uliopo mpakani wa Tanzania na Rwanda, unazishirikisha Nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi unaendeshwa kwa mkopo Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika kupitia taasisi au mtu kati anayeitwa NELSAP, mradi huu unatarajiwa utakapokamilika...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaotakiwa kupendelewa na kupewa vipaumbele na Rais John Pombe Magufuli Tanzania nzima ni JWTZ (TPDF) pekee?

    Rejea kichwa cha Habari hapo juu kisha anza kutiririka na kuserereka kwani mimi GENTAMYCINE tayari nimeshachoka na hii tabia ya Mheshimiwa Rais kuonyesha anawapenda sana wanajeshi wa Tanzania kuliko makundi mengine yote wakati ukweli ni kwamba kila Tasnia (kada) ya uwajibikaji nchini Tanzania...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa kishindo uliopata CCM umemuongezea Rais wetu hamasa ya kuendelea kututumikia vyema zaidi. Tanzania ipo nawe, tuvushe twende mbali zaidi

    Hakuna ushindi wenye raha kama wa kishindo. Ushindi wa namna hiyo unatoa hakikisho kuwa chochote unachofanya kinapata baraka kutoka kwa watu. Kila mmoja hawezi kukupongeza kwa kazi nzuri unayofanya lakini kupitia sanduku la kura ndio utajua mwitikio wa kile unachofanya. Wiki hii ni ya shangwe...
  4. Msanii

    JamiiForums Tanzania Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Wananchi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa Serikali za Mitaa ambapo zoezi hilo linaanza saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni na wale wote watakao kuwa kwenye foleni muda huo wataruhusiwa kupiga kura Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema Uchaguzi huo utafanyika katika...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Elizabeth Michael (Lulu) abeba ujauzito wa Majizzo

    ELIZEBERT MICHAEL (LULU) ABEBA UJAUZITO WA MAJIZO Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua mtoto wake wa kwanza. Lulu ametumia ukurasa wake wa Instagram kupost picha hiyo kitu ambacho kila mtu...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Repoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikizungumzia Tanzania

    Mabeberu meusi yameingia kwenye vita na Tanzania, vita ya kiuchumi imenoga tunaonewa wivu kila kona hadi na weusi wenzetu, hii inamanisha kwamba tupo pazuri mnooo,haijawahi kutokea tangu uhuru Hii ni ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikiisuta awamu ya tano.
  7. waltham

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demokrasia Tanzania yazidi kukita mzizi, Kenya tupate funzo gani hapa?

    HAPA KAZI TU, ASILIMIA MIA BIN MIA....!!!!! UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: CCM YASHINDA KWA ASILIMIA 99.9 - Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa CCM imeshinda Vijiji 12,260 sawa na 99.9% - Pia, kimeshinda Mitaa 4,263 sawa na 100% na kikishinda Vitongoji 63,970 sawa na 99.4% Soma...
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Magufuli aagiza wananchi walipwe bilioni 3.4

    Rais John Magufuli ameliagiza Jiji la Dodoma kuanzia Desemba mosi mwaka huu lianze kulipa fidia kwa wananchi wa Kikombo Dodoma ambao maeneo yao yamechukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi Tanzania. Ametoa agizo hilo leo muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo na...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Finance Officer at Aga Khan Health Services Tanzania (AKHST)

    Aga Khan Health Services Tanzania (AKHST) – an agency of the Aga Khan Development Network (AKDN) is a non-profit international organization that supports social development programs in Tanzania completed a major expansion to position the institution to become a leading and integrated tertiary...
  10. K

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama pekee Tanzania chenye kutoa fursa sawa kwa wote kuchaguliwa nafasi za uongozi, vyama vingine ni ubabaishaji tu unafanyika

    Wakati CHADEMA ikiwa inajiandaa kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya chama chao, wametoa orodha ya wagombea uenyekiti kanda mbalimbali za kichama. Orodha hiyo imenishangaza katika mambo mawili: la kwanza, orodha ya wagombea wote wa kanda zote 10 ni waheshimiwa kwa maana ya kwamba wana nafasi...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Mhe. Dkt Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu bodi za wakurugenzi

    Mheshimiwa Rais kwanza nikupongeze sana kwa jitihada ulizozichukua kuhakikisha mashirika ya umma yanalipa gawio kwa serikali. Tumeona mwaka 2014/15 ni kiasi kidogo tu kilichokuwa kikitolewa kwa serikali na mashirika mengi yalikuwa hayafanyi vizuri,lakini sasa tunaona tunapata hadi Tshs Trilioni...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi katufundisha jambo juu ya utanzania na umuhimu wa kuilinda Tanzania ili tuendelee kuitwa watanzania. Ni mzalendo wa kweli

    Kila mara Prof. Kabudi anapoongea uwa nakuwa makini kutega sikio kuchota busara na hekima, hakika kwangu ni moja ya watu ambao sichoki kuwasikiliza. Kwa wengine inawezekana anaongea vitu vikubwa kuliko uelewa wao na wanashindwa kumuelewa lakini tunaomuelewa Prof. Kabudi hatuna mashaka na uchungu...
  13. britanicca

    JamiiForums Tanzania Wasanii wangu 20 wa Muda wote TOP 20 of all time in Tanzania

    Vigezo vyangu A. Mashairi B. Ujumbe C. Heshima ndani ya Mashairi D. kucheza na jukwaa E. Muda wa Mziki wake kudumu Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia. 1. Dr...
  14. Christopher Cyrilo

    JamiiForums Tanzania Ukomo wa uenyekiti Chadema ni tofauti na ukomo wa Urais Tanzania

    Kuna vijana wanajadili kuhusu ukomo wa uwenyekiti wa Mh. Mbowe ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) halafu wanahusisha na ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wanadai kwamba kitendo cha baadhi ya vijana wa Chadema kutaka Mbowe aendelee basi kinawapunguzia nguvu ya...
  15. Cyangungu

    JamiiForums Tanzania Unadhani kutakuwa na msisimko tena wa kisiasa hapa Tanzania?

    CCM na Magufuli hatimaye wameshinda! Kama kuna kosa kubwa wapinzani walifanya ni kususia Uchaguzi wa Viongozi ngazi ya Serikali za mitaa unaofanyika hii leo wakidhani wanaikomoa CCM na Serikali pasina kufahamu kwa kufanya hivyo wanawasaidia Watanzania kutokuwa na morali tena wa kushiriki siasa...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kuanguka kwa Demokrasia Tanzania: U-Magufuli na mabadiliko yasiyo na baraka za Watanzania

    Kwenye viunga vya wasomi na wanasiasa, wachambuzi na wanaharakati hili jambo linaendelea kujadiliwa sana. Katika dhamira ya kuleta mabadiliko Rais Magufuli anaonekana kuwa na dhamira lakini amekosa wapi na lipi ashike. Amekosa mipango ambayo ingeihakikishia Tanzania mabadiliko aliyokusudia...
  17. assadsyria3

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...
  18. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Wakati muafaka Oryx Gas kupunguza bei za gesi zao, Mh. Waziri tetea Wananchi kwa maendeleo ya Tanzania

    Kuna siku niliweka mshangao wangu hapa bei ya mafuta ya Uganda ni ndogo kuliko Diesel ama petrol inayouzwa Tanzania. Nikawaza haya Malori yanayosomba mafuta wanasema wanapeleka Uganda wanabeba mafuta ama ulezi. Leo naomba nieleze bei za gesi hapa nchini Kumekuwa na mtafaruku sana hapa kati...
  19. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Ndege nyingine ya Tanzania yazuiliwa Canada.

    Waziri wa mambo ya nje ameonesha kusikitishwa na zaidi ya hapo kukasirishwa na kitendo kinachofanywa na Canada kila ndege ya Tanzania inapotaka kutoka hapo. Kwa maneno yake...."siyo Canada peke yao ndiyo wanaotengeneza ndege". Natamani tufukue hili kaburi tujaribu kuona kulikoni Canada?
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

    Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo. Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo. Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
Back
Top Bottom