Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
The World Bank (WB) has appreciated the way government development projects in Arusha Region have been well implemented, reiterating its willingness to release 450m USD for the next phase of Productive Social Safety Net (PSSN) programmes.
The appreciation was made after Arusha Regional...
Biashara yeyote duniani ikianzishwa watu wenye biashara huanzisha ushindani wa kutafuta wateja.
Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo watu hushindana kujenga fremu za biashara lakini hawashindani kutafuta wateja wa kupangisha fremu na hivyo kusababisha mifremu mingi kuwa mitupu isiyo na...
Takribani mwezi au wiki mbili tatu mfululizo, Clouds Fm wamekuwa wakiendesha mjadala redioni unaoangazia mambo kadha wa kadha ya game ya muziki wa Bongo Fleva, tangu kuasisiwa kwake.
Mijadala hii, iliyopewa jina la Bongo Fleva Round table, inayofanyika jumamosi kwenye kipindi cha Bongo Fleva...
Habari za asubuhi wadau!
Leo nilikuwa nasikiliza radio nikiwa kwenye daladala kwa kweli takwimu za wanafunzi wanaopata mimba ni kubwa sana. Huko mkoani Mwanza hali inaonekana ni mbaya zaidi. Kwa kweli takwimu inawezekana ni kubwa zaidi kwa sababu maeneo mengine ya nchi haya mambo hayaripotiwi...
Benki ya Dunia inazindua sasisho la 13 la Uchumi wa Tanzania lenye jina la 'Mabadiliko katika Kilimo: Kutambua Uwezo wa Kilimo kwa Ukuaji wa Pamoja na Kupunguza Umasikini,' linalotoa udharura katika kuunga mkono sera za umma na kusaidia Umati wa Watu katika uwekezaji wa sekta binafsi na kuchukua...
Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema wanatafakari kuIshtaki Serikali ya Tanzania katika kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika.
Katika barua...
Friday, 9 August 2019
Author: Nick Westcott
I visited Tanzania last month for the first time in five years, and the first time since John Magufuli was elected President.
I have been visiting the country regularly since 1976, spending a year living there in 1979 as a student, and three years...
Bhanamhala mhu le mhola hene?
Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu.
Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze...
Ripoti mbalimbali za Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na mashirika mbalimbali zinaonyesha kuwa idadi ya watu maskini imeongezeka kama vielelezo vinavyoonyesha hapa chini.
=====
Why number of the poor has increased
WEDNESDAY DECEMBER 4 2019
World Bank country director Bella Bird...
Tanzania haiwezi kuendelea na kamwe haitoendelea muda wa kuwa CCM ndio inaongoza Dola. Kwa nini nasema hivi?
Kwasababu Dola imefunga ndoa na CCM na CCM imefunga ndoa na Dola. Kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka. CCM wanajiona wao ndio wenye Dola na waliopo kwenye Dola wote wanajiona ni CCM...
Hili neno kwa sasa lipo viral sana kwa watangazaji wa Tanzania, sijajua ni ulimbukeni au ni katika kujionyesha wamesoma na sio makanjanja.
Out of context utasikia hilo neno limechomekwa, huwa nakereka sana.
Limeanzia Clouds fm huko kwenye kipindi cha XXL and Amplyfier, naona sasa hata kwenye...
SERIKALI imesema mchakato wa kimahakama wa kuachiwa kwa ndege mpya ya Tanzania, aina ya Bombardier Q400 iliyokamatwa nchini Canada hivi karibuni, uko katika hatua nzuri.
Mkulima, Hermanus Steyn aliikamata ndege hiyo mwishoni mwa mwezi uliopita nchini Canada. Mzungu huyo aliwahi kuikamata ndege...
Uchumi wa Tanzania utakuwa kwa asilimia 5.8 mwaka 2020 ikilinganishwa na makadirio ya asilimia 5.6 mwaka huu na ukuaji utaongezeka hadi asilimi 6.1 mwaka 2021, kulingana na ripoti ya benki ya dunia siku ya Jumanne.
Matarajio ya benki ya dunia yapo chini ikilinganishwa na makadirio ya asilimia...
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.
Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya...
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group
Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.
Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.
Njia pekee ya...
Tanzania imeondoa Art 34(6) kwenye sheria zake inayoruhusu mwananchi mmoja mmoja na NGO's kuishitaki kwenye mahakama ya Afrika.
Je huu ni uoga au imeona inafanya makosa mengi.
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu ilianza rasmi shughuli zake huko Addis Ababa, Ethiopia mnamo Novemba...
Kila nikijiuliza sipati jibu, juzi hapa nimekutana na ndugu yangu hatujaonana kitambo sana. Katika kupiga stori akaniambia kati ya sigara au bangi kuna kimoja unatumia. Nikamuuliza umejuaje? Akasema nimeona tu mdomo mweusi.
Sasa hawa wenzetu kina Bob Marley, Snoop Dogg, Wiz khalifa, Obama, Lil...
Serikali ya Tanzania imeondoa haki ya mtu na asasi za kiraia (NGOs) kuweza kufungua mashtaka dhidi yake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na za Mataifa, Shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International limegundua.
Kuondolewa kwa haki hizi kutawanyang’anya watu na asasi...
The Tanzanian government has withdrawn the right of individuals and NGOs to directly file cases against it at the Arusha-based African Court on Human and Peoples’ Rights, Amnesty International has established.
This withdrawal of rights will rob people and organisations in Tanzania a vital...
Shirika la ndege la ndege la South Africa, lenye jumla ya ndege karibu 50 kubwa, za kati na ndogo, liko katika hali mbaya kiuchumi kiasi linakaribia kuwa mufilisi.
Shirika hili kwa miaka mingi limekuwa likijiendesha kwa kutegemea ruzuku za serikali bila kuwa na uwezo wa kusimama kwa miguu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.