Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

Apr 6, 2020
12
45
Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok

Nitaelekeza kwa mifano
Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na moja ya njia zinazotumika kusoma hizo target ni Nuclear magnet resonance imaging (NMR), au X-ray crystallography for crystalline samples.

Kuna field ya biomedicine inaitwa bioinformatics mtu wa medical lab hasomi at all wala Daktari, mtu wa Biotechnology au Microbiology anasoma. Na hii ni kitovu cha medical research hasa katika kutafiti novel strain kwa computer simulations. JE WAJUA? hadi kufahamu kua SARS cov -2 (Corona virus 2) ametoka kundi la Virus wanaosababisha SARS na MERS ni application ya Molecular biology techniques kama Sequencing pamoja na Computational biology (Bioinformatics)? Mtu wa medical lab akiambiwa afanye hili zoezi dogo tu hatoweza kwa sababu hajaandaliwa kufanya hizo kazi.
How can you find out a viral or bacterial mutations kama haujui kitu kuhusu BIOINFORMATICS?

Medical personnel (medical labs, MDs) hawafanyi research za Molecular levels wanafanya tafiti za epidemiology, statistical based research, wakifanya experimental basi mwisho wao ni Cell Biolog kwa sababu hawasomi sayansi to the Molecular level.

How can you produce a Vaccine pasipo kujua Bioinformatics? Pasipo na knowledge ya Genetic engineering/Recombinant DNA technology? Pasipo na knowledge ya downstream processing? The same thing to Monoclonal antibodies, Insulin, enzymes na antibiotics.

Wapo madaktari wachache Tanzania waelewa sana na hao nadiliki kuwaita wanasayansi makini ukimpa facts za kisayansi kama hizi moja kwa moja anajifunza kitu na kutambua kua Biotechnology ni msaada mkubwa kwake ili akamilishe matibabu.

Wapo wasiotaka kukubali, I call them SELFISH scientists japo wanatumia immunosuppressant drugs eg. Alemtuzimab wakifanya solid organ transplantation, still hawataki kujua kuhusu nani anazalisha do you think it's such an easy task to target Cytokine receptors?? Like IL6R? Au akiprescribe dawa akaandika kutwa mara tatu anaona yeye ndie mgunduzi kwa sababu ndie aliemalizia kwa kumtibu mgonjwa?

Mbona sisi wanasayansi (Researchers) tunakili hatuwezi fanya surgery? , mbona tunakili hatuwezi Fanya consultations na wagonjwa?, Mbona tunakili haturuhusiwi kufanya prescription za madawa japo kua tunayatengeneza sisi wenyewe na tunayajua kuliko madaktari?
Jibu ni simple Tu tunaheshimu nafasi ya kila mmoja na hiyo ndio sayansi ya kweli. Maana sisi sio madaktari so hatuwezi deal na wagonjwa ila we can deal with samples.

Tatizo watu wengi hawajui vitu na hawaamini kua sayansi inaendelea wakisoma medical labs au Md wanahisi wamemaliza which is not true, sayansi inaendelea na iko deep.
Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements.

Ntatoa tofauti ndogo ya coverage katika curriculum zetu.

Medical Lab technologists na MD wanasoma
Microbiology pamoja na immunology

Biotechnology wanasoma kozi sita separate ili wawe deep zaidi.

Medical bacteriology as a course
Medical Virology as a course
Medical mycology as a course
Parasitology as a course
Entomology as a course hapa Medical lab wanamix parasitology na entomology.
Biotechnology wanasoma Molecular virology, (Virology at Molecular Level) MD wala medical lab hawasomi molecular virology.

Huu ni uchambuzi wa microbiology Tu hizo courses unawezaje kua deep kwa kumix zote tena unasoma semester moja.

Immunology
Mtu wa biotechnology anasoma immunology yote.
Immunology 1 (Introduction to Immunology)
Immunology 2 (Molecular immunology)
Immunology 3 (Clinical immunology)
Tena usiombe ukafundishwa na PHD holder mmoja yuko UDSM anaitwa Dr. Victor Makene, haachi kitu hata nukta.
Do you know kama antibody molecule ambayo wewe unaishia kutambua kua ni Y shaped molecule kuna watu wanaisoma wiki 3? Uliwahi sikia kuhusu complementary determining regions (CDR)?

Kuna watu hawajui hata kirefu cha CD4 na wengine wanajua CD4 Ni cell ooooh My God. Embu tuacheni siasa tufanyeni SAYANSI.

Nina swali moja la kitaalamu kwa medical personnel ngazi yeyote ile hata kama ni professor.

Duniani kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV kutokana na kua na mutation kwenye CCR5 (Chemokine receptor 5) kitalamu inaitwa Delta 32 mutation, na ilimponya bwana timothy Brown aliekua intended kutibiwa cancer by Bone marrow transplantation method.

Swali. Unawezaje kutumia Clustered regularly interspaced palindromic repeats (CRISPR) System (Natural bacterial adaptive immune system used to fight phages) to introduce induced mutation ili Duniani sasa watu wawe immune to HIV? Nieleze na side effects zake.
Hili swali sijajitungia Tu ni project inayoendelea Kwa nchi za wenzetu waelewa wanaotambua mchango wa scientific research acha sisi Tanzania tuendelee kubishana nani bora zaidi.
Tuma jibu lako kwenye email #melchscience@gmail.com
Am pretty sure kama hujasoma Molecular biology hili ni zoezi zito sana.

Tunaendelea na coverage
Biochemistry 1
Biochemistry 2
Biochemistry 3

Molecular biology 1
Molecular biology 2
Molecular cell biology
Molecular developmental biology

Organic Chemistry 1
Organic Chemistry 2
Analytical chemistry

Biostatistics 1 &2
Bioinformatics 1 & 2

Applied Physics in Biology
Humu utasoma principles za vifaa vya laboratory mfano, Microscope, centrifuge, NMR, electronics etc

Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES

Wanafanya PCR, molecular biology tool ilogunduliwa na Biochemist Dr. Karry Mullis 1944. Lakini hawamtaki graduate wa Molecular biology afanye PCR. #SELFISHNESS

Hausomi downstream processing unawezaje zalisha enzymes au other proteins for medical use??


Tanzania ifike wakati tukubaliane katika sayansi kila mmoja anaumuhimu kwenye eneo lake. TUACHE UPOTOSHAJI wa jamii, wengine wanadiliki kutanganya kua Biotechnology ni kwajili ya viwanda tu, wengine wanapotosha wakisema wataalamu wa biotechnology ni watu wa Mafuta na Gesi are they petroleum geologists?

Nisikilize kwa makini.
Biotechnology Ina makundi manne White biotech(industrial biotechnology)
Red /Medical biotechnology
Green /Agricultural biotechnology

So they can do a lot kila eneo.
Watu wa MD, na Medical labs wameandaliwa kwaajili ya Clinical environment, kutoa huduma kwa wagonjwa.
Bio technologists and other scientists kama microbiologist wameamdaliwa kwaajili ya research laboratories huko watafanya uvumbuzi utakao kua applied na medical personnel. Mbinu zote za upimaji magonjwa maabara zinatokea kwenye biotechnology. Watu wa Medical lab wanatumia monoclonal antibodies kupima blood group lakini maskini ya Mungu hawajui nani anazalisha Hizo antibodies

Kwa ufupi hiyo ni hybridoma technology (Cancer cell + normal cell fusion) najua sio rahisi kuelewa lakini ifike wakati mjue mwanasayansi makini sio SELFISH, Mwanasayansi makini anathamini mchango wa mwenzie kama ambavyo watu wa biotechnology wanavowategemea MD na Medical labs au Pharmacists kutibu wagonjwa.
THINK BIG THINK BIG THINK BIG

Na huu ujinga bado upo Tanzania Tu nenda US, nenda China, India, Italy nenda Kenya au fuatilia google utagundua Biotechnology ndio kitovu cha Life Sciences reseach. Bill gates aliwahi ulizwa akirudi shule Leo ataamua kusoma nini akajibu Biotechnology and computer science coz ndo fields zinazokua kwa kasi sana. TUBADILIKE TANZANIA TUKO NYUMA SANA KWA SABABU ZA UJINGA TU NA UBINAFSI.

Swali TANZANIA IKIPIGWA NA BIOLOGICAL WEAPON ya virus au engineered bacteria MD au MEDICAL LAB scientist ataanzia wapi ikiwa hajui hata kufanya DNA extraction?

Ikiwa hajui hata Bioinformatics (Computational biology) hajui chochote kuhusu Nucleic acid Sequencing?

Ikiwa hajui chochote kuhusu Downstream processing anawezaje hata purify antibodies?

Ikiwa hajui chochote kubusu NMR
Au Mass spectroscopy anawezaje hata kutambua poisonous proteins?

Guys kila mtu aheshimu profession ya mwenzie. Sayansi hakuna anaeijua yote ndo mana kuna specialization. Sasa Tanzania mtu akisoma tu medical school anaona mtu alietokea UDSM au SUA hajui kitu kumzidi yeye huo ni ufinyu wa fikra. Sayansi is wide.

Kauli yangu ya mwisho:

TUTHAMINIANE HII DUNIA HATUISHI MILELE TUACHE UBINAFSI, UNASABABU IPI YA KUPINGA BIOTECHNOLOGY ISIWE CHINI YA WIZARA YA AFYA? IKIWA HAPO ULIPO UNASUBIRI CHANJO (VACCINE) YA COVID 19 KUTOKA KWA WESTERN BIOTECHNOLOGICAL CAMPANIES?

Prepared by Modern scientist.
Contact: 0758406251
Email #melchscience@gmail.com
Instagram scientist_melch
 
Mi nimekuelewa mkuu. Tatizo sio hao wataalam (MD na Medical Lab Technologists) kuwa wako Selfish bali tatizo ni Wizara ya afya imejaza madaktari na watu wa medical lab karibu kila idara na kitengo.

Haina biotechnologists wala molecular biologists. Actually tulitakiwa kuwa na Idara pale wizarani ya Biomedical Research ambayo tulitegemea iwe na Biotechnologists na Molecular biologists wakutoshs.

Nchi hii ndio maana hata tiba zetu za asili haziendelezwi kwasababu wizara ya afya inaongozwa na wakiritimba, watu ambao sio flexible, wameaminishwa kuwa kila cha wazungu ni bora na wanadharau kila maarifa ya asili na hivyo hawafikirii hata kuendeleza.

Tumejaza matabibu na sio watafiti, akili yao imeishia kwenye kutibu kwa kutumia kila kitu cha mzungu na sio kutumia maarifa yaliyobuniwa ndani. Labda Dr. Zain Chaula Katibu Mkuu afya kidogo naona ana flexibility huenda akafanya mabadiliko kama asipomezwa na mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu heko sana kwako umeeleza mpaka nimeridhika hii mada yako ulilenga kujibu hoja kuwa kwa namna vp hao watu uliowataja wanahusika katika pharmaceutical industry lakin kwa kujua au kutokujua ukaegemea upande wa Medical Personnels ambao ni Medical lab na MDs mwanzoni nilidhani umewataja ili kueta mantiki zaidi katika sentensi yako ila karibia kila aya umewalenga na mbaya zaidi ukawaita SELFSH maskin kumbe hata hawajahusika kabisa na kutunga sera/utaratibu nani ahusike moja kwa moja katika kuhudumia wagonjwa hapa napata ukakasi naona pengine una chuki binafsi na hilo kundi.

Binafsi huwa naona tuko nyuma mno katika tecknolojia ndio maana hata hizo fields za microbilogy na biotechnology zinaonekana hazina maana kabisa hapa kwetu wakati kimsingi zaidi ni fields muhimu kwa ustawi wa huduma za afya kilomo viwanda na utafiti kwa ujumla...

Hongera sana mkuu kwa ufafanuzi huu mujarabu na mukitiribu kuna nyuzi humu ndani huwa zinahoji ufafanuzi na applications za hizo fields na wao kwa muda na nafasi zao watapita hapa na kuongeza chochote..
 
Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok

Nitaelekeza kwa mifano
Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na moja ya njia zinazotumika kusoma hizo target ni Nuclear magnet resonance imaging (NMR), au X-ray crystallography for crystalline samples.

Kuna field ya biomedicine inaitwa bioinformatics mtu wa medical lab hasomi at all wala Daktari, mtu wa Biotechnology au Microbiology anasoma. Na hii ni kitovu cha medical research hasa katika kutafiti novel strain kwa computer simulations. JE WAJUA? hadi kufahamu kua SARS cov -2 (Corona virus 2) ametoka kundi la Virus wanaosababisha SARS na MERS ni application ya Molecular biology techniques kama Sequencing pamoja na Computational biology (Bioinformatics)? Mtu wa medical lab akiambiwa afanye hili zoezi dogo tu hatoweza kwa sababu hajaandaliwa kufanya hizo kazi.
How can you find out a viral or bacterial mutations kama haujui kitu kuhusu BIOINFORMATICS?

Medical personnel (medical labs, MDs) hawafanyi research za Molecular levels wanafanya tafiti za epidemiology, statistical based research, wakifanya experimental basi mwisho wao ni Cell Biolog kwa sababu hawasomi sayansi to the Molecular level.

How can you produce a Vaccine pasipo kujua Bioinformatics? Pasipo na knowledge ya Genetic engineering/Recombinant DNA technology? Pasipo na knowledge ya downstream processing? The same thing to Monoclonal antibodies, Insulin, enzymes na antibiotics.

Wapo madaktari wachache Tanzania waelewa sana na hao nadiliki kuwaita wanasayansi makini ukimpa facts za kisayansi kama hizi moja kwa moja anajifunza kitu na kutambua kua Biotechnology ni msaada mkubwa kwake ili akamilishe matibabu.

Wapo wasiotaka kukubali, I call them SELFISH scientists japo wanatumia immunosuppressant drugs eg. Alemtuzimab wakifanya solid organ transplantation, still hawataki kujua kuhusu nani anazalisha do you think it's such an easy task to target Cytokine receptors?? Like IL6R? Au akiprescribe dawa akaandika kutwa mara tatu anaona yeye ndie mgunduzi kwa sababu ndie aliemalizia kwa kumtibu mgonjwa?

Mbona sisi wanasayansi (Researchers) tunakili hatuwezi fanya surgery? , mbona tunakili hatuwezi Fanya consultations na wagonjwa?, Mbona tunakili haturuhusiwi kufanya prescription za madawa japo kua tunayatengeneza sisi wenyewe na tunayajua kuliko madaktari?
Jibu ni simple Tu tunaheshimu nafasi ya kila mmoja na hiyo ndio sayansi ya kweli. Maana sisi sio madaktari so hatuwezi deal na wagonjwa ila we can deal with samples.

Tatizo watu wengi hawajui vitu na hawaamini kua sayansi inaendelea wakisoma medical labs au Md wanahisi wamemaliza which is not true, sayansi inaendelea na iko deep.
Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements.

Ntatoa tofauti ndogo ya coverage katika curriculum zetu.

Medical Lab technologists na MD wanasoma
Microbiology pamoja na immunology

Biotechnology wanasoma kozi sita separate ili wawe deep zaidi.

Medical bacteriology as a course
Medical Virology as a course
Medical mycology as a course
Parasitology as a course
Entomology as a course hapa Medical lab wanamix parasitology na entomology.
Biotechnology wanasoma Molecular virology, (Virology at Molecular Level) MD wala medical lab hawasomi molecular virology.

Huu ni uchambuzi wa microbiology Tu hizo courses unawezaje kua deep kwa kumix zote tena unasoma semester moja.

Immunology
Mtu wa biotechnology anasoma immunology yote.
Immunology 1 (Introduction to Immunology)
Immunology 2 (Molecular immunology)
Immunology 3 (Clinical immunology)
Tena usiombe ukafundishwa na PHD holder mmoja yuko UDSM anaitwa Dr. Victor Makene, haachi kitu hata nukta.
Do you know kama antibody molecule ambayo wewe unaishia kutambua kua ni Y shaped molecule kuna watu wanaisoma wiki 3? Uliwahi sikia kuhusu complementary determining regions (CDR)?

Kuna watu hawajui hata kirefu cha CD4 na wengine wanajua CD4 Ni cell ooooh My God. Embu tuacheni siasa tufanyeni SAYANSI.

Nina swali moja la kitaalamu kwa medical personnel ngazi yeyote ile hata kama ni professor.

Duniani kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV kutokana na kua na mutation kwenye CCR5 (Chemokine receptor 5) kitalamu inaitwa Delta 32 mutation, na ilimponya bwana timothy Brown aliekua intended kutibiwa cancer by Bone marrow transplantation method.

Swali. Unawezaje kutumia Clustered regularly interspaced palindromic repeats (CRISPR) System (Natural bacterial adaptive immune system used to fight phages) to introduce induced mutation ili Duniani sasa watu wawe immune to HIV? Nieleze na side effects zake.
Hili swali sijajitungia Tu ni project inayoendelea Kwa nchi za wenzetu waelewa wanaotambua mchango wa scientific research acha sisi Tanzania tuendelee kubishana nani bora zaidi.
Tuma jibu lako kwenye email #melchscience@gmail.com
Am pretty sure kama hujasoma Molecular biology hili ni zoezi zito sana.

Tunaendelea na coverage
Biochemistry 1
Biochemistry 2
Biochemistry 3

Molecular biology 1
Molecular biology 2
Molecular cell biology
Molecular developmental biology

Organic Chemistry 1
Organic Chemistry 2
Analytical chemistry

Biostatistics 1 &2
Bioinformatics 1 & 2

Applied Physics in Biology
Humu utasoma principles za vifaa vya laboratory mfano, Microscope, centrifuge, NMR, electronics etc

Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES

Wanafanya PCR, molecular biology tool ilogunduliwa na Biochemist Dr. Karry Mullis 1944. Lakini hawamtaki graduate wa Molecular biology afanye PCR. #SELFISHNESS

Hausomi downstream processing unawezaje zalisha enzymes au other proteins for medical use??


Tanzania ifike wakati tukubaliane katika sayansi kila mmoja anaumuhimu kwenye eneo lake. TUACHE UPOTOSHAJI wa jamii, wengine wanadiliki kutanganya kua Biotechnology ni kwajili ya viwanda tu, wengine wanapotosha wakisema wataalamu wa biotechnology ni watu wa Mafuta na Gesi are they petroleum geologists?

Nisikilize kwa makini.
Biotechnology Ina makundi manne White biotech(industrial biotechnology)
Red /Medical biotechnology
Green /Agricultural biotechnology

So they can do a lot kila eneo.
Watu wa MD, na Medical labs wameandaliwa kwaajili ya Clinical environment, kutoa huduma kwa wagonjwa.
Bio technologists and other scientists kama microbiologist wameamdaliwa kwaajili ya research laboratories huko watafanya uvumbuzi utakao kua applied na medical personnel. Mbinu zote za upimaji magonjwa maabara zinatokea kwenye biotechnology. Watu wa Medical lab wanatumia monoclonal antibodies kupima blood group lakini maskini ya Mungu hawajui nani anazalisha Hizo antibodies

Kwa ufupi hiyo ni hybridoma technology (Cancer cell + normal cell fusion) najua sio rahisi kuelewa lakini ifike wakati mjue mwanasayansi makini sio SELFISH, Mwanasayansi makini anathamini mchango wa mwenzie kama ambavyo watu wa biotechnology wanavowategemea MD na Medical labs au Pharmacists kutibu wagonjwa.
THINK BIG THINK BIG THINK BIG

Na huu ujinga bado upo Tanzania Tu nenda US, nenda China, India, Italy nenda Kenya au fuatilia google utagundua Biotechnology ndio kitovu cha Life Sciences reseach. Bill gates aliwahi ulizwa akirudi shule Leo ataamua kusoma nini akajibu Biotechnology and computer science coz ndo fields zinazokua kwa kasi sana. TUBADILIKE TANZANIA TUKO NYUMA SANA KWA SABABU ZA UJINGA TU NA UBINAFSI.

Swali TANZANIA IKIPIGWA NA BIOLOGICAL WEAPON ya virus au engineered bacteria MD au MEDICAL LAB scientist ataanzia wapi ikiwa hajui hata kufanya DNA extraction?

Ikiwa hajui hata Bioinformatics (Computational biology) hajui chochote kuhusu Nucleic acid Sequencing?

Ikiwa hajui chochote kuhusu Downstream processing anawezaje hata purify antibodies?

Ikiwa hajui chochote kubusu NMR
Au Mass spectroscopy anawezaje hata kutambua poisonous proteins?

Guys kila mtu aheshimu profession ya mwenzie. Sayansi hakuna anaeijua yote ndo mana kuna specialization. Sasa Tanzania mtu akisoma tu medical school anaona mtu alietokea UDSM au SUA hajui kitu kumzidi yeye huo ni ufinyu wa fikra. Sayansi is wide.

Kauli yangu ya mwisho:

TUTHAMINIANE HII DUNIA HATUISHI MILELE TUACHE UBINAFSI, UNASABABU IPI YA KUPINGA BIOTECHNOLOGY ISIWE CHINI YA WIZARA YA AFYA? IKIWA HAPO ULIPO UNASUBIRI CHANJO (VACCINE) YA COVID 19 KUTOKA KWA WESTERN BIOTECHNOLOGICAL CAMPANIES?

Prepared by Modern scientist.
Contact: 0758406251
Email #melchscience@gmail.com
Instagram scientist_melch
Bado mmeishia kufanya PCR tu Mlimani.
 
Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok

Nitaelekeza kwa mifano
Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na moja ya njia zinazotumika kusoma hizo target ni Nuclear magnet resonance imaging (NMR), au X-ray crystallography for crystalline samples.

Kuna field ya biomedicine inaitwa bioinformatics mtu wa medical lab hasomi at all wala Daktari, mtu wa Biotechnology au Microbiology anasoma. Na hii ni kitovu cha medical research hasa katika kutafiti novel strain kwa computer simulations. JE WAJUA? hadi kufahamu kua SARS cov -2 (Corona virus 2) ametoka kundi la Virus wanaosababisha SARS na MERS ni application ya Molecular biology techniques kama Sequencing pamoja na Computational biology (Bioinformatics)? Mtu wa medical lab akiambiwa afanye hili zoezi dogo tu hatoweza kwa sababu hajaandaliwa kufanya hizo kazi.
How can you find out a viral or bacterial mutations kama haujui kitu kuhusu BIOINFORMATICS?

Medical personnel (medical labs, MDs) hawafanyi research za Molecular levels wanafanya tafiti za epidemiology, statistical based research, wakifanya experimental basi mwisho wao ni Cell Biolog kwa sababu hawasomi sayansi to the Molecular level.

How can you produce a Vaccine pasipo kujua Bioinformatics? Pasipo na knowledge ya Genetic engineering/Recombinant DNA technology? Pasipo na knowledge ya downstream processing? The same thing to Monoclonal antibodies, Insulin, enzymes na antibiotics.

Wapo madaktari wachache Tanzania waelewa sana na hao nadiliki kuwaita wanasayansi makini ukimpa facts za kisayansi kama hizi moja kwa moja anajifunza kitu na kutambua kua Biotechnology ni msaada mkubwa kwake ili akamilishe matibabu.

Wapo wasiotaka kukubali, I call them SELFISH scientists japo wanatumia immunosuppressant drugs eg. Alemtuzimab wakifanya solid organ transplantation, still hawataki kujua kuhusu nani anazalisha do you think it's such an easy task to target Cytokine receptors?? Like IL6R? Au akiprescribe dawa akaandika kutwa mara tatu anaona yeye ndie mgunduzi kwa sababu ndie aliemalizia kwa kumtibu mgonjwa?

Mbona sisi wanasayansi (Researchers) tunakili hatuwezi fanya surgery? , mbona tunakili hatuwezi Fanya consultations na wagonjwa?, Mbona tunakili haturuhusiwi kufanya prescription za madawa japo kua tunayatengeneza sisi wenyewe na tunayajua kuliko madaktari?
Jibu ni simple Tu tunaheshimu nafasi ya kila mmoja na hiyo ndio sayansi ya kweli. Maana sisi sio madaktari so hatuwezi deal na wagonjwa ila we can deal with samples.

Tatizo watu wengi hawajui vitu na hawaamini kua sayansi inaendelea wakisoma medical labs au Md wanahisi wamemaliza which is not true, sayansi inaendelea na iko deep.
Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements.

Ntatoa tofauti ndogo ya coverage katika curriculum zetu.

Medical Lab technologists na MD wanasoma
Microbiology pamoja na immunology

Biotechnology wanasoma kozi sita separate ili wawe deep zaidi.

Medical bacteriology as a course
Medical Virology as a course
Medical mycology as a course
Parasitology as a course
Entomology as a course hapa Medical lab wanamix parasitology na entomology.
Biotechnology wanasoma Molecular virology, (Virology at Molecular Level) MD wala medical lab hawasomi molecular virology.

Huu ni uchambuzi wa microbiology Tu hizo courses unawezaje kua deep kwa kumix zote tena unasoma semester moja.

Immunology
Mtu wa biotechnology anasoma immunology yote.
Immunology 1 (Introduction to Immunology)
Immunology 2 (Molecular immunology)
Immunology 3 (Clinical immunology)
Tena usiombe ukafundishwa na PHD holder mmoja yuko UDSM anaitwa Dr. Victor Makene, haachi kitu hata nukta.
Do you know kama antibody molecule ambayo wewe unaishia kutambua kua ni Y shaped molecule kuna watu wanaisoma wiki 3? Uliwahi sikia kuhusu complementary determining regions (CDR)?

Kuna watu hawajui hata kirefu cha CD4 na wengine wanajua CD4 Ni cell ooooh My God. Embu tuacheni siasa tufanyeni SAYANSI.

Nina swali moja la kitaalamu kwa medical personnel ngazi yeyote ile hata kama ni professor.

Duniani kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV kutokana na kua na mutation kwenye CCR5 (Chemokine receptor 5) kitalamu inaitwa Delta 32 mutation, na ilimponya bwana timothy Brown aliekua intended kutibiwa cancer by Bone marrow transplantation method.

Swali. Unawezaje kutumia Clustered regularly interspaced palindromic repeats (CRISPR) System (Natural bacterial adaptive immune system used to fight phages) to introduce induced mutation ili Duniani sasa watu wawe immune to HIV? Nieleze na side effects zake.
Hili swali sijajitungia Tu ni project inayoendelea Kwa nchi za wenzetu waelewa wanaotambua mchango wa scientific research acha sisi Tanzania tuendelee kubishana nani bora zaidi.
Tuma jibu lako kwenye email #melchscience@gmail.com
Am pretty sure kama hujasoma Molecular biology hili ni zoezi zito sana.

Tunaendelea na coverage
Biochemistry 1
Biochemistry 2
Biochemistry 3

Molecular biology 1
Molecular biology 2
Molecular cell biology
Molecular developmental biology

Organic Chemistry 1
Organic Chemistry 2
Analytical chemistry

Biostatistics 1 &2
Bioinformatics 1 & 2

Applied Physics in Biology
Humu utasoma principles za vifaa vya laboratory mfano, Microscope, centrifuge, NMR, electronics etc

Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES

Wanafanya PCR, molecular biology tool ilogunduliwa na Biochemist Dr. Karry Mullis 1944. Lakini hawamtaki graduate wa Molecular biology afanye PCR. #SELFISHNESS

Hausomi downstream processing unawezaje zalisha enzymes au other proteins for medical use??


Tanzania ifike wakati tukubaliane katika sayansi kila mmoja anaumuhimu kwenye eneo lake. TUACHE UPOTOSHAJI wa jamii, wengine wanadiliki kutanganya kua Biotechnology ni kwajili ya viwanda tu, wengine wanapotosha wakisema wataalamu wa biotechnology ni watu wa Mafuta na Gesi are they petroleum geologists?

Nisikilize kwa makini.
Biotechnology Ina makundi manne White biotech(industrial biotechnology)
Red /Medical biotechnology
Green /Agricultural biotechnology

So they can do a lot kila eneo.
Watu wa MD, na Medical labs wameandaliwa kwaajili ya Clinical environment, kutoa huduma kwa wagonjwa.
Bio technologists and other scientists kama microbiologist wameamdaliwa kwaajili ya research laboratories huko watafanya uvumbuzi utakao kua applied na medical personnel. Mbinu zote za upimaji magonjwa maabara zinatokea kwenye biotechnology. Watu wa Medical lab wanatumia monoclonal antibodies kupima blood group lakini maskini ya Mungu hawajui nani anazalisha Hizo antibodies

Kwa ufupi hiyo ni hybridoma technology (Cancer cell + normal cell fusion) najua sio rahisi kuelewa lakini ifike wakati mjue mwanasayansi makini sio SELFISH, Mwanasayansi makini anathamini mchango wa mwenzie kama ambavyo watu wa biotechnology wanavowategemea MD na Medical labs au Pharmacists kutibu wagonjwa.
THINK BIG THINK BIG THINK BIG

Na huu ujinga bado upo Tanzania Tu nenda US, nenda China, India, Italy nenda Kenya au fuatilia google utagundua Biotechnology ndio kitovu cha Life Sciences reseach. Bill gates aliwahi ulizwa akirudi shule Leo ataamua kusoma nini akajibu Biotechnology and computer science coz ndo fields zinazokua kwa kasi sana. TUBADILIKE TANZANIA TUKO NYUMA SANA KWA SABABU ZA UJINGA TU NA UBINAFSI.

Swali TANZANIA IKIPIGWA NA BIOLOGICAL WEAPON ya virus au engineered bacteria MD au MEDICAL LAB scientist ataanzia wapi ikiwa hajui hata kufanya DNA extraction?

Ikiwa hajui hata Bioinformatics (Computational biology) hajui chochote kuhusu Nucleic acid Sequencing?

Ikiwa hajui chochote kuhusu Downstream processing anawezaje hata purify antibodies?

Ikiwa hajui chochote kubusu NMR
Au Mass spectroscopy anawezaje hata kutambua poisonous proteins?

Guys kila mtu aheshimu profession ya mwenzie. Sayansi hakuna anaeijua yote ndo mana kuna specialization. Sasa Tanzania mtu akisoma tu medical school anaona mtu alietokea UDSM au SUA hajui kitu kumzidi yeye huo ni ufinyu wa fikra. Sayansi is wide.

Kauli yangu ya mwisho:

TUTHAMINIANE HII DUNIA HATUISHI MILELE TUACHE UBINAFSI, UNASABABU IPI YA KUPINGA BIOTECHNOLOGY ISIWE CHINI YA WIZARA YA AFYA? IKIWA HAPO ULIPO UNASUBIRI CHANJO (VACCINE) YA COVID 19 KUTOKA KWA WESTERN BIOTECHNOLOGICAL CAMPANIES?

Prepared by Modern scientist.
Contact: 0758406251
Email #melchscience@gmail.com
Instagram scientist_melch
Watu wanasoma bwana

Salute kwako ulieandaa hii makala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok

Nitaelekeza kwa mifano
Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na moja ya njia zinazotumika kusoma hizo target ni Nuclear magnet resonance imaging (NMR), au X-ray crystallography for crystalline samples.

Kuna field ya biomedicine inaitwa bioinformatics mtu wa medical lab hasomi at all wala Daktari, mtu wa Biotechnology au Microbiology anasoma. Na hii ni kitovu cha medical research hasa katika kutafiti novel strain kwa computer simulations. JE WAJUA? hadi kufahamu kua SARS cov -2 (Corona virus 2) ametoka kundi la Virus wanaosababisha SARS na MERS ni application ya Molecular biology techniques kama Sequencing pamoja na Computational biology (Bioinformatics)? Mtu wa medical lab akiambiwa afanye hili zoezi dogo tu hatoweza kwa sababu hajaandaliwa kufanya hizo kazi.
How can you find out a viral or bacterial mutations kama haujui kitu kuhusu BIOINFORMATICS?

Medical personnel (medical labs, MDs) hawafanyi research za Molecular levels wanafanya tafiti za epidemiology, statistical based research, wakifanya experimental basi mwisho wao ni Cell Biolog kwa sababu hawasomi sayansi to the Molecular level.

How can you produce a Vaccine pasipo kujua Bioinformatics? Pasipo na knowledge ya Genetic engineering/Recombinant DNA technology? Pasipo na knowledge ya downstream processing? The same thing to Monoclonal antibodies, Insulin, enzymes na antibiotics.

Wapo madaktari wachache Tanzania waelewa sana na hao nadiliki kuwaita wanasayansi makini ukimpa facts za kisayansi kama hizi moja kwa moja anajifunza kitu na kutambua kua Biotechnology ni msaada mkubwa kwake ili akamilishe matibabu.

Wapo wasiotaka kukubali, I call them SELFISH scientists japo wanatumia immunosuppressant drugs eg. Alemtuzimab wakifanya solid organ transplantation, still hawataki kujua kuhusu nani anazalisha do you think it's such an easy task to target Cytokine receptors?? Like IL6R? Au akiprescribe dawa akaandika kutwa mara tatu anaona yeye ndie mgunduzi kwa sababu ndie aliemalizia kwa kumtibu mgonjwa?

Mbona sisi wanasayansi (Researchers) tunakili hatuwezi fanya surgery? , mbona tunakili hatuwezi Fanya consultations na wagonjwa?, Mbona tunakili haturuhusiwi kufanya prescription za madawa japo kua tunayatengeneza sisi wenyewe na tunayajua kuliko madaktari?
Jibu ni simple Tu tunaheshimu nafasi ya kila mmoja na hiyo ndio sayansi ya kweli. Maana sisi sio madaktari so hatuwezi deal na wagonjwa ila we can deal with samples.

Tatizo watu wengi hawajui vitu na hawaamini kua sayansi inaendelea wakisoma medical labs au Md wanahisi wamemaliza which is not true, sayansi inaendelea na iko deep.
Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements.

Ntatoa tofauti ndogo ya coverage katika curriculum zetu.

Medical Lab technologists na MD wanasoma
Microbiology pamoja na immunology

Biotechnology wanasoma kozi sita separate ili wawe deep zaidi.

Medical bacteriology as a course
Medical Virology as a course
Medical mycology as a course
Parasitology as a course
Entomology as a course hapa Medical lab wanamix parasitology na entomology.
Biotechnology wanasoma Molecular virology, (Virology at Molecular Level) MD wala medical lab hawasomi molecular virology.

Huu ni uchambuzi wa microbiology Tu hizo courses unawezaje kua deep kwa kumix zote tena unasoma semester moja.

Immunology
Mtu wa biotechnology anasoma immunology yote.
Immunology 1 (Introduction to Immunology)
Immunology 2 (Molecular immunology)
Immunology 3 (Clinical immunology)
Tena usiombe ukafundishwa na PHD holder mmoja yuko UDSM anaitwa Dr. Victor Makene, haachi kitu hata nukta.
Do you know kama antibody molecule ambayo wewe unaishia kutambua kua ni Y shaped molecule kuna watu wanaisoma wiki 3? Uliwahi sikia kuhusu complementary determining regions (CDR)?

Kuna watu hawajui hata kirefu cha CD4 na wengine wanajua CD4 Ni cell ooooh My God. Embu tuacheni siasa tufanyeni SAYANSI.

Nina swali moja la kitaalamu kwa medical personnel ngazi yeyote ile hata kama ni professor.

Duniani kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV kutokana na kua na mutation kwenye CCR5 (Chemokine receptor 5) kitalamu inaitwa Delta 32 mutation, na ilimponya bwana timothy Brown aliekua intended kutibiwa cancer by Bone marrow transplantation method.

Swali. Unawezaje kutumia Clustered regularly interspaced palindromic repeats (CRISPR) System (Natural bacterial adaptive immune system used to fight phages) to introduce induced mutation ili Duniani sasa watu wawe immune to HIV? Nieleze na side effects zake.
Hili swali sijajitungia Tu ni project inayoendelea Kwa nchi za wenzetu waelewa wanaotambua mchango wa scientific research acha sisi Tanzania tuendelee kubishana nani bora zaidi.
Tuma jibu lako kwenye email #melchscience@gmail.com
Am pretty sure kama hujasoma Molecular biology hili ni zoezi zito sana.

Tunaendelea na coverage
Biochemistry 1
Biochemistry 2
Biochemistry 3

Molecular biology 1
Molecular biology 2
Molecular cell biology
Molecular developmental biology

Organic Chemistry 1
Organic Chemistry 2
Analytical chemistry

Biostatistics 1 &2
Bioinformatics 1 & 2

Applied Physics in Biology
Humu utasoma principles za vifaa vya laboratory mfano, Microscope, centrifuge, NMR, electronics etc

Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES

Wanafanya PCR, molecular biology tool ilogunduliwa na Biochemist Dr. Karry Mullis 1944. Lakini hawamtaki graduate wa Molecular biology afanye PCR. #SELFISHNESS

Hausomi downstream processing unawezaje zalisha enzymes au other proteins for medical use??


Tanzania ifike wakati tukubaliane katika sayansi kila mmoja anaumuhimu kwenye eneo lake. TUACHE UPOTOSHAJI wa jamii, wengine wanadiliki kutanganya kua Biotechnology ni kwajili ya viwanda tu, wengine wanapotosha wakisema wataalamu wa biotechnology ni watu wa Mafuta na Gesi are they petroleum geologists?

Nisikilize kwa makini.
Biotechnology Ina makundi manne White biotech(industrial biotechnology)
Red /Medical biotechnology
Green /Agricultural biotechnology

So they can do a lot kila eneo.
Watu wa MD, na Medical labs wameandaliwa kwaajili ya Clinical environment, kutoa huduma kwa wagonjwa.
Bio technologists and other scientists kama microbiologist wameamdaliwa kwaajili ya research laboratories huko watafanya uvumbuzi utakao kua applied na medical personnel. Mbinu zote za upimaji magonjwa maabara zinatokea kwenye biotechnology. Watu wa Medical lab wanatumia monoclonal antibodies kupima blood group lakini maskini ya Mungu hawajui nani anazalisha Hizo antibodies

Kwa ufupi hiyo ni hybridoma technology (Cancer cell + normal cell fusion) najua sio rahisi kuelewa lakini ifike wakati mjue mwanasayansi makini sio SELFISH, Mwanasayansi makini anathamini mchango wa mwenzie kama ambavyo watu wa biotechnology wanavowategemea MD na Medical labs au Pharmacists kutibu wagonjwa.
THINK BIG THINK BIG THINK BIG

Na huu ujinga bado upo Tanzania Tu nenda US, nenda China, India, Italy nenda Kenya au fuatilia google utagundua Biotechnology ndio kitovu cha Life Sciences reseach. Bill gates aliwahi ulizwa akirudi shule Leo ataamua kusoma nini akajibu Biotechnology and computer science coz ndo fields zinazokua kwa kasi sana. TUBADILIKE TANZANIA TUKO NYUMA SANA KWA SABABU ZA UJINGA TU NA UBINAFSI.

Swali TANZANIA IKIPIGWA NA BIOLOGICAL WEAPON ya virus au engineered bacteria MD au MEDICAL LAB scientist ataanzia wapi ikiwa hajui hata kufanya DNA extraction?

Ikiwa hajui hata Bioinformatics (Computational biology) hajui chochote kuhusu Nucleic acid Sequencing?

Ikiwa hajui chochote kuhusu Downstream processing anawezaje hata purify antibodies?

Ikiwa hajui chochote kubusu NMR
Au Mass spectroscopy anawezaje hata kutambua poisonous proteins?

Guys kila mtu aheshimu profession ya mwenzie. Sayansi hakuna anaeijua yote ndo mana kuna specialization. Sasa Tanzania mtu akisoma tu medical school anaona mtu alietokea UDSM au SUA hajui kitu kumzidi yeye huo ni ufinyu wa fikra. Sayansi is wide.

Kauli yangu ya mwisho:

TUTHAMINIANE HII DUNIA HATUISHI MILELE TUACHE UBINAFSI, UNASABABU IPI YA KUPINGA BIOTECHNOLOGY ISIWE CHINI YA WIZARA YA AFYA? IKIWA HAPO ULIPO UNASUBIRI CHANJO (VACCINE) YA COVID 19 KUTOKA KWA WESTERN BIOTECHNOLOGICAL CAMPANIES?

Prepared by Modern scientist.
Contact: 0758406251
Email #melchscience@gmail.com
Instagram scientist_melch



Umesema kwamba
Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES.

Sidhani kwamba kuna mtaalamu yoyote wa maabara atazuia mtu kufanya kile kitu alichobobea ila hospitali zetu zinataka kuajiri mtu aliyesomea medical laboratory science kwa sababu mtu huyo atakua amesoma;

Parasitology & entomology
Histopathology
Microbiology & immunology
Clinical chemistry
Hematology and blood transfusion
Serological tests
Quality systems in lab

Hivyo hospitali zinaona haziwezi kuajiri mtu aliyebobea sehemu moja tu ya Bsc microbiology wakati ikichukua mtu aliyesomea Bachelor of MLS, hiyo microbiology iko ndani yake ingawa sio deep kama ya aliyesomea Bsc microbiology ila iko sufficient enough kwa mahitaji ya kutibu wagonjwa mahospitalini. Na hospitali zinaajiri hivyo kwa sababu mtu huyo unaweza ukampanga afanye kazi microbiology ikitokea dept nyingine mfano hematology &BT basi unampeleka na anapiga kazi kwa sababu amecover vitu vyote.

Mgonjwa anakuja baada ya vipimo labda amehisiwa atakua na bacteria kwenye damu hivyo daktari atarequest blood culture ili kuisolate & kupata drug of choice ya kumtibu mgonjwa na after few days culture ikiota itafanyiwa sensitivity test then majibu yanatoka. Haijitajiki kufanya extraction ya molecular compounds ndani ya bacteria ili kupata dawa ya kumtibu mgonjwa kwa hospital settings kwa sababu tayari kuna ready made disks za dawa.

Fields zote zinaheshimu mchango wa taaluma nyingine ndio maana PCR aligundua Karry mullis inatumiwa mpaka leo mahospitalini.

Biotechnology inaweza kuwa chini ya wizara ya afya ila haiwezi kuwa applicable kwenye maabara za hospitalini labda kwa zile chache sana zenye vitengo vya molecular biology ila hizi nyingi za kwetu sidhani, inakua applicable kwenye research labs bahati mbaya research labs hapa nchini ziko chache sana .

Nakubaliana na wewe ulivyosema 'Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements'

kazi nyingi za maabara za hospitalini ni qualitative (mfano RDT kuonyesha pos/neg) & quantitative (mfano malaria parasite quantification, hormone, electrolyte levels, n.k.)
 
Hiyo selfishness ndio tatizo kwa watanzania. Na nimegundua matatizo makubwa yanaanzia vyuoni. Ukijiunga na chuo unakuta orientation unaanza kuambia mfamasia ni bora ya daktari, daktari nae anaambiwa nyinyi ndio bora kuliko idara zote za afya. Kwa hiyo unakuta mentally unajengwa kuanza kuzichukia field zingine.

Ukija tu hospital kuna idara nne ambazo zinahusika na mgonjwa. MDs, Pharms, Nurses, na Labs. Zipo maksudi kuhakikisha usalama wa mgonjwa. Pharmacists wanazijua dawa sana lkn haruhusiwi kumwandikia mgonjwa dawa, daktari anaeandika dawa harusiwi kutoa dawa. Hii yote ni separation of duties karibia field zote zina mambo ya pamoja lakini kila moja imebase kwa undani mahali furani. Tatizo letu hatuna mipaka ya kuheshimu taaluma zingine ndipo lilipo tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoweza kukwambia kama unashida na ajira, Kamueleze hayo mambo John Michael mkurugenzi wa utumishi pale wizara ya Afya, kwamba unajua na akupe kazi.

Kila field ina UMUHIMU WAKE MAHALA PAKE huwezi kufit kila mahala, ETI KWA SABABU UNAJUA au unadhani unajua kitu Fulani, Ndio maana sio kila mtu anaweza kuwa MWALIMU licha yakuwa na Degree nyingi au kubwa, WAALIMU ni Kada inayo jitegemea kama ilivyo.

Walioanzisha course yako ya Biotechnology walikuwa na malengo gani? kwamba graduate waende wapi au wafanye nini?

Hili Tatizo lipo nchini na halikusumbui peke yako, zipo degree Nyingi zinaanzishwa vyuoni, na syllabus zake wana copy na ku paste kutoka vyuo vya nje, na wana dahili wanafunzi na wanasomesha wanafunzi hadi wana maliza lakini hawafahamu hawa wanafunzi baada ya kuhitimu wanpelekwa wapi.

Kuna Kozi ya Biomedical Engeneering, Tanzania wanafanya nini au wapi? Mifumo yetu bado michanga au haijaendelea kuwa na hizi course.

Sidhani kama ni SELFISHNESS nadhani ni tatizo la nchi kukosa tools na means za kufanya hizo advanced diagnostics tests au kufanya hizo research unazotaka wewe. Hatuna fund na wenye fund wanataka outcome ya research hizo ziwasaidie wao ku accomplish kitu Fulani, sio kama hapa kwetu tunafanya research bila kujua tutafaidikaje nazo, ndio maana journal zetu sidhani kama hata kama huko nje zinatumika kama reference.

Ma-professor wetu hapa Muhimbili wamefanya tafiti nyiingi, unadhani ni utafiti upi umetusaidia kama taifa, au hata hospitali au chuo?

Kasome Objectives za Course yako zilikuwa ni zipi kisha kaombe huko kazi, au kama unawatafutia vijana wako wa Biotechnology kazi, kaongee na Ndalichako anaweza kutengeneza amendment aka add au kupunguza vitu somewhere ili Biotechnologist waweze kufanya kazi kama Laboratory scientist au waongeze course kwenye training zao nao wawe na Title sawa na MD.

Kule Marekani PA( Physician assistant) na NP(Nurse Practitioner) wana fanya kazi sawa ni mfumo wao huko hivyo.

Kule Marekani kuna MD na DO na wote wanafanya kazi sawa na wana heshima sawa, wote ni madaktari, Shule zao tofauti lakini mitiahani ya USMLE wanafanya ile ile.

Labda nawewe una Hoja wanaweza kufanya amendments kwenye syllabus au policy somewhere na nyie Biotechnologist mkapewa tittle mka practice kama MD, hakuna kinachoshindikana Dunia hii ni moja na sisi ndio watunzi wa sharia zinazotuongoza na tunaweza kuzibadili au kuzifanyia marekebisho.
 
Umewasahau watu wa mionzi... Radiographers, Radiotherapists na Radiologists
Hiyo selfishness ndio tatizo kwa watanzania. Na nimegundua matatizo makubwa yanaanzia vyuoni. Ukijiunga na chuo unakuta orientation unaanza kuambia mfamasia ni bora ya daktari, daktari nae anaambiwa nyinyi ndio bora kuliko idara zote za afya. Kwa hiyo unakuta mentally unajengwa kuanza kuzichukia field zingine.

Ukija tu hospital kuna idara nne ambazo zinahusika na mgonjwa. MDs, Pharms, Nurses, na Labs. Zipo maksudi kuhakikisha usalama wa mgonjwa. Pharmacists wanazijua dawa sana lkn haruhusiwi kumwandikia mgonjwa dawa, daktari anaeandika dawa harusiwi kutoa dawa. Hii yote ni separation of duties karibia field zote zina mambo ya pamoja lakini kila moja imebase kwa undani mahali furani. Tatizo letu hatuna mipaka ya kuheshimu taaluma zingine ndipo lilipo tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimekuelewa mkuu. Tatizo sio hao wataalam (MD na Medical Lab Technologists) kuwa wako Selfish bali tatizo ni Wizara ya afya imejaza madaktari na watu wa medical lab karibu kila idara na kitengo.

Haina biotechnologists wala molecular biologists. Actually tulitakiwa kuwa na Idara pale wizarani ya Biomedical Research ambayo tulitegemea iwe na Biotechnologists na Molecular biologists wakutoshs.

Nchi hii ndio maana hata tiba zetu za asili haziendelezwi kwasababu wizara ya afya inaongozwa na wakiritimba, watu ambao sio flexible, wameaminishwa kuwa kila cha wazungu ni bora na wanadharau kila maarifa ya asili na hivyo hawafikirii hata kuendeleza.

Tumejaza matabibu na sio watafiti, akili yao imeishia kwenye kutibu kwa kutumia kila kitu cha mzungu na sio kutumia maarifa yaliyobuniwa ndani. Labda Dr. Zain Chaula Katibu Mkuu afya kidogo naona ana flexibility huenda akafanya mabadiliko kama asipomezwa na mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau na Wakemia pia,serikali haijawaaili muda mrefu na ni watu muhimu pia.
 
Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok

Nitaelekeza kwa mifano
Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na moja ya njia zinazotumika kusoma hizo target ni Nuclear magnet resonance imaging (NMR), au X-ray crystallography for crystalline samples.

Kuna field ya biomedicine inaitwa bioinformatics mtu wa medical lab hasomi at all wala Daktari, mtu wa Biotechnology au Microbiology anasoma. Na hii ni kitovu cha medical research hasa katika kutafiti novel strain kwa computer simulations. JE WAJUA? hadi kufahamu kua SARS cov -2 (Corona virus 2) ametoka kundi la Virus wanaosababisha SARS na MERS ni application ya Molecular biology techniques kama Sequencing pamoja na Computational biology (Bioinformatics)? Mtu wa medical lab akiambiwa afanye hili zoezi dogo tu hatoweza kwa sababu hajaandaliwa kufanya hizo kazi.
How can you find out a viral or bacterial mutations kama haujui kitu kuhusu BIOINFORMATICS?

Medical personnel (medical labs, MDs) hawafanyi research za Molecular levels wanafanya tafiti za epidemiology, statistical based research, wakifanya experimental basi mwisho wao ni Cell Biolog kwa sababu hawasomi sayansi to the Molecular level.

How can you produce a Vaccine pasipo kujua Bioinformatics? Pasipo na knowledge ya Genetic engineering/Recombinant DNA technology? Pasipo na knowledge ya downstream processing? The same thing to Monoclonal antibodies, Insulin, enzymes na antibiotics.

Wapo madaktari wachache Tanzania waelewa sana na hao nadiliki kuwaita wanasayansi makini ukimpa facts za kisayansi kama hizi moja kwa moja anajifunza kitu na kutambua kua Biotechnology ni msaada mkubwa kwake ili akamilishe matibabu.

Wapo wasiotaka kukubali, I call them SELFISH scientists japo wanatumia immunosuppressant drugs eg. Alemtuzimab wakifanya solid organ transplantation, still hawataki kujua kuhusu nani anazalisha do you think it's such an easy task to target Cytokine receptors?? Like IL6R? Au akiprescribe dawa akaandika kutwa mara tatu anaona yeye ndie mgunduzi kwa sababu ndie aliemalizia kwa kumtibu mgonjwa?

Mbona sisi wanasayansi (Researchers) tunakili hatuwezi fanya surgery? , mbona tunakili hatuwezi Fanya consultations na wagonjwa?, Mbona tunakili haturuhusiwi kufanya prescription za madawa japo kua tunayatengeneza sisi wenyewe na tunayajua kuliko madaktari?
Jibu ni simple Tu tunaheshimu nafasi ya kila mmoja na hiyo ndio sayansi ya kweli. Maana sisi sio madaktari so hatuwezi deal na wagonjwa ila we can deal with samples.

Tatizo watu wengi hawajui vitu na hawaamini kua sayansi inaendelea wakisoma medical labs au Md wanahisi wamemaliza which is not true, sayansi inaendelea na iko deep.
Mtu wa biotechnology anasoma kuja kua researcher na sio kwaajili ya kufanya qualitative (negative or positive) and quantitative (how much) laboratory measurements.

Ntatoa tofauti ndogo ya coverage katika curriculum zetu.

Medical Lab technologists na MD wanasoma
Microbiology pamoja na immunology

Biotechnology wanasoma kozi sita separate ili wawe deep zaidi.

Medical bacteriology as a course
Medical Virology as a course
Medical mycology as a course
Parasitology as a course
Entomology as a course hapa Medical lab wanamix parasitology na entomology.
Biotechnology wanasoma Molecular virology, (Virology at Molecular Level) MD wala medical lab hawasomi molecular virology.

Huu ni uchambuzi wa microbiology Tu hizo courses unawezaje kua deep kwa kumix zote tena unasoma semester moja.

Immunology
Mtu wa biotechnology anasoma immunology yote.
Immunology 1 (Introduction to Immunology)
Immunology 2 (Molecular immunology)
Immunology 3 (Clinical immunology)
Tena usiombe ukafundishwa na PHD holder mmoja yuko UDSM anaitwa Dr. Victor Makene, haachi kitu hata nukta.
Do you know kama antibody molecule ambayo wewe unaishia kutambua kua ni Y shaped molecule kuna watu wanaisoma wiki 3? Uliwahi sikia kuhusu complementary determining regions (CDR)?

Kuna watu hawajui hata kirefu cha CD4 na wengine wanajua CD4 Ni cell ooooh My God. Embu tuacheni siasa tufanyeni SAYANSI.

Nina swali moja la kitaalamu kwa medical personnel ngazi yeyote ile hata kama ni professor.

Duniani kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV kutokana na kua na mutation kwenye CCR5 (Chemokine receptor 5) kitalamu inaitwa Delta 32 mutation, na ilimponya bwana timothy Brown aliekua intended kutibiwa cancer by Bone marrow transplantation method.

Swali. Unawezaje kutumia Clustered regularly interspaced palindromic repeats (CRISPR) System (Natural bacterial adaptive immune system used to fight phages) to introduce induced mutation ili Duniani sasa watu wawe immune to HIV? Nieleze na side effects zake.
Hili swali sijajitungia Tu ni project inayoendelea Kwa nchi za wenzetu waelewa wanaotambua mchango wa scientific research acha sisi Tanzania tuendelee kubishana nani bora zaidi.
Tuma jibu lako kwenye email #melchscience@gmail.com
Am pretty sure kama hujasoma Molecular biology hili ni zoezi zito sana.

Tunaendelea na coverage
Biochemistry 1
Biochemistry 2
Biochemistry 3

Molecular biology 1
Molecular biology 2
Molecular cell biology
Molecular developmental biology

Organic Chemistry 1
Organic Chemistry 2
Analytical chemistry

Biostatistics 1 &2
Bioinformatics 1 & 2

Applied Physics in Biology
Humu utasoma principles za vifaa vya laboratory mfano, Microscope, centrifuge, NMR, electronics etc

Watu wa medical lab Wanafanya antimicrobial sensitivity tests (kwa microbial culture technique) na bado hawataki graduate wa Bsc in microbiology afanye hii kazi #SELFISHNES

Wanafanya PCR, molecular biology tool ilogunduliwa na Biochemist Dr. Karry Mullis 1944. Lakini hawamtaki graduate wa Molecular biology afanye PCR. #SELFISHNESS

Hausomi downstream processing unawezaje zalisha enzymes au other proteins for medical use??


Tanzania ifike wakati tukubaliane katika sayansi kila mmoja anaumuhimu kwenye eneo lake. TUACHE UPOTOSHAJI wa jamii, wengine wanadiliki kutanganya kua Biotechnology ni kwajili ya viwanda tu, wengine wanapotosha wakisema wataalamu wa biotechnology ni watu wa Mafuta na Gesi are they petroleum geologists?

Nisikilize kwa makini.
Biotechnology Ina makundi manne White biotech(industrial biotechnology)
Red /Medical biotechnology
Green /Agricultural biotechnology

So they can do a lot kila eneo.
Watu wa MD, na Medical labs wameandaliwa kwaajili ya Clinical environment, kutoa huduma kwa wagonjwa.
Bio technologists and other scientists kama microbiologist wameamdaliwa kwaajili ya research laboratories huko watafanya uvumbuzi utakao kua applied na medical personnel. Mbinu zote za upimaji magonjwa maabara zinatokea kwenye biotechnology. Watu wa Medical lab wanatumia monoclonal antibodies kupima blood group lakini maskini ya Mungu hawajui nani anazalisha Hizo antibodies

Kwa ufupi hiyo ni hybridoma technology (Cancer cell + normal cell fusion) najua sio rahisi kuelewa lakini ifike wakati mjue mwanasayansi makini sio SELFISH, Mwanasayansi makini anathamini mchango wa mwenzie kama ambavyo watu wa biotechnology wanavowategemea MD na Medical labs au Pharmacists kutibu wagonjwa.
THINK BIG THINK BIG THINK BIG

Na huu ujinga bado upo Tanzania Tu nenda US, nenda China, India, Italy nenda Kenya au fuatilia google utagundua Biotechnology ndio kitovu cha Life Sciences reseach. Bill gates aliwahi ulizwa akirudi shule Leo ataamua kusoma nini akajibu Biotechnology and computer science coz ndo fields zinazokua kwa kasi sana. TUBADILIKE TANZANIA TUKO NYUMA SANA KWA SABABU ZA UJINGA TU NA UBINAFSI.

Swali TANZANIA IKIPIGWA NA BIOLOGICAL WEAPON ya virus au engineered bacteria MD au MEDICAL LAB scientist ataanzia wapi ikiwa hajui hata kufanya DNA extraction?

Ikiwa hajui hata Bioinformatics (Computational biology) hajui chochote kuhusu Nucleic acid Sequencing?

Ikiwa hajui chochote kuhusu Downstream processing anawezaje hata purify antibodies?

Ikiwa hajui chochote kubusu NMR
Au Mass spectroscopy anawezaje hata kutambua poisonous proteins?

Guys kila mtu aheshimu profession ya mwenzie. Sayansi hakuna anaeijua yote ndo mana kuna specialization. Sasa Tanzania mtu akisoma tu medical school anaona mtu alietokea UDSM au SUA hajui kitu kumzidi yeye huo ni ufinyu wa fikra. Sayansi is wide.

Kauli yangu ya mwisho:

TUTHAMINIANE HII DUNIA HATUISHI MILELE TUACHE UBINAFSI, UNASABABU IPI YA KUPINGA BIOTECHNOLOGY ISIWE CHINI YA WIZARA YA AFYA? IKIWA HAPO ULIPO UNASUBIRI CHANJO (VACCINE) YA COVID 19 KUTOKA KWA WESTERN BIOTECHNOLOGICAL CAMPANIES?

Prepared by Modern scientist.
Contact: 0758406251
Email #melchscience@gmail.com
Instagram scientist_melch
Kuna watu muhimu wizara ya Afya ingewaangalia,Wakemia,molecular biology na biotechnologist hawa watu ni muhimu sana,yani nchi yetu kuna wataalamu wengi halafu hatuwatumii vizuri.
 
Ndugu tatizo lililopo bongo ni namna ya kuwa value wataalamu na kuwatumia, hapa kwetu kipaumbele ni siasa, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 kwenda kuunga mkono juhudi.
 
Back
Top Bottom