tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. K

    Rais Magufuli na CCM mpya kwa Tanzania imara: Falsafa inayojenga mtazamo chanya kwa watanzania juu ya CCM

    Tukiwa tumeuanza mwaka 2020, mwaka wenye tukio muhimu la uchaguzi mkuu , uchaguzi unaotazamiwa na wengi kuwa ndio uchaguzi utakaoanzisha mwanzo wa mwisho wa siasa za upinzani hasa wa vyama vya uchaguzi kama Katibu Mkuu wa CCM ndg.Dkt. Bashiru anavyopenda kuviita na muendelezo wa falsafa wa CCM...
  2. Tanzania tunawezaje/tufanye nini ili kufaidika na ukuaji wa uchumi wa China?

    Ni hao wakuu. Wandugu uchumi wa China na ukuaji wake ni jambo la kuogopesha sana kwa ukubwa wake. Miaka michache ijayo China itaongoza kiuchumi karibu kwenye kila sekta. Kwa huo uchumi mkubwa China amekuwa mtumiaji mkubwa wa malighafi duniani . Pia ukuwaji huo umetengeneza mamilioni ya...
  3. K

    Fastjet inaanza kupaa lini kwenye anga za tanzania?

    Kwenye biashara yeyote USHINDANI ni kitu muhimu sana. Hapo awali tulikuwa na mashirika ya ndege ya ATCL, PRECISION NA fASTJET kwa safari za ndani na ushindani ulikuwa mzuri sana. Baadaye Fastjet ilijitoa kutokana na sababu mbalimbali za kiutendaji lakini tulielezwa kuwa muda siyo mrefu...
  4. Air Tanzania na huduma mbovu ya usafirishaji wa Parcels/ Mizigo

    Nilitumiwa parcel moja kutoka Dodoma kuja Dar last month. Suprisingly, akapewa mtu mwingine anayeishi Chanika. Yaani ilichukua zaidi ya masaa 28 kuipata ile parcel na ilinilazimu mimi kudrive kumfuata alipo. Nimetuma box dogo tu lenye documents kwenda Bukoba tangu tarehe 30 December. Cha ajabu...
  5. Credit transfer kutoka mfumo wetu wa tanzania kwenda ECSTS

    wakuu habari za siku, nina ndugu yangu anataka kuendelea na elimu ya juu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (masters). katika moja ya nchi za Bara la Ulaya na angependa kufahamu maana halisi ya hii european credit transfer system na namna inavyoweza kuathiri nafasi yake yakupata chuo huko..kwa...
  6. Waandishi wa habari Tanzania hamjitambui

    Alipotea Azory Gwanda mpaka leo hamjachukua hatua yeyote Kwanini msichukue hatua kwa vitendo kusitisha kutangaza habari yeyote inayohusu Serikali mpaka mwenzenu apatikane? Angalia reaction yenu mbovu kukamatwa kwa Kabendera mmeshindwa hata kumchangia pesa ya matibabu mama yake mpaka amekufa...
  7. 2020 growing retail store business in Tanzania

    By: Khamis Saleh •Staffs are the first Customers and our brand ambassadors •Stand front to remind people about the vision •Let them feel are comprised in that vision •Get time to Know your people, they can cause failure or success •We may have these kind of people, to know them will increase...
  8. N

    Tarehe 21/1/2020, mwanzo mpya wa Tanzania mbovu

    Zile tafiti zinasomega Tanzania ni mojawapo ya nchi ambayo wananchi wake hawana furaha ni za kweli kabisa, hata hizi sikukuu zime reflect ukweli,umaskini umeongezeka kwa kiasi kikubwa katika awamu ya tanao Watu wamekata tamaa,hela hakuna, ubabe wa wenye mamlaka hausimuliku, Rais wa nchi ana...
  9. M

    Kenya na tanzania

    Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili.. Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo...
  10. GE2020 Mwaka 2020 Tanzania inaweza kumwaga damu kwa hulka ya watawala

    Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania. Ni ukweli ulio wazi CCM...
  11. Kisutu: Mhasibu wa Ubalozi wa Tanzania nje ya Nchi, kupandishwa Kizimbani

    Wakuu, TAKUKURU kwa kushirikiana na DPP mchana huu wanatarajia kumfungulia kesi mhasibu wa moja ya ubalozi wa Tanzania nje ya nchi. Bado jina la Mtuhumiwa na Ubalozi anaofanyia kazi haujawekwa wazi. Stay tuned.
  12. Pitia hapa, kama unapenda kufanya biashara mtandaoni (Drop shipping), na hatimaye tuwe na online store ya ukweli Tanzania

    Habari wadau! Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia. Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
  13. U

    Tanzania wanafiki, kuendesha umelewa ni kama imeruhusiwa, Polisi wanaangalia tu

    Habari Wanajamvini, Hivi sisi Watanzania na Jeshi la Polisi ni watu wanafki sana hasa kwahili suala la kuendesha umelewa. Jana nilienda na gari yangu Police Mess nikanywa Konyagi zangu mbili nikaondoka nikawasha gari yangu huyo, huku baadhi ya polisi wakinisalimia, na wengine niliwazungushia...
  14. Kazi na Bata ndio Habari ya mjini, Mengine Mbwembwe tu

    Maisha ni tight kwa hio hapa ni mwendo wa KAZI na BATA tu mengine Mbwembe tu 2020 Twende na KAZI na BATA tuachane na mbwembwe
  15. JamiiForums is the best social media in Tanzania

    Wana JF, Hadi kufikia leo hii mimi binafsi nimeelimika sana tangu nilipojiunga na JamiiForums miaka kadhaa iliyopita. Ni jukwaa ambalo wanachama wake ni kutoka kila fani nchini Tanzania. Kwa masuala yoyote ya Siasa, Jamii, Uchumi na Michezo; vyote vipo JF. Ni media ambayo hufichua maovu...
  16. Kwanini Tanzania hakuna viongozi wenye “Vision and Charisma” tena wadogo?

    Binafsi I am not very much impressed na majority ya viongozi wetu. Tanzania sioni viongozi wenye vision and charisma tena wakiwa wadogo kama kina Obama na Sankara. Viongozi wanaoweza kufanya mapinduzi kwenye Wizara, Mikoa, Wilaya au taasisi wanazoongoza. Tatizo hasa ni nini? Chukulia mfano...
  17. Ubalozi wa Tanzania Uingereza walalamikiwa kwa kutopokea simu, huduma duni kutoka kwa wageni watarajiwa, je wahusika wanakwepa lugha ya kiingereza?

    Tangu kuanzishwa kwa huduma ya kufanya maombi ya viza mtandaoni kwa wageni wanaotarajiwa kutembelea Tanzania, huduma hiyo imezorota katika siku za karibuni. Muombaji viza anaetaka kutembelea Tanzania kwa kusudio lolote inanmbidi ajaze fomu ya maombi mtandaoni ambapo idara ya uhamiaji makao...
  18. Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja litakalojengwa kutoka Dar hadi Zanzibar

    MDAU WA DIASPORA AJIBU MASWALI KUHUSU DARAJA LITALOJENGWA KUTOKA DAR HADI ZANZIBAR. Leo 19:15pm,28/12/2019 Kutokana na Mgongangano wa mawazo ili Watanzania tufikie lengo kuu lenye kuleta tija,Mdau wa Diaspora amejibu maswali kiufasaha kuhusu ujenzi wa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ili wadau...
  19. Kila mtu Tanzania anataka kuwa msanii, hii ina maana gani ?

    Katika miaka ya hivi karibuni watanzania walio wengi wanaonekana kuelemea upande wa sanaa katika kila kitu.Sanaa ipendwayo zaidi siyo ile ya uchongaji vinyago na uchoraji vibonzo ,La ! bali ni kuimba na kucheza muziki na kubwatuka kwenye maigizo. Fedha nyingi za masikini na matajiri zinaishia...
  20. J

    Watalii wa Tanzania na Israel sasa kutumia ndege moja inayotumia saa 5 kutoka kutokea Kilimanjaro

    Serikali ya Tanzania na ile ya Israel zimekubaliana kubadilishana watalii ambapo sasa itatumika ndege moja tu kuwasafirisha watalii wa nchi hizi mbili. Utaratibu ni kuwa ndege itakayowaleta watalii kutoka Israel ikifika KIA itawashusha na kuwachukua mahujaji wa Tanzania wanaoelekea Israel kisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…