tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi tulivyo na Dreamliners na Bombardiers za kutosha hadi zinabeba Samaki badala ya Abiria, kwa Tanzania nahisi ATCL imepata Faida Kubwa sana

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limekadiria kupata Hasara ya Dola Milioni 100 katika Kipindi hiki cha janga la CORONA. Kwa jinsi Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilivyo na Ndege zake nyingi tu na zikibeba Sato na Sangara wakikaa Vitini nadhani Wamepata Faida. ======== Kenya Airways...
  2. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Germany Agents lands in Tanzania to assess Covid-19 Impact

    Travel Agents kutoka Germany waliokuja kuangalia Usalama wa wateja wao, wameridhika na waliyoyaona.
  3. Wacha1

    JamiiForums Tanzania American Charge de’Affaires in Tanzania leaves US Embassy quietly

    Charge d’Affaires in the United States embassy in Tanzania had left her diplomatic duties quietly after the embassy issued travel advisories warning American citizens over the COVID-19 situation in Tanzania. It was not established immediately whether the senior US diplomat, Dr. Inmi Patterson...
  4. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Tanzania Government seizes Gold worth Tsh 2.9 Billion

    Credit: Tanzania Government Seizes Gold Worth Sh2.9 Billion ''Dar es Salaam - The government has nationalised 27.488 kilograms of gold worth over Sh2.9 billion which were illegally smuggled from Kenya. The gold, which belongs to Tanzanian businessman Bhawesh Chandulal Gandecha, was seized by...
  5. mnyalilungulu

    JamiiForums Tanzania Shirika la Fedha Duniani (IMF) laahidi kuipatia Tanzania fedha itakayoihitaji

    Mkurugenzi Mkazi wa IMF Tanzania, Jens Reinke akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania, Jens Reinke ameyasema hayo wakati alipokutana na kufanya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Chama cha Labour Tanzania chakanusha kushiriki kikao cha vyama 11 kumtaka Msajili achukue hatua dhidi ACT-Wazalendo kwa Uchochezi visiwani Zanzibar

    WanaJF wasalaam, Mambo ni mengi muda hakuna. Naanza kuuona Uzalendo na Umakini wa TLP hasa kwenye hili, TLP naombeni kadi yenu.
  7. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Tanzania Academy of Sciences

    Natambua kwamba kama taifa tunao wataalamu wa fani mbalimbali. Natambua pia kwamba "Sciences" katika ujumla wake ni msingi wa mafanikio katika taifa lolote. Kwa msingi huo basi naonelea itakuwa ni jambo jema kama taifa tukiwa na Tanzania Academy of Sciences ambayo itajikita zaidi katika...
  8. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

    Biashara nyingi za wafanyabiashara ngozi nyeusi hufa mwanzilishi akifa tofauti na za wahindi,waarabu na wapemba Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara. Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Ukishangaa ya gazeti la Tanzania Daima utastaajabu ya Fatma Karume

    Fatma karume a.k.a shangazi anasema anastaafu uwakili kwa sababu ya mahakama zetu kutokujitambua baada ya kusimamishwa uwakili nakuitwa kwenye kamati ya nidham akiwa km wakili. Naakasema haendi ili waamue wanavyoamua Hakuna asiyejua kuwa ndg yetu fatma karume ameamua kubwaga manyanga baada...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo ya maendeleo Tanzania twapaswa kumpongeza sana Magufuli, na kuna mambo ya kukandamiza demokrasia Tanzania twapaswa kumkosoa sana Magufuli

    Namchukulia Rais Magufuli kama yule tembo katika hadithi ya vipofu ambao waliambiwa wampapase halafu waeleze tembo ni mnyama wa aina gani. Baada ya kumpapasa vipofu walianza kubishana na hata kukaribia kupigana, kila mmoja akidai yeye yuko sahihi katika kueleza tembo ni mnyama wa aina gani...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania GE2020 U.S. Senate: Disturbing 'trend' of opposition party leaders in Tanzania being arrested leading up to Oct. Elections

    U.S. Senate Foreign Relations. Yesterday's arrests of @zittokabwe, Tanzanian opposition party leader of @ACTwazalendo, and several members of his party reflect a deeply disturbing trend of opposition party leaders and journalists in #Tanzania being arrested on contrived charges leading up to...
  12. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Hivi ndivyo kura za marudio ya uchaguzi wa Rais zilivyolindwa na wananchi nchini Malawi. Hakika kuna la kuifunza Tanzania

    Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi . Mungu ibariki Malawi
  13. Don YF

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania According to PWC Tanzania has less than 10k hotel rooms, Kenya over 20K!

    What attracted my attention are these facts, from some paragraphs down on hotel rooms and revenue. Tz has less than 10,000 rooms, na misifa yote kuhusu hotel industry! "...with the number of hotel rooms in Tanzania projected to increase by 2.4 per cent from 7,800 in 2018 to 8,800 in 2023...
  14. Vugu-Vugu

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chama cha Labour Tanzania (TLP) chamuunga mkono Rais Magufuli, wasema "Hatuna makubaliano yoyote na CCM, Kiherehere hiki ni Uzalendo tu"

    " TAMKO RASMI LA CHAMA CHA LABOUR TANZANIA (TLP) KUMUUNGA MKONO MHE DK JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI KUELEKEA OCT 2020 " Ndugu Watanzania wenzetu, Sisi wanachama,wafuasi na wapenzi wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kwa kauli moja ya kizalendo kwa nchi yetu na kwa kuzingatia Ibara ya 29.0 ya...
  15. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wasomaji makala wenye sauti ya mvuto Tanzania

    Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii 3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra. 2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko. 1. Mtiga Abdala...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

    Jane Flanagan Wednesday June 17 2020, 9.00am, The Times Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution. There is growing concern that...
  17. U

    JamiiForums Tanzania NEW Video: Rosa Ree - Kupoa {Official Video}

    Rapper wa Kike Tanzania Rosa Ree Ameachia Video ya nyimbo mpya inayoitwa - Kupoa Nimekuwekea hapa chini uitazame mtu wangu.
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania GE2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

    The Magufuli regime in #Tanzania “knows they cannot win on an equal political playing field ... They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength." Fears that President Magufuli will create a dictatorship in...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi: Tanzania tuliipigia kura Kenya Baraza la Usalama UN. Wametushukuru, nasi tumewaambia hapana ule ni wajibu wetu kama ndugu!

    Prof Kabudi amesema Tanzania iliipigia kampeni na hatimaye kura ndugu zetu Kenya kuwa mjumbe katika baraza la usalama la UN. Kabudi amewataka watanzania kupuuza uzushi wa wapinzani kwamba hatukuiunga m!ono Kenya. Source ITV habari Maendeleo hayana vyama!
  20. Richard

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Venezuela yadai dhahabu yake ilohifadhiwa benki kuu ya Uingereza. Je, Tanzania nayo ina dhahabu BoE? na je, ina thamani ya kiasi gani?

    Serikali ya Venezuela imefungua kesi ya madai nchini Uingereza kudai kiasi cha dhahabu yake yenye thamani ya dola bilioni 1 ilohifandhiwa katika benki kuu ya Uingereza. Kesi hiyo itakayosikilizwa kwa siku nne mjini London itahusisha pande mbili ambapo ni wawakilishi wa serikali ya Venezuela na...
Back
Top Bottom