Waandishi wa habari Tanzania hamjitambui

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Alipotea Azory Gwanda mpaka leo hamjachukua hatua yeyote

Kwanini msichukue hatua kwa vitendo kusitisha kutangaza habari yeyote inayohusu Serikali mpaka mwenzenu apatikane?

Angalia reaction yenu mbovu kukamatwa kwa Kabendera mmeshindwa hata kumchangia pesa ya matibabu mama yake mpaka amekufa?

Kutwa kujipendekeza kwa madicteta. waandishi wa habari hamjitambui najua mtakuja kunishambulia ila ukweli unauma.

Majanga ni ya kila mtu hata wewe unajipendekeza kwa mtu uenda kesho ukakutana na majanga unafikiri nani atakusikia?

"Goes Around Come Around"
 
Mkuu technically, hakuna watu hopeless kabisa kama hao wanaojiita waandishi wa habari.

Ukiacha wachache sana wale professional hasa ambao ni wa kuhesabu.

Hakuna fani iliyojaa wafitini, wanaojipendekeza na wasio na misimamo kama waandishi wa habari.

Mwandishi yuko radhi aifedheheshe fani yake kwa kutoa habari za uongo ili mradi kuwe na bahasha tuu.

Hata vyombo vinavyo simamia waandishi ni wapigaji wa fedha za wafadhili hakuna mfano, kama MCT, UTPC nk ni kutumbua tuu fedha waletewazo na wazungu mwaka hadi mwaka basi hakuna zaidi.

Wangekuwa na misimamo kama hao wachache wao hakika mambo yasingefikia kiwango hiki kilichofikiwa na Jiwe na serikali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli tasinia ya habari ni vichwa maji mwenzenu kabendera mpaka leo mnajua kabisa niin kilichopelekea yeye akawa ndani mpaka sasa

Hamjatoa ushirikiano wowote, usaliti wenu hautawapeleka popote mtatafunwa mmoja mmoja mpaka mtaisha.

Na wengine mnashangilia kwa yaliyomkuta mwenzenu.

sent from toyota Allex
 
Tatizo la Tanzania siyo waandishi pekee. Ni la watanzania wengi.

Wanaojitambua hawafiki hata 2% .

Ndio maana:

- Mnyika anaweza kuwatetea mbele ya Kibwengo kwamba waliovunjiwa nyumba Kimara walipwe " Wakashangilia Kwa Fujooo"

Baadaye, Kibwengo anainuka anasema hatamlipa yeyote hata 100 !

"Wanashangilia Tena Kwa Fujoo Ndelemo Na Vifijo"

Tanzania Asilimia 98 Kwa Sasa Ni Takataka. Ndio Maana Jitu Liko Tayari Kununua Huduma au Bidhaa Au Kuchagua Kiongozi Kwa Kuwa Mtu Fulani Maarufu Kalipwa Pesa Aliambie Kitu Hicho ni Kizuri.

"Wanazuoni, Maprofesa, Wanahabari, Wanavyuo, Vijana, Wanasiasa, Viongozi Wa Dini, Wastaaft Wote TAKATAKA tu.
 
Huu ujinga aisee
Waisusie Serikalu
Na hiyo hiyo Serikalu iwape Vibari vyakufanyia kazi
Acha Ufipa kwenye maisha ya wenzie Anza wewe
 
Back
Top Bottom