technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Alipotea Azory Gwanda mpaka leo hamjachukua hatua yeyote
Kwanini msichukue hatua kwa vitendo kusitisha kutangaza habari yeyote inayohusu Serikali mpaka mwenzenu apatikane?
Angalia reaction yenu mbovu kukamatwa kwa Kabendera mmeshindwa hata kumchangia pesa ya matibabu mama yake mpaka amekufa?
Kutwa kujipendekeza kwa madicteta. waandishi wa habari hamjitambui najua mtakuja kunishambulia ila ukweli unauma.
Majanga ni ya kila mtu hata wewe unajipendekeza kwa mtu uenda kesho ukakutana na majanga unafikiri nani atakusikia?
"Goes Around Come Around"
Kwanini msichukue hatua kwa vitendo kusitisha kutangaza habari yeyote inayohusu Serikali mpaka mwenzenu apatikane?
Angalia reaction yenu mbovu kukamatwa kwa Kabendera mmeshindwa hata kumchangia pesa ya matibabu mama yake mpaka amekufa?
Kutwa kujipendekeza kwa madicteta. waandishi wa habari hamjitambui najua mtakuja kunishambulia ila ukweli unauma.
Majanga ni ya kila mtu hata wewe unajipendekeza kwa mtu uenda kesho ukakutana na majanga unafikiri nani atakusikia?
"Goes Around Come Around"