Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Kampuni ya uchimbaji madini ya Indina Resources kutoka Uingereza imeitaarifu serikali ya Tanzania nia yake ya kuishitaki kwenye mabaraza ya usuluhishi kwa ukiukwaji wa mikataba ya uwekezaji kati ya Tanzania na Uingereza.
Kampuni inaituhumu Tanzania kwa kukiuka kitu kinaitwa protection and...
Serikali ya Tanzania imetiliana saini mikataba miwili ya msaada na serikali ya Sweden kwa kupatiwa fedha kiasi cha dola milioni 90 sawa na shilingi Bilioni 240.95 kutoka mfuko wa ushirikiano wa Elimu Duniani GPE.
Akizungumzia msaada huo jijini Dar es salaam Katibu Mkuu wizara ya fedha na...
Nimekuwa nikijaribu kutafakari sana lakini imefikia niyaweke haya wazi! Kitu kama bendera ni tunu muhimu sana kwa nchi! Lakini nikipita mtaani naona mauzauza sana hasa ktk aina za rangi na nakshi ktk bendera yetu murua hii ya Tanzania.
Naomba mnisaidie kama haya ni shida ya macho yangu tu au...
Kampuni ya uchimbaji dhahabu kutoka Canada, Winshear Gold Corp imeitaarifu serikali ya Tanzania nia ya kuishitaki kwenye mabaraza ya usuluhishi ya kimataifa baada ya sserikali ya Tanzania kukiuka mikataba ya uwekezaji kati ya Tanzania na Canada.
Kinacholalamikiwa hasa ni sheria mpya ya madini...
Rais wa Zanzibar, Dr. Mohamed Shein, ameeleza kuwa mapato ya Zanzibar kwa mwaka yamefikia Tanzania Shillings Bilioni 2874, sawa na Trilioni 2.874.
Taarifa hii inaonyesha waziwazi kuwa Tanzania Bara tukijifunza kutoka Zanzibar, mapato ya Mikoa yetu inaweza kuongeza mapato yake ya ndani kwa...
Per Capital income; Singapore > 60 000 vs Tanzania < 2 000 USD!
Nchi ya Singapore na Tanzania tuna fanana karibia kila kitu isipokuwa Jiografia na Utamaduni lkn karibia kila kitu kipo sawa kuanzia aina ya Mkoloni, kipindi tulichopata Uhuru mpaka aina ya Mfumo unaotawala nchi zetu tuko sawa...
Nauliza kwa wale watu wanaoelewa vizuri mambo ya itifaki.
Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif.
Karibu kwa...
Habari,
Nafikiria kumfungulia mdogo wangu biashara ya Bajaji ili apate kitu cha kufanya ila sijui biashara hiyo sana.
Je, biashara ya kuendesha Bajaji inalipa? Kwa siku mtu anaweza pata kiasi gani?
Bei ya Bajaji mpya kiasi gani? Iliyo tumika kiasi gani?
Kingi chochote nijue?
Asante sana
Kwa mujibu wa taarifa ya Henley Index imetaja Japan kuwa na passport yenye nguvu Zaidi duniani kwa kuwa ina nchi 191 ambayo inaweza kwenda, Tanzania inaweza kwenda nchi (destinations) 70 imekuwa nafasi ya 73. Afghanstan imekuwa ya mwisho kwa kuwa na passport mbovu ambayo ina destinations 26...
UTANGULIZI
Wakuu; hivi karibuni Waziri wa Fedha Dr Mpango alialika watu kutoa maoni yao kuhusu mambo wanayoyaona kuwa ni kikwazo (au vikwazo) kwao katika kufanya biashara na akaahidi kuwa serikali itayafanyia kazi maoni hayo. Ni kwa sababu ya wito huo (najua watu wa serikali hupitia hapa) natoa...
Will Tanzania soon have the largest wind farm on the African continent? This could be possible if the project of the Chinese group Sany Heavy Industries comes to fruition. The group, which specialises in the manufacture of construction machinery, is diversifying its activities, also producing...
POLITICSTANZANIATOP STORY
Tanzania elections: Life has got worse under Magufuli. We need change.
BY ZITTO KABWEJANUARY 8, 2020
SHARE:
Opposition leader Zitto Kabwe says the past four years of CCM rule have been disastrous and lays out his vision for a thriving and happy Tanzania.
Opposition...
Mwaka mpya ni wakati wa kutafakari yaliyopita, tulipokosea, tulipofanikiwa na namna gani tufanye vizuri zaidi. Tumeingia pia muongo mpya (2020 hadi 2030) kwa hiyo pia ni miaka kumi kutafakari nini tumefanya miaka 10 iliyopita na nini tufanye miaka 10 ijayo. Bila shaka muongo uliopita (2010 hadi...
Position: Re-Advertisement: TA Child Protection Specialist, NO-3,
Locations: Africa: Tanzania,Uni.Re
Work Type : Temporary Appointment
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To help...
Ukitaka kujua wapi Kuna mzunguko mkubwa wa pesa angalia wafanyabiashara wafuatao Kama wapo wengi
1.Wahindi
2.Wachaga
3.Wapemba
4.Waarabu
5.Wakinga
Pia Ukiona eneo Lina Baa nyingi mzunguko wa pesa eneo Hilo Ni mkubwa
Pia Ukiona eneo Lina makanisa au misikiti yenye majengo mengi makubwa na watu...
Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka
Siku chache kabla ya kupotea katika mazingira yasiyoelezeka, kada wa Chadema, Ben Saanane alifanya mambo mengi kama mawasiliano yake binafsi na pia ya chama chake.
Hata hivyo, kati ya mawasiliano hakuna kilichosaidia kung’amua ni katika...
Nchi hii ina resources nyingi sana ambazo kama zingetumika vizuri, basi kila eneo la nchi hii lingeweza kufaidika na utajiri wa maliasili unaolizunguka ila bahati mbaya nchi hii imekuwa kubwa na mgawanyo wa kinachopatikana kutokana na maliasili zetu huamuliwa katika mji mmoja (Dar-es-Salaam)...
Mashabiki wa mwanamuziki maarufu nchini marekani aitwaye Ludacris, wamejawa na wivu baada ya mwanamuziki huyo kutangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa amepewa uraia wa asili ya mkewe nchini Gabon.
Alitangaza hatua hiyo wakati wa sherehe za mwaka mpya na kusema "Naanza mwaka mpya nikiwa...
Mada hii itajikita katika kuuchambua mfumo wa CHADEMA wa Mhe. Mbowe uliopo kwa miaka 16 sasa na utaendelea kuwepo kwa kadiri Bw. Mbowe atakapoona ni wakati wa kumwachia mwingine anayemuona anafaa.
Jicho la Mbowe ndio linapendekeza na kuchagua nani amrithi, hii inatokana na kauli yake mwenyewe...
Tukiwa tumeuanza mwaka 2020, mwaka wenye tukio muhimu la uchaguzi mkuu , uchaguzi unaotazamiwa na wengi kuwa ndio uchaguzi utakaoanzisha mwanzo wa mwisho wa siasa za upinzani hasa wa vyama vya uchaguzi kama Katibu Mkuu wa CCM ndg.Dkt. Bashiru anavyopenda kuviita na muendelezo wa falsafa wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.