tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. A

    KERO Mabadiliko ya ghafla ya kiingilio HIFADHINI bila notisi kwa wadau wa UTALII

    Habari za muda huu kiongozi wa Jamii Forums, Nikiwa kama Mtalii na mdau wa Utalii wa Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania, nipende kuwasilisha kero yangu Kubwa na kwa watalii wengine. - Ikumbukwe tokea Bei za mafuta zipande April Mosi, kuna baadhi ya Hifadhi ya Taifa nayo imepandisha bei ya...
  2. The_CivilEngineers_Hub

    5 Main Types of Civil Engineering Specialization in Tanzania!

    Kuna Swali Watu Wanajiulizaga Mtaani Watu Waliosoma Civil Engineering.. Ni Wahandisi Ndio Lakini Wanajihusisha Na Nini Haswa.? Civil Engineering Ni Uhandisi Unaojihusisha na Kudesign, Kujenga na Kufanya Maboresha/Marekebisho Ya Miundombinu Yote Inayotumika na Wanadamu! Civil Engineering Ni...
  3. R

    Tanzania miongoni mwa nchi zenye uhuru mdogo zaidi wa mtandao

    Kwa mujibu wa tafiti iliyofanywa na Cloudwards 2026 ikihusisha nchi 171 ikitathmini viwango vyao vya udhibiti wa mtandao kwa kutumia vigezo vya; matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, upatikanaji wa maudhui mbalimbali ya kisiasa na kidini, kanuni zinazohusu matumizi ya VPN pampja na...
  4. MakinikiA

    Kama mlango bahari wa Kigamboni ukifungwa mambo yatakuwaje Tanzania

    Hormz ya DSM pale Kigamboni imekaa kihasara hasara sana
  5. K

    Changamoto zinazotokana na vita Iran ni Fursa kwa waTanzania wanaonyanyaswa

    Nitaandika kifupi sana:ili nawe nikupe muda wa kutafakari. Kama kuna wakati sahihi wa kujikwamua toka kwa watawala dhalimu waliojitwalia madaraka kwa mabavu, wakati huo ni sasa dunia ikiwa katika hatihati ya matatizo yatokanayo na vita; kama vile changamoto za kiuchumi. Baadhi ya mataifa...
  6. Waufukweni

    Prof. Mkumbo: Tanzania tuna vitaasisi vingi, vinasumbua biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema wingi wa taasisi za udhibiti nchini unachangia usumbufu mkubwa katika biashara na kuathiri ukuaji wa sekta hiyo. Prof. Mkumbo alisema hayo Machi 27, 2026, wakati wa mkutano wa uhakiki wa rasimu ya mpango wa...
  7. Rafiki Electrical

    Chimbo la vifaa vya umeme Tanzania

    🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical Solutions 🤝 ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Kwa Mahitaji ya Vifaa Vya Umeme Bora na Vya Ukakika (Original) Rafiki Electrical & Tech Solutions Tupo Kwa Ajili Yako💡✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA...
  8. Ex Spy

    Mtikisiko wa Mafuta Duniani: Je, Tanzania Tumejipanga au Tunasubiri Miujiza? Wakati Ndio Sasa wa Gesi Asilia na Magari ya Umeme (EVs

    Wakuu, Kuna makala nimeisoma leo kwenye gazeti la The New York Times (NYT) imenifanya nitafakari sana kuhusu hatima ya nchi yetu na uwezo wa viongozi wetu kuona mbali (vision). Makala inahusu mtikisiko mkubwa wa mafuta unaoendelea kuikumba China na dunia kwa ujumla kufuatia kushtadi kwa vita...
  9. Tlaatlaah

    Tanzania kutumia changamoto ya upatikanaji wa mafuta duniani kama fursa muhimu ya kuelekea kwenye uzalishaji na matumizi ya gesi asilia

    Ni wazi uelekeo wa Taifa letu kwa sasa, ni kwenye matumizi ya nishati ya gesi asilia majumbani, viwandani na katika sekta ya usafirishaji. Hii itasaidia kuondokana na taharuki zisizo za lazima kama hii ya chanagamoto ya uhaba wa nishati ya mafuta kama ambavyo imeiathiri na kuihangaisha dunia...
  10. ngara23

    Magereza zenye mateso zaidi Tanzania, usiombe ukanyage huko

    1. Gereza la Ngwalla, Chunya Hili ni namba 1 lipo msituni na wala hakuna ulinzi mkali wala ukuta ila hukuna mfungwa anaweza kutoroka. Gereza hili limezungukwa na wanyama wakali kama Simba, Chui, Fisi n. K Hutumika kuhufadhi mateka wa Kijeshi 2 Gereza la Kitai, Songea Hili ni namba mbili Kazi...
  11. Powell Gonzalez

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania)

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania) Hello, If you are outside Dar es Salaam—or even outside Tanzania—and need someone reliable to handle tasks on your behalf, this service may help you save time, travel costs, and unnecessary stress. I run RMK...
  12. Powell Gonzalez

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania)

    Need Someone in Dar es Salaam to Handle Tasks for You? (On-Ground Support in Tanzania) Hello, If you are outside Dar es Salaam—or even outside Tanzania—and need someone reliable to handle tasks on your behalf, this service may help you save time, travel costs, and unnecessary stress. I run RMK...
  13. ChoiceVariable

    Benki ya Dunia kuikopesha Tanzania Shilingi Trilioni 1.4 kusaidia Ajira ni Pigo jingine kwa CHADEMA

    Poleni sana Chadomo Kwa hili pigo na kuendelea kujaza maji kwenye neti. ====== The World Bank has approved $550 million in financing for Tanzania to boost jobs and support vulnerable households. The funding will benefit more than three million people through skills training and social...
  14. A

    KERO Hivi Tanzania hatuna Telecom Companies zinazotoa huduma za internet zinazoendana na kasi wanayotaka Wateja?

    Shida ni kwamba hizi Telecom Companies na pia other companies ambazo zinajihusisha na services za home internet hazisema ukweli interms of amount ya data unayopata, kwa mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi flani lakini unakuta kumbe limit ni 1tb, so wana-advertise huongo na hawajulishi...
  15. M

    Wanaume tuwe makini, Wizi wa sehemu za siri za kiume "Penis snatching" umeingia Tanzania

    Ni wizi huu wa sehemu nyeti kwa njia za kishirikina uliokuwa maarufu Congo na sasa umeingia Tanzania, Wizi huu unaripotiwa na wahanga pale mtu mnapokutana akikushika mkono au kukupiga begani huku akizuga kuomba njia apite, kukusalimia, kukusifia, n.k. Utahisi mwili unavibrate na kudhani ni...
  16. Mafyangula

    Benki ya Dunia imeidhinisha fedha za dola milioni 550 kwa ajili ya Tanzania ili kuimarisha ajira na kusaidia kaya zilizo hatarini

    Benki ya Dunia imeidhinisha fedha za dola milioni 550 kwa ajili ya Tanzania ili kuimarisha ajira na kusaidia kaya zilizo hatarini. Fedha hizi zitawanufaisha zaidi ya watu milioni tatu kupitia mafunzo ya ujuzi na programu za ulinzi wa kijamii. Zaidi ya wahitimu 650,000 wanatarajiwa kupata fursa...
  17. Ileje

    Zanzibar inavyoichafua Tanzania (Tanganyika) kimataifa

    Zanzibar kwa kutumia mamlaka yao ya ndani imekuwa ikisajili meli za walanguzi wa madawa ya kulevya na kuwaruhusu kutumia bendera ya Tanzania. Hali hii imeiweka Tanzania katika hali mbaya sana kimataifa kuwa nchi inayosambaza dawa za kulevya duniani na hivyo kushusha hadhi kama moja ya nchi...
  18. Waufukweni

    Benki ya Dunia yaidhinisha Tsh. Trilioni 1.422 kwa ajili ya Tanzania ili kuimarisha ajira na kusaidia kaya zilizo hatarini

    Benki ya Dunia imejitolea kutoa kiasi cha dola milioni 550 kusaidia jitihada za upatikanaji wa ajira na usaidizi wa kijamii nchini Tanzania. Benki ya Dunia imemidhinisha ufadhili mpya wa dola milioni 550 kwa ajili ya Tanzania, ukilenga kutengeneza fursa za ajira na kusaidia kaya zenye uhitaji...
  19. Bila bila

    Nchi moja Tanzania, bei ya mafuta tofauti tofauti

    Bado mtatudanganya Muungano Una faida? Bado mtatudanganya faida za Muungano ni pamoja na usawa wa kiuchumi? Tanganyika mafuta 4000 Kwa lita Zanzibar 2900? Kwamba kodi za mafuta Tanganyika zinafidia Kodi za mafuta Zanzibar ili wao bei iendelee kuwa nafuu?
  20. Mohamed Said

    Al Jazeera Walipokuja Kufanya Mazungumzo Tanzania na Mimi 2007 (Dar es Salaam) na 2008 (Tanga)

    AL JAZEERA WALIPOKUJA KUNIHOJI TANGA NA DAR ES SALAAM Mahojiano na Al Jazeera nyumbani kwangu Masaki, Dar es Salaam 2007 Mohamed Val Mtangazaji wa Al Jazeera akinihoji nyumbani kwangu Bombo, Tanga (2008) Huyu kijana kutoka Al Jazeera sikumbuki jina lake alinifahamisha kuwa alipata kuishi...
Back
Top Bottom