tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Viongozi wetu wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) hawatetei maslahi yetu sababu wanaogopa kutumbuliwa

    Siku ya Wauguzi Duniani ilikuwa Mei 12 ila wahusika ambao wako kwenye nafasi kubwa za Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) waliogopa kuwasilisha kwa watawala hoja za wanachama wao kwa sababu wanaogopa kuenguliwa nafasi zao. Wanafanya hivyo kwa kuwa wao maslahi yao ni makubwa wanajua wakitumbuliwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  3. ngozimbili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Ndugu zangu Watanzania, kama kuna jambo la kumshukuru Mungu kuhusu matukio ya Oktoba 29, basi ni hili: taifa letu lilitikisika—lakini halikuanguka. Na ndani ya mtikisiko huo, tuliona kitu cha kutisha sana. Tuliona nyufa zilizokuwa zimejificha ndani ya taifa letu. Tuliona hasira zilizokuwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania 'Viongozi wastaafu fikirini kama Plato'

    Na. Mwandishi Maalum Siasa chafu, za chuki na fitina zimetakiwa kusitishwa Afrika ili bara hilo liweze kupiga hatua za kimaendeleo. Siasa hizo zinazoripotiwa miongoni mwa wanasiasa vijana na wakongwe kwenye majukwaa na vyombo vya habari, wanaharakati mitandaoni na baadhi ya viongozi wa dini...
  5. K

    JamiiForums Tanzania IMF-Uchumi wa Tanzania utakua kwa 5% na mfumuko wa bei uko thabiti

    Kwa maoni ya wataalamu wa IMF waliokuja hapa Tanzania, tuko vizuri sana
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Tanzania bado tunalala Kwenye Diplomasia na Kujitangaza

    Juzi tumemuona Emmanuel Macron akiwa Kenya kwenye summit ya kimataifa. Ukiangalia namna Wakenya walivyotumia hiyo nafasi utaona kabisa wanaelewa mchezo wa diplomasia, branding ya nchi, tourism, culture, na biashara za kimataifa.Kila event kubwa kwao huwa sio tu mkutano wa viongozi ni nafasi ya...
  7. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Tanzania ili kufikia Uchumi wa USD Trillion Moja lazima tufikie uwekeezaji wa USD Trillion 3.7 hili haliwezekani kwa Kodi na Mikopo.

    === Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
  8. sammosses

    JamiiForums Tanzania Je, Demokrasia ya Tanzania inaruhusu Misingi ya Uporaji Haki za Raia na Mali zao

    Tanzania, nchi yenye mamlaka kamili iliyosaini mikataba mbalimbali ya Kimataifa hususani mikataba ya kulinda haki za binadamu na ulinzi wa rasilimali za umma imeacha misingi hiyo,na sasa inajinadi kuwa na Demokrasia yake na tamaduni zake. Kwa kuwa lengo ni kukuza aina mpya ya Demokrasia ya...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Amani ya Tanzania: Zaidi ya Watu

    Tunaposema Tanzania Hatumaanishi Watu Tu Bali Tunaenda Mbali Na Kuangalia vilivyomo pia. Kulinda Tanzania Sio Tu Namna Tujuavyo Tutambue pia mchango Wa Wengine Ambao wao Hawajiwezi Katika Misukosuko,karaha,kimbiakimbia na Mateso Mengine. Kwa Nini Tanzania Tunaitwa Nchi Ya Amani? 1. Tunao...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Top 10 Unique Things to See in Tanzania on Tanzania Tour Safari

    Experience the most extraordinary wildlife, landscapes, and cultural wonders on your Tanzania tour safari, from the Great Migration to the real Ngorongoro Crater. Tanzania is one of the most extraordinary safari destinations on earth. It is home to the greatest wildlife spectacle on the planet...
  11. Daniel Aloyce Daniel

    JamiiForums Tanzania Matatizo yanayowakumba wafanyaboashara Tanzania

    Wana JF, najua tuna wafanyabiashara wengi sana humu JF, leo natamani tujadili kwa kina matatizo yanayowakumba wafanyabiashara na wajasiriamali wengi sana nchini. Kwa upande wangu suala zima la kujua masoko na kutafuta wateja limekuwa msumari wa moto kwa wafanyabiashara wengi na wajasiriamali...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Atunukiwa Tuzo na Kanisa la Moravian Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Itoshe kusema ya kuwa usishindane na alipewa Kibali na Mungu , usishindane na Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu , usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Rais Samia ni Mbarikiwa,Rais Samia ni Mpango wa Mungu,Rais Samia ni chaguo la Mungu,Rais Samia kainuliwa kwa Mkono wa...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania False Alarm: EU Parliament Resolution Against Tanzania is Hoax

    Please disregard this misinformation. The European Parliament is not conducting the debate being falsely portrayed by some online activists. This video dates back to November 26, 2025, and no such resolutions have been issued against Tanzania. The Government continues to urge Tanzanians to...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Serikali iunde sheria kwa makampuni ya ulinzi Tanzania

    Wamiliki wa makampuni ya ulinzi binafsi wanapaswa kuwasilisha kilio chao kwa njia ya kitaalamu, kisheria na yenye hoja nzito kuhusu umuhimu wa kutungwa kwa sheria maalum ya kusimamia sekta hiyo pamoja na madhara ya kucheleweshwa kwa muswada husika. Wanapaswa kueleza kuwa kucheleweshwa kwa...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania The future is here: Tanzania to supply minerals for superalloys for jet engines and aerospace components

    By Africa J&L Correspondence, Washington, DC There are defining moments when a nation stops merely supplying raw materials to the world and begins shaping the industries that power it. Tanzania is living such a moment. With the landmark agreement signed on 24 March 2026 to advance the Panda...
  16. Emily magnus

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa hip hop ninao wakubali, nje ya mipaka ya Tanzania

    1. Sarkodie from Ghana. 2. Nyashisnki from kenya. 3. Khaligraph jones from Kenya. Hapo ni wa kwanza mpaka wa mwisho. Nimesikiliza marapper wengi, ila ni hao tu ninao wakubali. Hakuna mwingine
  17. K

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Tanzania kamwe hatafikiria kama Samia na Machawa wake

    https://youtu.be/sZv8yMHKNII?si=MjFJqevJHzHcN9bi warioba kasema yote
  18. K

    JamiiForums Tanzania Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

    Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni...
  19. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Uzuri ni kwamba namba wote tunaisoma. Wakosoaji wa serikali waimba mapambio na kusifu na kuabudu serikali wote tuko kapu moja.

    Uzuri ni kwamba sukari ikipanda bei haichagui wewe ni mwimbaji mzuri wa mapambio au ni mkosoaji wa serikali namba inasomeka maumivu yako palepale. Ukienda kituo cha mafuta kuweka mafuta kwenye gari. wote tunaugulia maumivu kwenye bei ya mafuta haichagui wewe unasifia serikali au ni mkosoaji wa...
  20. ngozimbili

    JamiiForums Tanzania TANZANIA KATIKATI YA DHORUBA YA KIJIOPOLITIKI: KAULI YA BALOZI MTEULE WA MAREKANI NI ONYO AU DIPLOMASIA YA MASLAHI?

    TANZANIA KATIKATI YA DHORUBA YA KIJIOPOLITIKI: KAULI YA BALOZI MTEULE WA MAREKANI NI ONYO AU DIPLOMASIA YA MASLAHI? “Karne hii mpya haitapiganiwa kwa mafuta pekee — itapiganiwa kwa madini, taarifa, na ushawishi wa kimkakati.” Kuna nyakati katika historia ambapo kauli moja ya kidiplomasia...
Back
Top Bottom