tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. M

    William E. Trachman nominated to serve as the U.S. Ambassador to the United Republic of Tanzania

    William E. Trachman is a Colorado-based attorney and legal scholar who has been nominated by President Trump to serve as U.S. Ambassador to Tanzania. Prior to this nomination, Trachman established a significant legal career focused on constitutional law, civil rights, and education policy...
  2. Mto wa mbu

    MO29 TV ni game changer ya habari Tanzania

    Daa hii nchi sijui kama itapona makovu ya MO29. Sasa Kuna TV mpya , ni online TV, imeanzishwa imepewa jina la MO29 TV. Hii channel inapiga spana kweli kweli, imegeuka kilio Cha kusaga meno Kwa CCM. Je MO29 TV ni ya nani? Na itaweza ku- survive bila kufungiwa. Let wait and see. Mto wa mbu...
  3. Traxtion

    Changamoto za Tanzania ambazo hazitakuja kutatuliwa kamwe

    1. Shida ya maji 2. Mafuriko wakati wa mvua 3. Changamoto ya Ajira 4. Mpangomji mbovu na Ujenzi holela 5. Uongozi mbovu 6. Foleni Dar es Salaam 7. Ukosefu wa demokrasia
  4. Rockcity native

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi) 2+ (katika mechi yote...
  5. RMK Freelancers Agency

    Kwanini biashara, Kampuni za Tanzania zitumie mfumo wa lead generation and cold Outreach kuongeza sales?

    Nimekuwa nikifanya kazi na kampuni za kimataifa kutoka UK, Europe, Canada, na nchi nyingine As an independent freelancer - na moja ya siri kubwa ya ukuaji wao ni mfumo wa lead generation, cold calling na cold outreach. Hii strategy inawawezesha kuongeza client base yao kwa kiwango kikubwa na kwa...
  6. Traxtion

    Tungeanza kufanya slums upgrade maeneo ya uswazi Tanzania

    Just my thoughts Kama unaona ukibomoa nyumba za watu uswazi utawarudisha nyuma kimaendeleo, utaleta chaos na chuki kwa baadhi Basi tuya modify maeneo ya slums kuwa mazuri yanayofanana na binadamu kuishi Mfano, kupaka rangi nyumba, kuezua mabati ya kutu na kuweka ya rangi, ku install...
  7. Allen Kilewella

    Tanzania bado ni nchi ya wakulima na wafanyakazi?

    Kila nikiisoma Katiba ya nchi yetu kuwa misingi ya uchumi wa nchi yetu ni ya kijamaa na nchi hii mifumo yake inadhibitiwa na wakulima na wafanyakazi, huwa nashangazwa kabisa. Hivi ni kweli kuwa nchi yetu inaendeshwa kijamaa na wakulima na wafanyakazi ndiyo wenye sauti na mamlaka ya mwisho...
  8. VERBOSE

    Tanzania ina Wanawake Wazuri na Warembo. Nimethibitisha

    Salamu na salamu za muda huu ni mimi kwa mara nyingine niliye mdogo kuliko ila ni mwingi wa hekima, busara, ucheshi wa faida na maarifa yaliyo mema ninawasalimu na kuwaandikia wakuu. Itikieni mmeisikia salamu. Ngoja nitembelee moja kwa moja kwenye mada km ilivyo ada km ambavyo kichwa cha mada...
  9. L

    Ninamuamini Sana Rais Samia na naamini Tanzania Itapiga Hatua Kubwa Sana za Kimaendeleo Awamu Hii

    Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninamuamini na kumkubali sana Rais Samia . Ni kiongozi Ambaye naamini ni mtu sahihi kuendelea kuliongoza Taifa letu. Nina Mwamini kuliko Mtu mwingine yeyote yule. Sina wasiwasi wa aina yoyote ile na Rais Samia. Hadi Natamani aendelee kuongoza Mpaka Achoke...
  10. W

    Tanzania to introduce twice-yearly HIV injection, phase out standalone CTC clinics

    The introduction of the injectable drug Lenacapavir, alongside major reforms in the health service delivery system, marks a new phase in Tanzania's fight against HIV, with the government also planning to phase out specialised Care and Treatment Clinics (CTCs) to reduce stigma and improve access...
  11. Traxtion

    Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    Hapa naongelea WATALII WA NJE Kila nikifikiria naona kama hapa Africa, tunapaswa kuwa top 3 ya kupokea watalii kwa sababu ukiondoa overrated Egypt, sijaona nchi ya Africa inafikia Tanzania kwa vivutio vya utalii Pia utalii wa maeneo kama Ruaha, Katavi na Gombe ni so underrated nahisi...
  12. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Salaam Wakuu, Naona LATRA imeamua kula sahani moja na Madereva, Safari hii itakuwa kumbakumba nguo kuchanika. Ipo hivi; Kuanzia mwezi wa nne 2026, kama wewe ni Dereva na haujajisajili LATRA, Au unenunua vyeti feki, Madereva mnaonunua barua za uhakiki na hamna vyeti, madereva wanaonunua...
  13. L

    Tanzania, Djibouti Kushirikiana Katika Biashara Ya Kaboni

    Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia) akipokea kitabu kutoka kwa Katibu Mkuu wa Kituo cha Ufuatiliaji wa masuala ya Kaboni kutoka nchini Djibouti (ASCR), Mhe. Balozi Ahmed Araita Ali walipokutana Dodoma, Machi 25, 2026. Dodoma. Tanzania kupitia Kituo cha Taifa cha...
  14. M

    The JamiiForums Case: High Court Clears Way for Landmark Digital Rights Trial in Tanzania

    March 25, 2026 DODOMA, TANZANIA – In a major victory for digital freedom advocates across Africa, the High Court of Tanzania has dismissed a series of government attempts to block a constitutional challenge against the 90-day suspension of JamiiForums. The ruling, delivered on March 16, 2026...
  15. H

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Msaada huo umekabidhiwa Machi 24...
  16. K

    Kenya sio Tanzania au Uganda!

    Cheche za maneno, mirengo mipya ya kisiasa na ubabe wa vyama tayari imeanza kusheheni nchini Kenya, miezi 14 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Miongoni mwa viongozi wanaogonga vichwa vya habari ni pamoja na aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aliyetimuliwa kazini miezi kadhaa...
  17. Traxtion

    Kuna Maudhui Mengine kwenye Social Media yanapaswa kuzuiwa Tanzania

    Siingilii personal life na najua watu hasa hawa walioleft group wakiishi maisha yao hawani affect Lakini moja ya vitu vya hovyo ambavyo hawa watu wanafanya ni kuandaa content ambazo ni very sexualized, au mwanaume unakuta anajilegeza mno Sasa sikuhizi hadi watoto wadogo wana access na social...
  18. Pfizer

    Tanzania Among Winners as Tony Elumelu Foundation Announces First Batch of 3,200 African Entrepreneurs for 2026

    Tanzania has secured representation among the beneficiaries of the 2026 Tony Elumelu Foundation (TEF) Entrepreneurship Programme, with 12 entrepreneurs selected in the first batch of awardees announced across the continent. The unveiling took place at the Transcorp Hilton Abuja, where 1,951...
  19. K

    Tanzania: Wakuu wa Majeshi na viongozi wengi wakuu wa serikali sio wazalendo

    Tanzania: Wakuu wa Majeshi na viongozi wengi wakuu wa serikali sio wazalendo. Kati ya wazalendo ni hawa hawanufaiki lolote kipesa kwa wanayofanya 1. Huwezi kuwa Mzalendo na mwizi wa kura halafu ukajiita mzalendo. 2. Huwezi kuwa Mzalendo na kuuwa vijana bila kufuata sheria 3. Huwezi kuwa...
  20. Inside10

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo inayochangiwa na changamoto za ubora ambapo miundombinu na elimu kwa wadau wa sekta maziwa ni vikwazo...
Back
Top Bottom