tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Pfizer

    Rasmi, Mashindano ya Miss Tanzania sasa kuendeshwa na Lamata Village Entertainment

    Mkurugenzi wa kampuni ya toka The Look Ltd Basila Mwanukuzi amekabidhi umiliki wa uandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania kwa kampuni ya Lamata Village Entertainment inayomilikiwa mwongoza filamu nchini Leah Mwendamseke 'Lamata'. Aliyekuwa mmiliki wa Miss Tanzania, Basilla Mwanukuzi (kulia)...
  2. Ileje

    Rostam Aziz ndiye kidume pekee hapa Tanzania; Gesi yake, media yake, dhahabu yake, Mbuga za wanyama zake!

    Pia soma:Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi
  3. Mkalukungone Mwamba

    Millya: Tanzania itaendelea kutekeleza wajibu wake mkuu wa kusukuma juhudi za kuanzishwa EAC

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, James Ole Millya amesema Tanzania ikiwa mwanachama mwaminifu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), itaendelea kutekeleza wajibu wake mkuu wa kusukuma juhudi za mtangamano ili kufikia malengo ya kuanzishwa kwa jumuiya...
  4. Fene

    Tanzania ipo juu kwa utajiri wa rasilimali kuliko UK according to chatgpt, Hivi hii kitu ni kweli?

    Je kati ya Tanzania vs UK ipi nchi yenye rasilimali nyingi za asili zaidi? Kwa ujumla, Tanzania ina rasilimali za asili nyingi zaidi kuliko Uingereza (UK). Kwa nini Tanzania ina rasilimali nyingi zaidi? Tanzania ina: Madini mengi (dhahabu, almasi, tanzanite, nickel n.k.) Ardhi kubwa ya...
  5. youngkato

    Je, AI Itachukua Kazi Yako? Ukweli Kuhusu Akili Bandia na Ajira Tanzania

    Akili Bandia (Artificial Intelligence – AI) imeanza kubadilisha namna dunia inavyofanya kazi. Kutoka kwenye biashara, benki, kilimo, hadi elimu, mashine na mifumo ya kompyuta yenye uwezo wa kujifunza sasa zinaweza kufanya baadhi ya kazi ambazo zamani zilifanywa na binadamu. Hali hii imezua swali...
  6. M

    Mwandishi Kenya: Serikali ya Tanzania inaniwinda sababu haipendi tunavyofanya

    Serikali ya Tanzania inaniwinda mimi binafsi, kwasababu haipendi tunafanya na tunasema ukweli, Serikali ile ya Tanzania ni ya kiimla haikuchaguliwa na Wananchi wa kweli, ni serikali ambayo imeiba kura na wakaua watu. Sisi kama Maskani tukiangazia wanatuwinda, wametutumia mpaka mademu...
  7. JanguKamaJangu

    Serikali ya Tanzania kuingilia Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC): TOC ijiandae kufungiwa na IOC

    "Waacheni wananchi watoe yaliyomo vifuani mwao kwa uhuru. Kwa kufanya hivyo itatusaidia sisi kama Serikali kwa namna mbili; Kwanza, tutajua wananchi wetu wanafikiria nini kuhusu jambo fulani. Pili, itatusaidia sisi kama Serikali iwapo tumekosea tuweze kujisahihisha na kuendelea kuwakelea...
  8. RMK Freelancers Agency

    BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA (CMSA, DSE, WIZARA YA FEDHA)

    BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA Kwenda kwa: Capital Markets and Securities Authority (CMSA) Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Wizara ya Fedha Tanzania YAH: Maboresho ya Sheria, Teknolojia ya Trading, na Vigezo vya Uandikishaji ili Kukuza Soko la Mitaji Tanzania...
  9. Mad Max

    Gari toka Japan linauzwa Mil 5.6 hadi Tanzania, halafu TRA wanataka Mil 9.8 cash!

    Kumiliki gari ni anasa. Kuna mtu anavipenda sana vi BMW MINI sasa tukawa tunacheki cha 2013 tumekielewa. Tukapata cheap kabisa Mil 5.6 Bila negotiations. Tukajua TRA itacheza kwenye Mil 5 hivi au 6. Aisee. Nadhani ataenda kununua pikipiki ya umeme uyu.
  10. R

    CHADEMA diaspora seeks talks with Donald Trump and rights bodies over alleged abuses in Tanzania and the release of Tundu Lissu

    Look for any alternatives to secure release of Tundu Lisu and thereafter other issues of democracy in Tanzania to follow such as Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi and many others. Finally to bring to justice those involved in October 29th 2025 massacre of innocent Tanganyikans Najua meeting...
  11. Fbn

    Tuseme Ukweli: Tanzania sasa kila idara ni CCM kuendeleza chama

    Nimekaa mda mrefu na kutochangia JF.Ila leo shauku limenifika. Hivi tanzania ya leo tuseme usalama,JwTZ,TCRA na wengine au vinara wazuri wa CCM ambao jeshi la polisi wanajitafakari kweli. Mfano leo tunaona ushambulizi wa vita vya iran na Israel hivi hawa watu wanajua lolote zaidi ya kusema...
  12. H

    Tanzania, Mauritius to Further Strengthen Strategic Cooperation

    Tanzania, Mauritius to Further Strengthen Strategic Cooperation Tanzania and Mauritius have agreed to continue strengthening their strategic cooperation with the aim of promoting trade, the blue economy, and shared development. This was highlighted during a meeting between Tanzania’s Minister...
  13. H

    Tanzania, Mauritius Kuendelea Kuimarisha Ushirikiano wa kimkakati

    Tanzania, Mauritius Kuendelea Kuimarisha Ushirikiano wa kimkakati Tanzania na Mauritius zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza biashara, uchumi wa buluu na maendeleo ya pamoja. Hayo yamejitokeza wakati wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
  14. E

    Katika watu useless Tanzania ni Hawa wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge wa kuteuliwa na viti maalum ni vyawa rasmi wa Rais katiba mpya tuwakatae

    Hawa ma rc na ma DC, Nyerere aliamua kuwarithi kutoka katika mifumo ya kikoloni. Hawa wananguvu kuliko mbunge, hawa ni ma puppet wa raisi hawana kazi nyingine.
  15. M

    Wasafiri Tanzania wananyanyasika sana na kuibiwa wakiwa safarini

    Wizi unaanzia kwa maajanti wa mabasi ambao hupandisha nauli hovyo. Hawana nauli ambazo ni standardized. Utakuta basi moja kila mtu amelipa nauli tofauti japokuwa wanaenda sehemu moja. Wakati wa kula chakula. Madereva na makomdakta wanawapeleka abilia kwenye sehemu ambazo ndio kuna wizi na...
  16. H

    Tangazo la home tuition – Tanzania nzima 🇹🇿

    Unahitaji msaada wa masomo kwa mtoto wako au wewe binafsi? Sasa suluhisho lipo hapa! Tunatoa huduma ya Home Tuition kwa viwango vyote vya elimu nchini Tanzania. ✅ Tunafundisha mitaala yote ya Tanzania (NECTA) ✅ Masomo yote yanapatikana (Sayansi & Sanaa) ✅ Walimu wenye uzoefu na ufanisi mkubwa ✅...
  17. M

    Barua ya wazi kwa jaji mkuu wa Tanzania kuhusu kuharakisha kesi ya Tundu Lissu

    BARUA YA WAZI KWA JAJI MKUU WA TANZANIA KUHUSU KUHARAKISHA KESI YA TUNDU LISSU Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania, Ninakusalimu kwa heshima kubwa, nikitambua nafasi yako muhimu katika kusimamia utoaji wa haki nchini. Lengo la barua hii ya wazi ni kuwasilisha ombi la msingi na la haki kuhusu...
  18. The Father of All

    Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Japo tuliwahi kuwa na baadhi ya marais wa hovyo kama Jakaya Kikwete, huyu wa sasa sina la kusema. Sijui kama anajua anachofanya kiumbe huyu. Mungu atusaidie ikiwezekane amkutanishe na Magu japo tupumue. Inakuwaje tugeuzwe koloni la koloni letu nasi tuangalie hata kushindwa kulalamika...
  19. MamaSamia2025

    Je, Tanzania kulikuwa na wafitini waliosababisha Wenge Musica kusambaratika na Koffi kukimbiwa na wanamuziki mara baada ya kuzuru nchini miaka ya 90?

    Kwa mujibu wa wao wenyewe Wenge BCBG ni kuwa mara baada ya ziara yao ya Tanzania mwaka 1997 ndo ukaibuka mgogoro mkubwa uliosababisha wasambaratike na kundi kuvunjika. Mwaka mmoja baadae Koffi Olomide alikimbiwa na wanamuziki wake mjini Dar es Salaam walipokuja kupiga show. Ishu ya Koffi ilikuwa...
  20. O

    Dormant Voi Rail Line Back to Life as Kenya Targets Trade Growth with Tanzania

    Kenya Railways has taken a major step toward restoring a historic transport link after reviving the century-old metre gauge railway line connecting Voi to Tanzania, signaling a renewed push for regional trade and economic integration. The 130-kilometre Voi–Taveta railway line, which had...
Back
Top Bottom