tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Leonce jr

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ajengewe sanamu katika majiji yote nchini Tanzania

    Wanabodi. Tumsifu Yesu Kristo. Asalama leko. Kama kichwa cha habari hapo juu Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt Samia Suluhu Hassani. Mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu ya uongozi serikalini akiongoza raia million 60. Rais ambaye ambaye ameleta philosophy 4r. Mwenye misimamo ya...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wanaofanya kazi ya kununua mchele kwa ajili ya Wilmar Rice wanateseka sana kwa mishahara duni na mazingira magumu ya kazi

    Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania kilichopo Morogoro. Kuna mmoja kati yao ambaye nimekuwa nikimdai fedha tangu alipofika huku. Alikuwa...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 pamoja na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra for Africa Forum), uliobeba kaulimbiu ya “Miaka kumi ya mafanikio kutoka maono hadi utekelezaji - A Decade of Economic Impact: From...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Madini ya Tanzania imefuta leseni za uchimbaji za mradi wa grafiti wa Bunyu unaomilikiwa na Volt Resources, ambazo ni ML 591/2018 na ML 59

    Wizara ya Madini ya Tanzania imefuta leseni za uchimbaji za kampuni ya Volt Resources kwa mradi wake wa grafiti wa Bunyu, ambazo ni ML 591/2018 na ML 592/2018. Volt Resources (ASX: VRC) imethibitisha kupokea taarifa rasmi kutoka kwa Wizara ya Madini kuhusu kufutwa kwa leseni hizo, jambo ambalo...
  5. Andromeda Galaxy

    JamiiForums Tanzania Siioni Tanzania bila Heche na Lissu

    Ndugu zangu Wana Jamiiforums nikiri kuwa mimi ni mshabiki wa siasa za upinzani siyo kosa mimi kukiri nafasi yangu kisiasa, lakini katika yote hayo mashujaa wangu ni Lissu na Heche, watu Hawa wananifanya nihisi kuwa tanganyika iliyochoka ina nafasi kubwa siku zijazo, Mungu awabariki, lengo langu...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Asante VP Bal. Dr. Nchimbi kwa Maneno Makubwa, ya Faraja na Matumaini Kuhusu Katiba. Unamsaidia Sana Rais na Utawasaidiwa Sana Watanzania Iwapo...!

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo, ambayo ni kumshukuru na kumpongeza Makamu wa Rais Balozi Dr. Nchimbi kwa maneno makubwa ya maana sana yenye faraja na matumaini makubwa kwa Watanzania kuhusu katiba mpya. Kiukwe huyu mtu, anamsaidia sana Rais Samia na atawasaidiwa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Marekani yaweka rasmi dhamana ya visa ya hadi $20,000 kwa Nchi 30 za Afrika. Tanzania ikiwepo

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatarajia kufanya kuwa wa kudumu mpango wa majaribio unaowataka raia wa mataifa 50, mengi yakiwa ya Afrika, kutoa dhamana kubwa wanapoomba viza, huku gharama zake sasa zikitarajiwa kufikia hadi $20,000. Ilani ya awali, iliyochapishwa Ijumaa katika Rejista...
  8. political monger senior

    JamiiForums Tanzania SERIKALI YA TANZANIA YAIOMBA MAREKANI KUIONDOLEA VIZA KWA WATANZANIA WANAOSAFIRI KWENDA NCHINI HUMO

    Serikali ya Tanzania imeiomba Marekani kuondoa vikwazo vya viza kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo, pamoja na vikwazo vingine vya kiuchumi na kiusafiri vilivyowekwa dhidi ya Tanzania, ili kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na wananchi wa nchi hizo mbili. Ombi hilo limewasilishwa...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni nani ana majeraha mabaya zaidi mpaka sasa miongoni mwa team zinazopambana katika vita vya ufisadi ndani ya CHADEMA?

    Na ni nani anakwenda kuibuka kidedea na mshindi wa vita hiyo ya ufisadi ndani ya chadema kati ya team Lema & Sugu wanaopinga ufisadi ndani ya chadema, dhidi ya team Heche & Mnyika wanaotetea ufisadi ndani ya chadema? Kwasababu sote ni mashuhuda wa vita hivyo vinavyoendelea na kuibua maswali...
  10. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Wimbo maalum kwa Taifa la Tanzania. Nakala TBC, Uhuru fm, Azam TV na ITV na Channel ten

    https://youtu.be/oE6XHuIYiDw?si=z9HOvhkevw48eGvq
  11. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu baraza la Mawaziri Zambia atembelea banda la Tanzania

    Katibu mkuu wa Baraza la Mawazi Zambia Bw. Patrick Kangwa ametembelea banda la Tanzania katika Maonesho ya 98 ya Kilimo na Biashara Zambia na kupongeza uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya Afya Tanzania na kuahidi ushirikiano zaidi katika ueekezaji na biashara katika sekta ya Afya
  12. N

    JamiiForums Tanzania Watoto wa mgambo (askari wa akiba) wasaidiwe kuingia Polisi, Military au Magereza kama "pension" ya wazazi wao wanaojitolea kuilinda Tanzania

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. Mgambo (askari wa akiba) anajitolea kufanya operations pamoja na Polisi sometimes usiku wa manane ila Polisi analipwa mshahara na akizeeka anapewa pension mgambo hapewi. Kama mgambo hana mshahara wala pension ya uzeeni basi mtoto wake mmoja au wawili wasaidiwe...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Kwa sasa inaonekana Harusi zinazofungwa makanisani siku Moja kabla ya Ndoa, Kunakuwa na matukio ya ngono za kuagana zinazofanywa na Bibi Harusi na Ma-Ex wao. Hii Ina maana Harusi zinazofungwa leo Kanisani tarehe 01 August 2026 Asilimia 90% ya Bibi Harusi watarajiwa wiki Moja au siku Moja kabla...
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tumia Email Hii Kuwajulisha CAF kuhusu tishio la Ugaidi Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, kutokana na magaidi kadhaa ya CHADEMA kuendelea kukamatwa, nivema tuwajulishe CAF kuwa Tanzania si nchi salama tena kwa maandalizi ya AFCON. Magaidi ya CHADEMA yanaweza kulipua timu zitakazokuja na wageni wengine waalikwa. Tumia Email hii kuwaandikia CAF, attach...
  15. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Wasikilizeni wakenya wanavyo ongea juu ya Polepole na Tanzania yetu

    Inasikitisha sana kwa jinsi Taifa letu linavyo zungumziwa nje ya nchi yetu.
  16. political monger senior

    JamiiForums Tanzania John Heche: AFCON na FIFA waliitenga S.Africa sasa ni zamu ya Tanzania

    Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi. Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi kwenye Nchi? Kiuchumi kwa maana ya wawekezaji wenye mitaji mikubwa, Utalii na wageni wanaokuja Nchini...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Habari wana jamvi, Mimi ni kijana mwenye miaka (27) nlikua vizuri tangu nmehitimu chuo nlikua natrade forex ,kwa miaka mitatu sasa , ila upepo umejigeuka nmepata hasara kubwa ,na sasa Nina tapatap yaani kiufupi sina mwelekeo isitoshe nlipanga nioe mwaka huu, Naona kama ndoto zangu zimekatika...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini majiji ya Tanzania hayana Dustbin za takataka mitaani?

    Kama nimekunywa maji ya chupa au soda take away nimemaliza halafu niko natembea Mwanjelewa serikali inategemea nitupe wapi hiyo chupa ya plastic??
  19. U

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Sitaongea Sana, ila kiukweli nyuzi nyingi Sana zimewekwa kuhusu mada hii, naweka Hoja atakayebisha basi ana shida. Maeneo yenye baridi kabisa nchi hii yapo matatu, kijiographia ni eneo Moja, ila kiutawala na kiukoloni ni maeneo tofauti, ambayo yametengwa na mipaka iliyowekwa na serikali, labda...
  20. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Washiriki maonesho ya 98 ya kilimo na biashara nchini Zambia waendelea kutembelea banda la Tanzania

    Washiriki wa Maonesho ya 98 ya kilimo na Biashara Zambia wameendelea kutembelea banda la Tanzania na kujifunza kuhusu huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya MOI, MZRH pamoja na huduma za Uchukuzi na Usafiri za Mamlaka ya Bandari Tanzania na Shirika la ndege la Tanzania.
Back
Top Bottom