Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,452
Reaction score
14,483
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni wala rushwa naye hataki kutoa rushwa ndiyo msishangae wakina Mama wali punic kwasababu hawajajipanga bado kujua manufaa yao binafsi ya mradi huo maana kila kitu kwao ni deal!
 
.
 

Attachments

  • IMG-20260510-WA0032.jpg
    IMG-20260510-WA0032.jpg
    57.4 KB · Views: 8
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni wala rushwa naye hataki kutoa rushwa ndiyo msishangae wakina Mama wali punic kwasababu hawajajipanga bado kujua manufaa yao binafsi ya mradi huo maana kila kitu kwao ni deal!
No comment 😭
 
Samia anamiliki Tumbo lake tu

Ufisadi is just an illusion unapotapanya pesa kwa kujifurahisha bado zinarudi kwa wanaostahili ila sema bila ridhaa yako

Uongozi ni laana wanayopewa damu ya watu waliokaribu na kufutwa Duniani

Ifike pahala mtu akifanya ufisadi unapaswa umhurumie mbali na kuona wivu

Hakuna ajali duniani kila kitu ni mpango usishindane na nguvu isiyoonekana ili uishi muda mrefu
 
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni wala rushwa naye hataki kutoa rushwa ndiyo msishangae wakina Mama wali punic kwasababu hawajajipanga bado kujua manufaa yao binafsi ya mradi huo maana kila kitu kwao ni deal!
Huyo Magu alishamshtukia.
 
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni wala rushwa naye hataki kutoa rushwa ndiyo msishangae wakina Mama wali punic kwasababu hawajajipanga bado kujua manufaa yao binafsi ya mradi huo maana kila kitu kwao ni deal!
Akili ndigo kuongoza akili kubwa ni shida sana.
 
Tanga Iko more strategic kuliko Mombasa labda kama anatarget soko la Kenya tu, ila kama anatarget soko la Africa Mashariki Tanga ni Eneo sahihi sana
 
Tanga Iko more strategic kuliko Mombasa labda kama anatarget soko la Kenya tu, ila kama anatarget soko la Africa Mashariki Tanga ni Eneo sahihi sana

Umeambiwa sio mambo ya strategy mkuu, ameogopa rushwa na siasa mbovu zisizotabirika!

Hivi ulishasikia bomba la gas la matrilioni toka Mtwara habari zake? Iwe bungeni? Mtaani? Magazetini? Unajua nani analimiliki na nani anafaidika nalo? Nani anajua hesabu zake? Na nani anafanya auditing na anareport kwa nani? Anayejua ni jekee pekee na familia yake
 
Tanga Iko more strategic kuliko Mombasa labda kama anatarget soko la Kenya tu, ila kama anatarget soko la Africa Mashariki Tanga ni Eneo sahihi sana
Kuna watu uelew wao bado ni mdogo sana including wewe. Ni nani mwenye akili timamu akawekeza Tanzania, nchi isiyokuwa na demokrasia, hakuna uhuru wa habari, watu wanatekwa, sheria zinavunjwa wanavyotaka, rushwa etc. Hakun mtu atakayefanya upuuzi wa kuwekeza ata kama Tanzania ni strategic area
 
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni wala rushwa naye hataki kutoa rushwa ndiyo msishangae wakina Mama wali punic kwasababu hawajajipanga bado kujua manufaa yao binafsi ya mradi huo maana kila kitu kwao ni deal!
Timu yenu ya wanaharakati wa chadema wakiwemo maria sarungi,Hilda Newton,kwa uzushi hamjambo
 
Sarakasi alizokutana nazo kwnye kiwanda cha cement anajua yeye na mungu wake kuna muda alitamani akibebe akihamishe yani, nafikri anafikiria huo mtiti atakaokutana nao kwa wanaotolea macho trilion 47, wanaotaka watajirike burebure kbla hata uzalishaji haujaanza
Ameona isiwe shida, ahamishe mahali atakuwa salama
 
Blabla za Tanzania zinaanzia kwa profesa Kitila ...samahani lakini profesa samaki mmoja akioza wote wameoza.
 
Back
Top Bottom