Daniel Aloyce Daniel
Member
- Jun 15, 2019
- 79
- 104
Wana JF, najua tuna wafanyabiashara wengi sana humu JF, leo natamani tujadili kwa kina matatizo yanayowakumba wafanyabiashara na wajasiriamali wengi sana nchini. Kwa upande wangu suala zima la kujua masoko na kutafuta wateja limekuwa msumari wa moto kwa wafanyabiashara wengi na wajasiriamali.
Unakuta mtu ana mtaji ndio, kama kijana anatamani aingie kwenye biashara na ana roho ya biashara au ujasiriamali (future businessperson or entrepreneur) lakini upatikanaji wa connection ni mtihani sana. Na kwa wengine ambao wamekwisha kuanza biashara, machimbo pamoja na wateja ni mtihani sana, sasa basi, leo naomba watu wajadili changamoto pamoja na baadhi ya suluhisho (mawazo) ili wote tujifunze. (no offence)
Unakuta mtu ana mtaji ndio, kama kijana anatamani aingie kwenye biashara na ana roho ya biashara au ujasiriamali (future businessperson or entrepreneur) lakini upatikanaji wa connection ni mtihani sana. Na kwa wengine ambao wamekwisha kuanza biashara, machimbo pamoja na wateja ni mtihani sana, sasa basi, leo naomba watu wajadili changamoto pamoja na baadhi ya suluhisho (mawazo) ili wote tujifunze. (no offence)