Tanganyika tunafeli hatuitangazi Mafia island

Tanganyika tunafeli hatuitangazi Mafia island

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
2,504
Reaction score
6,208
Tanganyika tunafeli sana tuna kisiwa cha kitalii kizuri lakini hatukitangazi , vivutio vilivyopo mafia havina utofauti na Zanzibar lakini hatuweki juhudi kukitangaza kisiwa cha Mafia , sina maana ya ubaguzi mimi ni muumini wa Muungano ila tu nakumbushia pia vivutio vyetu vya bara huku
 
Nchi ya madalali hii, ni Mpaka madalali waamue ndo utaona ikitangazwa...Sisi ndio maana mungu hatujibu maombi yetu, tunaomba Kila siku lakini umaskini ndo unazidi, yaani umepewa Kila neema ya asili halafu bado unamuomba mungu Utajiri, mungu anaona hawa Jamaa ni wapumbavu wa kutupwa.
 
Pengine moja ya sharti la muungano ni kutoitangaza Mafia
 
Tanganyika tunafeli sana tuna kisiwa cha kitalii kizuri lakini hatukitangazi , vivutio vilivyopo mafia havina utofauti na Zanzibar lakini hatuweki juhudi kukitangaza kisiwa cha Mafia , sina maana ya ubaguzi mimi ni muumini wa Muungano ila tu nakumbushia pia vivutio vyetu vya bara huku

Mafia ni Tanzania visiwani Kama mnavyosema , Kuna haja gani ya kuitangaza?
 
Ulisikiaga mtanange wa gas ya upande huo ulivyozua utata

Kuna maeneo hayataki shobo so ukishoboka wanaruka na wewe

Ni ujinga tu na kutokuwa wajanja.. walifanya ujinga wazee wetu leo tunarudia baada ya mateso ya mkoloni, wakoloni walikubali kutusujuia sisi baada ya kuwatumia tukawafukuza


Usimfukuze mzungu nchini mwako mwache ajenge nchi then mpandishie kodi aondoke mwenyewe au akulipe zaidi sisi tumewafukuza nchi imekuwa chafuu na wanatudai mahela kibao

So wanachofanya huko ni kujidai wanaweza na wao wametengwa
 
Badala ya kuitangaza Mafia Island, wanaitangaza Mafia Boxing!
 
Back
Top Bottom