Kutoka Maktaba: Picha Adimu Hazikupata Kuwepo za Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Kutoka Maktaba: Picha Adimu Hazikupata Kuwepo za Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
23,003
Reaction score
33,631
1779303478592.png

1779303584112.png
1779303610597.png
1779303627864.png
1779303646312.png

Mkutano wa ndani wa TANU nyumbani kwa Ali Msham Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa miaka ya mwanzoni 1950

Fatilia ukurusa huu In Shaa Allah nitaweka picha zaidi kila nipatapo nafasi.
Tumia picha upendavyo hazina hati miliki.

1779304022444.png

Picha hii ilipigwa 1942 wakati Abdul Sykes alipokuja Dar es Salaam kutoka mafunzo ya kijeshi Lower Kabete, Kenya kuaga kabla ya kwenda vitani Burma Vita Vya Pili Vya Dunia.
1779304216851.png

Kulia Lawi Nangwanda Sijaona, Abdulwahid Kleist Sykes, Julius Kambarage Nyerere, Waziri Dossa Aziz Ukumbi wa Arnautoglo dhifa ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1956.
1779477116008.png

Kulia ni Ali Msham, baba yake Ali Msham Mzee Msham na aliyekaa kwenye kiti ni Julius Nyerere siku alipoalikwa kwenye tawi la TANU la Ali Msham kupokea fanicha alizotengenezewa na Ali Msham kwa ajili ya ofisi yake New Street.
1779477328915.png
1779477462213.png
1779562060231.png
1779562126160.png
1779562169301.png
1779562199192.png
1779562240634.png
1780078686400.png
1780078728993.png
1780078747398.png
1780078788689.png
1780078806021.png
1780078845458.png
1780078984521.png
1780079035795.png
1780684787788.png
1780684839743.png
1780684873158.png
 
Picha zinaelezea mengi kuhusu wahusika, waume kwa wake wote bila kujali wametoka wapi walikusanyika kwa pamoja
 
Back
Top Bottom