taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Papaa Mobimba

    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani Aandika barua ya Kujiuzulu. Rais Magufuli akiwa anahutubia wakati wa ufunguzi wa nyumba za Askari Magereza, amesema kwamba.. Nampongeza sana Meja Jenerali, Kingu ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuwajibika kwamba ametambua. Na...
  2. S

    Tungekufa ajali mbaya sana kitaifa daraja walipokufa Wajapan pale Moshi kwa ajili ya trafiki kupafanya mradi wa taifa wa kutolea faini!

    Ni sehemu iko katika barabara ya Moshi kwenda Arusha. Kuna bonde kubwa na daraja na huko nyuma Wajapan walikufa kwa ajali mbaya na hata pamejengwa mnara wa kumbukumbu kwa ajili yao. Kutokana na uwepo wa daraja hili na bonde pamefanywa kuwa sehemu ambayo huruhusiwi ku-overtake na sasa trafiki...
  3. B

    Zifahamu faida kubwa 10 za kuwa na kitambulisho cha taifa

    1. Vitasaidia kuongeza wigo wa mapato ya Serikali. 2. Vitasaidia kumtambua mhusika kirahisi anapohitaji kupatiwa huduma katika taasisi mbalimbali kama vile benki, taasisi za mikopo na huduma za afya. 3. Vitarahisisha kuwatambua wakwepaji wa kurejesha mikopo kutoka kwenye benki na asasi...
  4. B

    Rasmi: Mbwana Samatta asaini miaka minne na nusu Aston Villa

    January 20, 2020 Birmingham England NEW SIGNING MBWANA SAMATTA Exclusive haya ni mahojiano ya Mbwana Samatta akiongea na chaneli rasmi ya klabu ya Aston Vill FC baada ya kukamilisha mkataba kuchezea klabu hiyo. Source: Aston Villa FC Habari kamili : Mchezaji wa kimataifa wa Tanzania...
  5. pombe kali

    Wimbo wa taifa uwe lazima mashuleni

    Naandika kwa masikitiko makubwa, ni masikitiko makubwa sana, mtoto anarudi nyumbani kutoka shule amekariri nyimbo zote za kizazi kipya na hajui kabisa kama kuna wimbo wa taifa inasikitisha sana, ukienda kwenye mahafali ya shule za msingi watoto wanawekewa nyimbo za sasa ambazo nyingi zimetungwa...
  6. polokwane

    RC Morogoro awasweka rumande Wakuu wa Shule baada ya shule wanazozisimamia kufanya vibaya mtihani wa Taifa

    Mkuu wa mkoa Morogoro amewaweka rumande Wakuu wa Shule ambao shule zao zimeshindwa kufanya vizuri katika mtihani wa taifa kidato cha pili na cha nne mkoani humo pamoja na kuwavua madaraka ya ukuu wa shule Hatua hiyo imefikiwa hapo jana siku ya Alhamisi tarehe 16/01 2020 kwa kile kilichodaiwa...
  7. Ulimbo

    Kwanini bendera hupandishwa saa 12 asubuhi na kushushwa saa 12 jioni?

    Ndugu wana JF, Ninaswali ambalo nimekuwa najiuliza kwa muda bila kupata jibu. Je ni kwa nini Bendera upandisha asubuhi - saa 12, na ikifika jioni saa 12 ushushwa?. Yawezekana wengi mnafahamu ni kwa nini, hivi msinihukumu kwa kutokujua kwangu, bali mnipe jibu. Nawakilisha.
  8. ubongokid

    Sasa ni hatari kama Taifa kuwa na mfumo wa elimu usiojali. Tutafakari,tujipange

    Naandika haya kama Mtanzania Mzalendo ambaye ninaamini kabisa kwamba Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe na kwa faida za Watanzania wenyewe. Ninatambua kwamba katika hili la elimu kunaweza kuwa na mambo mengi sana ila tukubali tukatae "ELIMU YETU INA MATATIZO MAKUBWA SANA" Baadhi ya...
  9. Jumong S

    Yanga SC yapokea kichapo cha mbwa koko kutoka Kagera Sugar

    Mpk saa hii ni dakika ya 70! Kagera wako mbele Kwa bao 2. Watani zangu mpira hauna mwenyeji! Ligi kuu inaendelea kunoga! FT: Yanga Kala miguu ya bajaji Aina ya TVS Yanga 0-3 Kagera suger! Sent using Jamii Forums mobile app ====== Dar es Salaam. Kagera Sugar imemkaribisha kocha mpya wa...
  10. Babu sea

    Wasio na kitambulisho cha taifa wataruhusiwa kupiga kura Oktoba 2020?

    Kulingana na mambo yalivyo hiki kitambulisho cha taifa kinawanyima watu hadi haki ya mawasiliano kisa tu inashindikana kusajiliwa line zao bila kitambulisho hicho. Wasiwasi wangu ni kuwa, itakuaje kama kitambulisho hicho kitatumika kama kigezo namba moja kwa wananchi kuchagua viongozi wanaowapenda?
  11. B

    NIDA pambaneni Watanzania wapate vitambilsho vya taifa ili tusikose kodi

    Nawapongeza NIDA wanavyopambana kuhakikisha kila Mtanzania anafanikiwa kusajili line yake. Kama mnavyojua mzunguko wa pesa sasa upo kwenye simu kitu kinchopelekea serikali na taifa kwa ujumla kupata kodi kutoka makampuni ya simu. Wananchi watakaofungiwa line zao itasababisha serikali kukosa...
  12. K

    Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

    Hivi inawezekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote. Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
  13. Hazina

    Philip Mpango: Hali ya Uchumi wa Taifa Mwaka 2019 na Tathimini wa Utekelezaji wa Bajeti kwa Nusu Mwaka wa Fedha 2019/20

    December 31, 2019 Dodoma, Tanzania Taarifa kwa Vyombo vya Habari Kuhusu ya Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka 2019 na Tathimini ya Awali ya Utekelezaji wa Bajeti kwa Nusu ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2019/20 By Dkt. Philip Mpango (Mb.) Waziri wa Fedha & Mipango 31 Desemba, 2019 - DODOMA 1...
  14. Erythrocyte

    Uchunguzi: Jinsi watu wanavyoporwa mali zao baada ya mechi kumalizika Uwanja wa Taifa, huku Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikitumbua macho

    " Nitasema Kweli daima fitna kwangu mwiko " Zikiwa zimesalia dk 30 mpira kumalizika vijana wezi , vibaka na majambazi kutoka Keko Magurumbasi , Keko Mwanga , Keko torori , keko machungwa na baadhi kutoka Chang'ombe husogea karibu na uwanja wa Taifa , wengi hujikusanya kwenye njia panda ya...
  15. J

    DC Mtatiro: Marufuku kufanya Sherehe za darasa la saba, fedha za Sherehe wazitumie kuwasomesha wasiwe mzigo kwa Taifa

    Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mh Julius Mtatiro amepiga marufuku sherehe za kuhitimu elimu ya msingi yaani Darasa La Saba wilayani kwake. Mtatiro amesema kuhitimu darasa la saba ni sawa na Sifuri hivyo kufanya sherehe ni kuwadumaza wanafunzi na kuwafanya wawe na mawazo ya kimasikini yatakayoharibu...
  16. Kinoamiguu

    Kwanini jana waumini walilazimishwa kuimba wimbo wa Taifa Makanisani?

    Jana waumini wa makanisa mbalimbali walienda makanisani kuabudu kama ishara ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza muongo/ mwaka. Cha kushangaza wakati ibada inaendelea walilazimishwa kuimba wimbo wa taifa la Tanzania. Haya niliyashuhudia kwenye kanisa la RC Kimara na LILE pale karibu na ofisi za...
  17. T

    Marekani yawawekea vikwazo maafisa wa usalama wa taifa South Sudani kwa kuteka, kupoteza na kuua

    Dong Samuel Luak na Aggrey Idri walitoweka January 2017 Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa ngazi za juu za Usalama wa Taifa wa South Sudan, NSS, kwa kuhusishwa na utekaji na mauaji ya wakosoaji wawili wa serikali ya Rais Salva Kiir miaka mitatu iliyopita. South Sudan imekuwa ikikana...
  18. technically

    Taifa lina Rais gani asiyependa kuongea na wananchi?

    Jamani mwisho wa mwaka baada Rais atokee aongee na taifa atoe matumaini mapya kwa nchi yeye haonekani. Anapenda mpaka awe na jopo la watu wote kufanya uzinduzi wa visima vya shule akiwa live Ila kuchukua hata saa 1 kuongea na taifa na kutoa matumaini mapya kwa mambo ambayo yanaendelea yenye...
  19. F

    Tetesi: Faru Fausta kukaushwa na kuendelea kuliingizia taifa fedha za kigeni

    Baada ya kifo cha kuhuzunisha cha Faru Fausta aliyekuwa moja ya vitega uchumi nchini, sasa inasemekana atakushwa na kuwekwa eneo maalum. Lengo kuu ni kuendelea kuliingizia taifa hela za kigeni kupitia utalii wa ndani na nje na pia utafiti kwa vizazi vya baadae vyenye kuvutiwa na wanyama pori...
  20. Anton mwita

    Taifa limekaa mguu sawa

    Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma. Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30...
Back
Top Bottom