Utaratibu wa level seat usitishwe kama Simba na Yanga watajaza uwanja wa taifa

AbaMukulu

JF-Expert Member
Jan 1, 2018
2,048
3,568
Nimepita uwanja wa taifa na kuona magari ya serikali yakiuza tiketi za pambano la watani wa Kariakoo.

Kwa kiashira hiki ni dhahiri uwanja wa taifa utatapika leo. Hili likifanyika basi marufuku ya level seat ISITISHWE.

Marufuku hiyo iliyochukuliwa kama tahadhari ya Corona itakuwa haina maana yoyote kama serikali imeruhusu watu 60 000 wakusanyike sehemu moja.
 
Kwahio mkuu unataka watu wabanane kwenye daladala, kuliko watu wabanane kwenye daladala heri waongeze nauli kutoka sh 400, mpaka 500 kituo hadi kituo. Maana mfano kwa Sasa kaliakoo-Mbezi nauli yadaladala sh 1000, wakati zamani ilikuwa 600 nafikir hapo unaona utofauti, wakibanana ikarudi sh 600, kunatofauti gani wakiwa one level kwa sh 1000. Haya bana endeleen kubanana na muibiane.

Naleo kwenye mechi wataingia watu elfu 30 tu mkuu badala ya elfu 60.
 
Kwahio mkuu unataka watu wabanane kwenye daladala, kuliko kutoa watu wabanane kwenye daladala heri waongeze nauli kutoka sh 400, mpaka 500 kituo hadi kituo.
Unaruhusu vipi watu 60 000 kubanana sehem moja halafu unapinga watu 35-65 kukaa kwenye daladala moja??
 
Unaruhusu vipi watu 60 000 kubanana sehem moja halafu unapinga watu 35-65 kukaa kwenye daladala moja??
😅😅 Fatilia taarifa kiongozi mbona unataka kunitoa damu, utanitoa roho, leo niwatu elfu 30 tu wanaoruhusiwa, Jambo lamsingi mamlaka iongeze kiwango Cha nuli kufidia watu ambao walikuwa wanasimama, halafu mkuu mbona mnaruhusiwa kusimamisha wanafunzi?. Ukamilishe hesabu ya boss kiongozi.
 
😅😅 Fatilia taarifa kiongozi mbona unataka kunitoa damu, utanitoa roho, leo niwatu elfu 30 tu wanaoruhusiwa, Jambo lamsingi mamlaka iongeze kiwango Cha nuli kufidia watu ambao walikuwa wanasimama, halafu mkuu mbona mnaruhusiwa kusimamisha wanafunzi?. Ukamilishe hesabu ya boss kiongozi.
Tusubiri tuone hiyo 30k itatekelezwaje?
 
Kwahio mkuu unataka watu wabanane kwenye daladala, kuliko watu wabanane kwenye daladala heri waongeze nauli kutoka sh 400, mpaka 500 kituo hadi kituo. Maana mfano kwa Sasa kaliakoo-Mbezi nauli yadaladala sh 1000, wakati zamani ilikuwa 600 nafikir hapo unaona utofauti, wakibanana ikarudi sh 600, kunatofauti gani wakiwa one level kwa sh 1000. Haya bana endeleen kubanana na muibiane.

Naleo kwenye mechi wataingia watu elfu 30 tu mkuu badala ya elfu 60.
Ajabu sana watu wengine
 
Hoja ya ajabu sana hivi unafahamu madhara ya kusimamisha watu kwenye mabasi kwanza bima hailipi watu wakisimamishwa inalipa wanaokaa tu , wizi wa mifukoni , magonjwa ya kubukizwa kama tb, Corona halafu bado mnataka utaratibu ubadirishwe
 
Nimepita uwanja wa taifa na kuona magari ya serikali yakiuza tiketi za pambano la watani wa Kariakoo.

Kwa kiashira hiki ni dhahiri uwanja wa taifa utatapika leo. Hili likifanyika basi marufuku ya level seat ISITISHWE.

Marufuku hiyo iliyochukuliwa kama tahadhari ya Corona itakuwa haina maana yoyote kama serikali imeruhusu watu 60 000 wakusanyike sehemu moja.
Mbona unakurupuka? Aliyekwambia uwanja utajaa leo nani? Muwe mnauliza!
 
Hoja ya ajabu sana hivi unafahamu madhara ya kusimamisha watu kwenye mabasi kwanza bima hailipi watu wakisimamishwa inalipa wanaokaa tu , wizi wa mifukoni , magonjwa ya kubukizwa kama tb, Corona halafu bado mnataka utaratibu ubadirishwe
Corona pekee ndio ilifanya utaratibu ubadilike.
Hizo sababu nyingine viongozi wetu walikuwa hawazitilii maanani.
 
Nimepita uwanja wa taifa na kuona magari ya serikali yakiuza tiketi za pambano la watani wa Kariakoo.

Kwa kiashira hiki ni dhahiri uwanja wa taifa utatapika leo. Hili likifanyika basi marufuku ya level seat ISITISHWE.

Marufuku hiyo iliyochukuliwa kama tahadhari ya Corona itakuwa haina maana yoyote kama serikali imeruhusu watu 60 000 wakusanyike sehemu moja.
Mkuu- utakuwa ulikuwa busy sana maana imesemwa wazi kabisa watakao ruhusiwa ni watazamaji 30, 000 nusu ya uwanja ambao ni 60,000 kwa hiyo social distance imezingatiwa
 
Back
Top Bottom