GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,795
Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu 'Mchakato' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!