dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Nilikwenda Singida kuwasalimu KM BAVICHA Nusrat/ Mwenezi Twaha Mwaipaya, sikuweza kuwaona wanashitakiwa kwa kosa la kuimba wimbo wa Taifa huku wakiwa wameshika bendera ya Chama.
Wote wamenyimwa dhamana, kwani hati ya kiapo cha DPP inasema wao kukaa kwao nje ni hatari kwa usalama. Mahakama inapaswa kulinda haki za Binadamu kwa dhati, kwani ni chombo cha maamuzi ya haki, hofu yoyote juu yake ni mwelekeo mbaya kwa Nchi.
Wanaoteswa wakikata tamaa, mnaotesa mtakuwa kwenye hali mbaya sana. Mateso yakizidi kifo kinapoteza thamani.
Twendeni mpaka mwanzo wa bahari.
Wote wamenyimwa dhamana, kwani hati ya kiapo cha DPP inasema wao kukaa kwao nje ni hatari kwa usalama. Mahakama inapaswa kulinda haki za Binadamu kwa dhati, kwani ni chombo cha maamuzi ya haki, hofu yoyote juu yake ni mwelekeo mbaya kwa Nchi.
Wanaoteswa wakikata tamaa, mnaotesa mtakuwa kwenye hali mbaya sana. Mateso yakizidi kifo kinapoteza thamani.
Twendeni mpaka mwanzo wa bahari.