Usalama wa Taifa msitupotezee pesa zetu kufuatilia wanasiasa

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa.

Huu ni zaidi ya ufisadi! Kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye anashinda kutembee na gari, kulipwa, kuajiri dereva kwa kumchunguza au kuwachunguza wanasiasa.

Tunaomba serikali na wahusika waheshimu pesa ya shida tunayotafuta wananchi na itumike vizuri.
 
Wamewasaidia wanasiasa madikteta lkn Mungu amesimama na nabii aliyemtuma ambaye sasa anaenda kua rais wa jmt
 
Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa. Huu ni zaidi ya ufisadi! kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye anashinda kutembee na gari, kulipwa , kuajiri dereva kwa kumchunguza au kuwachunguza wanasiasa.

Tunaomba serikali na wahusika waheshimu pesa ya shida tunayotafuta wananchi na itumike vizuri.
Kumfuatilia Lisu na Nape Nnauye ilitumika pesa ya mabeberu sio vipesa vyako uchwara.
 
Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa. Huu ni zaidi ya ufisadi! kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye anashinda kutembee na gari, kulipwa , kuajiri dereva kwa kumchunguza au kuwachunguza wanasiasa.

Tunaomba serikali na wahusika waheshimu pesa ya shida tunayotafuta wananchi na itumike vizuri.
Ushauri mzuri.
 
Waache tu waendelee kufuatilia watu watuletee jitu lingine kama Jiwe na sisi hatuchoki kuomba kwa Mungu , wakileta mvunjaji haki za binadamu na muuaji maombi kwa Mungu mpaka kieleweke .
 
Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa. Huu ni zaidi ya ufisadi! Kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye anashinda kutembee na gari, kulipwa , kuajiri dereva kwa kumchunguza au kuwachunguza wanasiasa.

Tunaomba serikali na wahusika waheshimu pesa ya shida tunayotafuta wananchi na itumike vizuri.
Hata risasi zilizotumika kumpiga Lissu ni hela za walipa kodi. Ndio kazi ya hela..kuweni na amani.
 
Back
Top Bottom