kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,289
- 12,582
Wako watu kama akina Mkwawa, Kinjekitile, Isike na wengine ambao waliomwaga damu zao wakati wa kuitetea nchi hii. Kupinga dhuluma na fedheha za kutawaliwa. Lakini wapo Watanzania hadi leo ambao wanamwaga damu zao kuilinda nchi hii na kupinga dhuluma na kutetea misingi ya kidemokrasia na utawala bora.
Kuna ubaya gani kama bendera yetu ikiwatambua mashujaa hao kwa kuongeza rangi nyekundu japo kwenye kamba ya kupandisha na kushushia bendera au Basi hata kwenye mlingoti wa bendera?
Kuna ubaya gani kama bendera yetu ikiwatambua mashujaa hao kwa kuongeza rangi nyekundu japo kwenye kamba ya kupandisha na kushushia bendera au Basi hata kwenye mlingoti wa bendera?