taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Taifa lisilokusanya kodi haliwezi kujiendesha. Awamu hii ya tano inajinasibu kukusanya tri 2. Je, Watanzania wananufaika?

    Bandugu bana Jf, ni wazi kuwa taifa letu linajinasibu kuwa lipo vizuri kimapato. Pamoja na mdororo wa uchumi ulioletwa na Covid 19, leo hii tril mbili zinatinga hazina. Je, haya mapato yanawanufaisha watanzania? Kwamba miundo mbinu, elimu afya na sekta muhimu zimekuwa stable? Leo hii Mtanzania...
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Watanzania hawahitaji mabadiliko ya Katiba ili kulinda miradi mkakati isiyokamilika

    Mbona kila kukicha hapa bongo yanaibuka mapya? Maana katika kupita huku na kule nimekutana na Mbunge mmoja akiomba kama kuna uwezekano basi katiba ya JMT ibadilishwe ili kuwe na kipengele cha kuhakikisha miradi mkakati inayotekelezwa awamu hii ya tano italindwa mpaka ikamilike hata kama rais...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Serikali lawamani kuruhusu Mkusanyiko wa Maelfu kwenye Kilimanjaro Marathon wakati Taifa linapambana na Virusi vya Korona

    Watu walikuwa wengi kwelikweli, ni maelfu ya watu wamekusanyika kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kilimanjaro Marathon. Miongoni mwao wapo ambao hawakuvaa barakoa kabisa, na wamo amabao walizivaa na kuzivua. Mkusanyiko wa mahali hapo ulikuwa ni mkubwa kiasi kwamba kaa kuna wstu wana virusi...
  4. Patrolida

    JamiiForums Tanzania Vijana watano (below 40 years) wanaofaa kwa nafasi ya Katibu Mkuu CCM taifa

    Leo nitawaongelea vijana watano (5) Wenye Umri chini ya Miaka 40 ambao naamini wanafaa kwa nafas hii kubwa kabisa nchini. Nimeona nijadili vijana kwa sababu utawala wa JPM umejielekeza zaidi katika kujenga Taifa imara kiuchumi na vijana ndio nguvu kazi ya Taifa. Inawezekana wasipate lakini...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Je, Shomari Kapombe wa SIMBA SPORT CLUB ajiondoe haraka Taifa Stars?

    Maneno maneno Huwa yanaumba Kapombe sasa yule mkata kamba yako naye kaitwa stars sasa je ni wakati wa kuamini kwamba ile kamba yako ilikuwa inakatwa na yeye? Kama kweli una uhakika kamba yako huwa inakatwa na yule kijana mliyeitwa naye stars ya sasa ni bora ukajitoa kwa maslah mapana ya club...
  6. Shadida Salum

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha Taifa stars chatangazwa

    Kikosi cha Taifa stars kitachocheza michezo miwili ya kirafiki na Kenya tarehe 15 na 18 mwezi Machi. Mchezo wa kwanza wa kirafiki hautohusisha wachezaji wa Simba kwakuwa watakuwa na mchezo wa Klabu bingwa tarehe 16. Baada ya kumaliza mchezo huo watakwenda moja kwa moja mpaka Nairobi kwa ajili...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Botswana: Rais Masisi kuhutubia taifa wiki hii juu ya mwenendo wa janga la Corona

    Rais wa Botswana Dr Masisi ametangaza kuhutubia taifa week hii kueleza hatua inayofuata katika kupambana na ugonjwa wa Corona. Tetesi zinasema Rais huenda akafungulia curfew iliyokuwa imewekwa tangu January mwanzoni ya kutotembea kuanzia saa moja usiku wengine wanabashiri huenda akaruhusu bar na...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Covid-19: Huu mgomo wa Umma kwa Rais wao utaliponya Taifa

    Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume. Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi...
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Sisi Mtibwa Sugar tunataka polisi kuimarisha ulinzi Uwanja wa Taifa kukabiliana na wahuni wa Yanga

    Video ikionyesha wahuni wa Yanga wakiahidi kufanyia fujo marefa kama timu yao itafugwa. Mtibwa Sugar tunatoa rai kwa TFF ishirikiane na Jeshi la Polisi kuweka ulinzi na kutoa kipigo cha mbwa koko kwa wahuni wa Yanga. Tunalitaka jeshi litoe onyo kabisa kabla ya mechi,wahuni wanaokuja na matoeo...
  10. Ms Billionaire

    JamiiForums Tanzania Tuliombee Taifa na Tumuombee Rais wetu

    Ndugu Watanzania wenzangu, wapenda amani wenzangu. Nakuja mbele zenu jioni hii naomba wote kwa umoja wetu tuliombee Taifa letu. Tuwaombee viongozi wetu, Tuombee familia zetu kwa ujumla lakini pia tumuombee Rais wetu Mhe. John Pombe Magufuli. Nimeangalia picha za leo za Mheshimiwa ni kama mtu...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nawahusia viongozi wajao wa Tanzania mambo haya kwa ustawi wa Taifa

    Usije ukajisahau ulipotoka na kukumbuka pasipo kikao cha watu na mashauri ya wazee wewe usingekuwa hapo ulipo. Hivyo uwaheshimu na kuwalinda hata kama kunawalio kupinga huwo ndio muda kuonyesha they was wrong kwa kuwapenda na kuwajali na sio kuwalipiza kisasi hilo ni hatari kwa usalama wa nchi...
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Kama taifa tunaweza kuishi na hili janga la kupata changamoto za kupumua?

    Nimekaa nakutafakari sana juu ya hii changamoto inayotukabili kama taifa. Maana mwaka jana mkuu wa nchi alitoa hofu wananchi kwa kutuambia tujiandae kuishi na huu ugonjwa kama magonjwa mengine. Na alitolea mfano Hiv kipindi inaingia nchini watu walikuwa na hofu hata kushika mikono wagonjwa, leo...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara kutoka mataa ya Chang'ombe (VETA) hadi kona ya Uwanja wa Taifa

    Hii barabara kwa Muda mrefu sana imekuwa ikizalisha foleni kutokana na ubovu wa hiyo barabara. Ukianzia kipande cha kutoka kona ya uwanja wa taifa au ukianzia JKT Kuelekea VETA hiki kipande kimekuwa kikitupatia sana usumbufu sisi Abiria na watembea kwa miguu kipande hiki kinazalisha foleni...
  14. Mpekuzi Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Igunga, Nicholaus Ngassa: Kuna changamoto kwenye Utumishi wa Umma. Wenye ubunifu wanakosa kufanya maamuzi, michango yao inaishia chini

    Sikiliza Video fupi ya Mchango wa Mbunge wa Jimbo la Igunga kwenye kuchangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa Bungeni ======= Akizungumzia suala la Ushirikishwaji katika Utumishi Umma, Mbunge wa Igunga, Nicholaus Ngassa amesema: "Kuna changamoto kwenye Utumishi wa Umma. Tuna Sheria ya Utumishi wa...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa mfariji mkuu wa Taifa hili, Rais John Magufuli

    Kupitia forum hii ya JF naomba kuwasilisha ushauri wangu. kwa mjibu wa katiba yetu Rais wa JMT ndio mfariji mkuu, na kwa msingi huo naomba kumshauri raia namba moja Mh. John P. Magufuli. Rais wetu licha ya kuwa msukuma mwenzangu , yeye pia ni mwana Chato mwenzangu na jirani yangu hivyo kwa...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel, kuzungumza na vyombo vya habari leo 11 Februari 2021

    Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake. Mfahamishe ambaye hana taarifa.
  17. B

    JamiiForums Tanzania Wasomi wenye PhD Tanzania wametupa supplimentary ya Biashara na uchumi: soon Taifa litadisco

    Tulipoanza awamu ya tano nakukusanya wasomi wote mashauri nakuwaingiza wizarani na mashirika ya umma niliamini taasisi wanazoongoza zinakwenda kupiga hatua hasa yakimkakati endapo tu wasomi hao wataacha mentality za lecturers kwenye biashara na uchumi. Miaka michache baadaye walioteuliwa hasa...
  18. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

    DENI la Taifa limefikia Sh. trilioni 59 hadi kufikia Disemba mwaka jana, ikilinganishwa na Sh. trilioni 54.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2019, sawa na ongezeko la asilimia 7.6, huku Bunge likitoa ushauri liwe himilivu. Kati ya kiasi hicho, deni la ndani limefikia Sh. trilioni 16.2 na deni la...
  19. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Serikali na mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2021/22: Serikali inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Sh. trilioni 36.26

    SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2021/22 inatarajiwa kukusanya na kutumia Sh. trilioni 36.26, sawa na ongezeko la asilimia 4.0 ya bajeti ya mwaka 2020/21 ya Sh. trilioni 34.88. Maeneo ya kipaumbele mwaka huu ni kuchochea uchumi shindani na shirikishi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa tufanyeje ili vijana waweze kuhimili madaraka makubwa wanayopewa?

    Vijana wengi tumeaminiwa na kupewa madaraka makubwa sana lakini Madaraka hulevya mno, ukuu tunaopewa unatulewesha na kudhani wengine wasio na madaraka si chochote wala si lolote! Je, kama nchi tufanyeje ili kuondoa hali hii?
Back
Top Bottom