Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Hasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.

Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.

Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.

Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).

Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na awamu zilizopita.

Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
 
Hasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.


Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.

Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.

Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Asad).

Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na katika awamu zilizopita
Stupid! Cooked stories from same people. Tunajua Chadema mliumia na mengi ila hapa hatutoangalia sura bali nani anasimama na ukweli bila hila. Mtaelewa baadae ...
 
Hasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.


Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.

Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.

Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).

Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na katika awamu zilizopita.

Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
 
Bunge hili hili linaloongozwa na Ndungai ambalo na lenyewe ni sehem ya ubadhirifu, ndo liunde kamati? Thubutuuuu.
Ndugai yeye wala hana habari kuwa ndiye msimamizi wa Mhimili wa Bunge. Lenye kusimamia na kuihoji Mhimili wa Serikali. Bali yeye kwa ufahamu wake anafikiri kuwa ndiye Muakilishi wa Serikali Bungeni. Hivyo jukumu lake kuu ni kuitetea na kuilinda kwa nguvu zote Serikali Bungeni.
 
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
We hiyo miradi ndio inakufanya usione hasara zilizotokea chini ya utawala wa Magufuli?Hizo bilion 150 zingejenga madarasa mangapi?

Hizo kashifa zote ulizotaja zinafika trilioni 1.5 ya awamu ya mwendazake?

Wakati hizo kashifa zinatokea, yeye hakuwa sehemu ya hiyo serikali?

Wakati wabunge wa upinzani wanapinga sheria ya gesi kupelekwa Bungeni na kupitishwa kwa hati ya dharura, yeye alisimama upande gani?

Kushabikia hiyo miradi ambayo hata mikataba yake huju, ni uzwazwa na pia ni ushamba wa vitu vya kuonekana machoni.

We utakuwa wa kanda ile tu.
 
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
Hebu jiongeze Mkuu propaganda hazina maana wakati huu wa utandawazi.

Ikiwa bajeti yetu ya chakula ni shs laki moja, nawe ukatutengenezea cha shs 25 elfu tukae kimya bila kuhoji zilipo shs 75 elfu kwakuwa tumekula chakula??? Aliyeiba shs 10 elfu na aliyeiba buku wote ni wezi wana kesi ya kujibu.
 
Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Haujielewi wewe.... Elimu bora kwani unajua serikali inakulipia sh ngapi kwa mtt wako wa drs la 1 - 7?.
 
Hasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.

Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.

Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.

Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).

Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na awamu zilizopita.

Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
This is pathetic , fight the system not the individual dictator, yule aliyekuwa anacheka na kuiba ndiyo mzuri? Hapo ndiyo mnapoteza focus ya upinzani. All these are thieves put by the same system
 
Back
Top Bottom