Ni nani aliyeruhusu Mbowe na Zito kabwe kuongea na taifa wakati mkuu wa nchi akiwa nje ya nchi

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Ama kweli mambo yamebadilika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu Rais Samia aingie madarakani.

Na kwa kuwa Rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? Tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Acha upumbavu. Hili ni taifa huru soma katiba ya JMT ibara ya 18.

Vipi hawajambo Chato? Ndege zinatua hapo au mmeshaanza kufugia mbuzi.
 
Tanzania ni nchi huru na haina tabia zenu za kibabe na kishamba izo. Endelea kuteseka ukiwa chato hapo!
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Wanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv 😂😂😂
Mmesubiri baba aondoke muanze tena matamko ili kumsumbua mama,mtakula viboko tu 🤣😅😅
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Unauliza ujinga ujinga
 
Hawaongei na taifa hao wanaongea na kakikundi ka chache ka watu
 
Angekuwepo, sahivi vile visiafu vyenye kofia nyekundu vingekua standby.....
Kesho wapinzani ndani, faini milioni 10, ahsante Mungu tumezika matatizo!!!
Tumezika tatizo moja na kufufua matatizo ya kitaifa. Muda ndio utatoa ukweli
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kuna kosa gani mtanzania kuongea na watanzania wenzake.
Chatoh timu bana wasiwasi mingiii saana baada ya baba yenu kuondoka!!
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kamuulize marehemu. Maana alidhani hii nchi ni ya mama yake. Huku akitupiga kuliko kiongozi yeyote. Mungu ni mkuu sana. Amuweke anapo stahili.
 
Back
Top Bottom