Kwanini Zitto Kabwe achambue ripoti ya CAG siku ambayo Freeman Mbowe amepanga kulihutubia Taifa?

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.
 
naona unata kuipotezea report ya CAG kiaina kwa kuhamisha upepo.

well umefeli bro..tafuta njia nyingine
 
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa....
Usiwe zuzu wewe mataga! Uchambuzi wa ZZK anaanza saa 6 mchana na presser ya Freeman Mbowe ni saa 9 mchana! Mgongano uko wapi hapo, na bado hata kama vingefanyika sambamba ni rahisi kufuatilia vyote, moja live na nyingine kwenye platform nyingine!
 
Mimi ninachojua tu Zito hana chama Tanzania bara ila chama chake kipo Pemba kama ilivyokuwa kwa CUF. Lipumba kabaki na bendera tu baada ya wenye chama chao kujitoa
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.
 
Naona una hoja hapa mleta mada, naamini Mbowe atazungumzia muelekeo wa taifa kwa ujumla wake baada ya serikali mpya kuingia madarakani, mambo kama utawala bora (uhuru wa kufanya mikutano ya siasa) na haki za binadamu lazima atayazungumzia, ila kama itatokea akazungumzia taarifa za CAG hapo ndipo watakinzana na Zitto, kwa namna moja au nyingine mmoja aweza kupewa attention zaidi ya mwingine.
 
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.
Mkuu mimi sioni tatizo.
 
Mawazo ya Kidikteta bado yapo kichwani kwako


Kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuzungumza lolote na popote,

Wewe unadhan maandalizi haya pamoja na kupata live coverage yamefanyika ndani ya saa 24?

Kwanini Mbowe asiahirishe, yaan umetumia kanuni gani kuamua Zitto ndio aahirishe?

Hata mwingine anaweza akahoji kwanini wahutubie leo Wakati Rais yupo Uganda kuhudhuria tukio kubwa la utiaji sahihi mradi wa Bomba la mafuta?

Demokrasi ina pande mbili uhuru wako binafsi na kuheshimu Uhuru wa wengine
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.
 
Yaani kuingiliana ratiba tu inatosha kuwaachia CCM waendelee kutawala?au una agenda yako binafsi,Hivi wakikusikia ndugu wa Ben Saanane,Mawazo nk waliopoteza ndugu chini ya CCM watakuelewan kweli?
 
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.


Kama unaweza kuvurugwa basi hukujipanga kumsikiliza unaetaka kumsikiliza. My take. Uchambuzi wa reporting ya CAG ni muhimu zaidi.
 
Watanzania tujadili kwa kina kuhusu taarifa zinazosambaa kuhusu Zitto kuchambua ripoti ya CAG kupitia televisheni siku ya leo ambayo Mbowe alipanga kulihutubia Taifa.

Je, hii haina maana ya kuwavuruga watu waliojipanga kumsikiliza Mbowe? Kwanini Zitto asingepanga siku nyingine?

Upinzani Tanzania bado sana, tuwaachie CCM waendelee kututawala.
Mkuu kwani mpaja keo hujajua zitto ni nani? Rudisha kukbukumbu nyuma utagundua huyo ni afisa kipenyo.
 
Zito alitoa ratiba yake, kwamba ni siku gani angechambua hyo ripot ya CAG..,hakuipanga jana..,toka wiki ilyopta niliona akiripot kwenye account yake Twitter.., page za chama chake zimekua zikiripoti pia suala hilo la zito...,
Taarifa ya Mbowe kuhutubia taifa imetoka jana..,kwa mantik hyo Zito hana kosa..,
Mim bnafs kwa mtazamo wangu ninaona kwamba si vyema Mbowe ahutubie taifa wakat huohuo Zito naye awe anachambua Report ya CAG..,kwakua wote ni viongozi wa UPINZANI..,na angalau malengo yao yanafanana...,
Nadhani tusimbebeshe lawama Zito..,kwakua alishatoa taarifa mda mrefu kuhusu adhima yake na si kwamba ana lengo la kupoteza attention kwa mh.Mbowe..,
Viongoz wetu kutoka vyama hv viwil wangetakiwa kuwasiliana mara moja kuona ni kwa namna gan wata-solve hili swala
 
Back
Top Bottom