taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwanahabari Huru

    Ujumbe wa wazi wa Mwenyekiti Bavicha taifa kwa Mhashamu Baba Askofu Methodius Kilaini, Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba

    Baba Askofu salamu. Kwanza nakutakia heri ya Krismas na mwaka mpya. Ninakushukuru pia kwa ajili ya mahubiri/ maoni yako kuhusu mwaka 2020 kama yalivyochapishwa katika gazeti la Mwananchi. Umesema kutokana na changamoto za uchaguzi mkuu wa mwaka 2021 umetaka tusameheane kwa yote yaliyotokea...
  2. Q

    Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni. Stay tuned!
  3. B

    Tujadili ubaguzi; Kwanini viongozi wakubwa wanaoibia Taifa letu awachapwi viboko adharani mbele ya camera?

    Maskini katika nchi yetu akihisiwa kutenda kosa au akituhumiwa kutenda kosa viongozi uchukua vyombo vya habari na Polisi kisha kuwachapa adharani. Matukio haya yamefanywa kwa waalimu, mafundi ,wanunuzi wa vyuma chakavu nk Ukiangalia adhabu hii inavyotolewa ni wazi utagundua inatolewa kwa...
  4. Miss Zomboko

    Mbatia: Uchaguzi uliopita umetuacha uchi kama Taifa. Watanzania wamekata tamaa kwa Siasa zinazoendelea Nchini

    JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema, uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 2020, umelivua nguo Taifa. Anaandika Yusuph Katimba, Dar es Salaam…(endelea). Katika waraka wake wa Kheri ya Mwaka Mpya 2021, alioutoa kwa wanachama wa chama hicho na Watanzania amesema, Taifa limeingia...
  5. Hisha Sorel

    Ndiyo uhuru wa Habari/Kujelezea ni muhimu; Lakini mipaka ni Lazima iwekwe kwa ulinzi wa taifa. Kwanini? Zingatia kisa cha Ukraine

    Mnamo 2013, Wa-Ukraine walikusanyika katika mitaa ya Kyiv kuelezea wasiwasi wao juu ya njia mpya ya nchi yao. Harakati za “Euro-maidan” kama zilivyojulikana, zilipinga msimamo mpya wa Ukraine unaounga mkono Urusi. Rais wa Ukraine, Yanukovych, alisitisha ghafla kutia saini kwa makubaliano ambayo...
  6. Nyankurungu2020

    Mwaka 2021 tuwe na taifa ambalo linatawaliwa kwa kufuata misingi ya sheria

    Habari za mwaka mpya wana JF. Tumeingia mwama 2021 kwa hiyo tunahitaji madalikiko makubwa sana kwenye maisha ya kila siku. Kama taifa tunatakiwa tuwe na taifa ambalo linafuatwa misingi ya utawala wa sheria. Rule of law ina maanisha kuwa hakuna atakaye kuwa juu ya sheria. Hii ina maanisha kila...
  7. MIXOLOGIST

    Nawatakieni heri ya mwaka mpya 2021

    Bandugu, Heri ya mwaka mpya 2021, Mungu awatunze mfikie malengo yenu. Kama una povu siyo mbaya ukalimwaga Stay blessed.
  8. Kinoamiguu

    Namshukuru sana prof. Kapuya kufuta mitihani ya Taifa mwaka 1998.

    Nakumbuka mwaka 1998 kulikuwa na sakata la kuvuja kwa mitihani ya NECTA. Mitihani ilianza Siku ya Jumatatu kwa kuanza na hesabu sikuwa nazijua kabisa na sikuzipenda.nilijiamini kupita kiasi kwakuwa nilikuwa na majibu toka nje na kila mwanafunzi alipata mitihani ile na ilikuwa yenyewe kweli...
  9. M

    Naunga mkono kinidhamu kuachwa kwa Jonas Mkude Taifa Stars, ila kuachwa kipa Mnata na beki Tshabalala sijamwelewa Kocha Ndayiragije

    Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo anaweza Kukuelewa ukisema Kipa wa Yanga Metacha Mnata ( Yanga SC ) na Beki wa Kushoto Mohammed Hussein Zimbwe Jr (Tshabalala ) walistahili Kuachwa (Kutojumuishwa ) katika Kikosi cha Taifa Stars chenye Wachezaji 30 kilichotajwa leo na Kocha Mkuu Ndayiragije. Kama...
  10. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli umelifaa taifa kisiasa na kiuchumi. Sasa ongeza kasi kudhibiti fedha za political vote

    Dkt. John Pombe Magufuli, ni mwamba imara - umefanya mengi mazuri i.e utawala bora, uwajibikaji, miundombinu nk Pamoja na hayo nashauri uangazie sana matumizi ya fedha unazotoa kwa ajili ya mfuko wa self help schemes or political vote. Kwa wasiozifahamu ni kuwa Serikali hutoa:- (a). Fedha za...
  11. Superbug

    Wakuu wa Shule hivi vikao vyenu vya mwisho wa mwaka vina tija kwa Taifa?

    Katika kundi ambalo ni hopeless katika nchi hii kwa mtazamo wangu ni walimu. Hata wakusanyike laki mbili wote nchi nzima watakuja na maazimio hopeless na yasiyo na tija. Jiulize vikao hivi vya kila mwisho wa mwaka na jafo vinatija gani ni ujinga mtupu mkusanyiko wa executives elfu mbili kuja...
  12. TheDreamer Thebeliever

    Napendekeza Namungo iwe timu ya Taifa

    Habari wadau..! Binafsi napendekeza Namungo FC ndio hiwe timu ya Taifa .Au wadau mnasemaje??? Na kwa kuwa mheshimiwa waziri hii timu ndio inatokea kule kwake naamini atalifanyia kazi.
  13. Idugunde

    Tunapokuwa na taifa ambalao halina utawala unaofuata misingi ya sheria tutafika huko tunakoenda?

    Utawala wa sheria unataka viongozi na raia wa kawaida kuheshimu sheria na kuhakikisha wanafanya shughuli zao na kuishi kama sheria zinavyosema. Ibara ya 13(3) iko wazi kabisa kwamba haki za kiraia au masuala yote yanayohusu haki na au uvunjifu wa haki yataamuriwa na mahakama. Kama katiba...
  14. Nyankurungu2020

    Je, kama Taifa tupo salama kuwa na wabunge wenye vyeti feki waliowahi kufukuzwa kazi kwa kufoji?

    Taifa linapokuwa na mkuu wa nchi msemakweli linakuwa ni taifa zuri, maana hamumunyi maneno bali anaweka mambo wazi. Alipokuwa anawaapisha mawaziri wa wa cabinet ya Tanzania mkuu wa nchi yetu alisema kuna mbunge alifukuzwa kazi kwenye paranja la vyeti feki lakini kwa zali la mentali sasa ni...
  15. T

    Huwezi kutawala Taifa kwa hisia, ila kwa hekima

    Hisia nikitu hatari sana moyoni mwa kiongozi. Kiongozi akiwa na hisia Fulani au tawaliwa na hisia moyoni wakati wa maamuzi yake basi mara nyingi maamuzi hayo huwa na athari mbeleni. Hisia nikitu cha hatari kama ilivyo furaha. Ndio maana Una ambia huwezi fanya maamuzi ktk hisia ya furaha au...
  16. The Palm Tree

    Shirika la Bima la Taifa (NIC) kuna tatizo gani? Mbona hamlipi fedha za watu kwa wakati?

    Mimi ni mfanyakazi wa taasisi X ya umma hapa Shinyanga... Nilichukua bima ya elimu (Education Provider With Profit) kwa ajili ya ada ya watoto wangu hapa tawi la NIC - Shinyanga yenye thamani ya Tshs 7,500,000 kwa makato ya Tshs. 62,500 kila mwezi kwa miaka kumi (10) tangu mwaka 2010... Bima...
  17. Nyankurungu2020

    Watanzania Taifa letu lipo kwenye muelekeo mzuri, hatuna budi kulitakia mema Taifa letu

    Ninasikitika sana ninapoona watu hawalitakii mema Taifa lao. Hivi hamjui kuwa tunaelekea pazuri? Kwa nini ubeze mradi kama SGR, JNHP au barabara na miundo mbinu inayoimarishwa? Jamani naomba mtambue, kuna kipindi kama Taifa, tulianguka ndio maana tunashuhudia mambo ya kimaendeleo ambayo...
  18. Mparee2

    Ungependa Serikali ifanye nini kuongeza chachu ya maendeleo ya watu na Taifa?

    Natamani kuona mawazo chanya ya watanzania wakipendekeza nini kingefanyika ili kikidhi matarajio ya ndoto zao na za Taifa. Hapa tuongelee maendeleo/Uchumi, mambo ya kampeni za siasa tuweke pembeni. Kama hoja inahusu mkoa/eneo fulani litaje. Binafsi napendekeza; 1. Vijana wetu wanao maliza...
  19. D

    Serikali ipige marufuku mara moja hizi pyramid schemes kama Q-NET na kamari nyinginezo kwani zinaliathiri Taifa na kuua nguvu kazi ya Taifa

    Kila uchao watanzania wanaumizwa na ghilba zilizobeba miradi hii haram kuwa watapata maisha bora! Ilianza DECI, watu wakakimbilia kama nyumbu. Hadi leo wamekuwa mafukara. Ikaja sasa Q-NET mara FOREVERLIVING, MR KUKU pia ziko kamari lukuki hivi sasa, bila kusahau MIKOPO UMIZA mitaani. Wengi...
  20. Leslie Mbena

    Nani aliyetukosea; Je, aliyeshindwa kuapa au wale waliosaini mikataba iliyogharimu taifa letu. Je, ni Mzumbe University au Dar es Salaam University?

    NANI ALIYETUKOSEA,JE ALIYESHINDWA KUAPA AU WALE WALIOSAINI MIKATABA ILIYOGHARIMU TAIFA LETU,JE NI MZUMBE UNIVERSITY AU DAR ES SALAAM UNIVERSITY!? Leo 18:30hrs 11/12/2020 I really admire Mzumbe University,ina miaka 20 toka ilipobadilishwa Institute of Development Management (IDM Mzumbe) hadi...
Back
Top Bottom