taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

    Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo. Twende kwa mada; Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Corona: Tujitathmini tunavyouchukulia huu ugonjwa

    Mabibi na mabwana heshima kwenu. Siku baada siku tumekuwa watu wa kupokea taarifa za tanzia za watu wazito wazito. Jana huyu, yule nk na leo hivyo hivyo. Si kuwa wale kina wenzangu na miye hawamo kwenye hiki kitim timi. Ama kwa hakika hao ndiyo wanaokufa kwa wingi zaidi kuliko hata hao vigogo...
  3. Jacobus

    JamiiForums Tanzania Timu ya Taifa ya mpira wa miguu haijarejea toka CHAN 2021?

    Nimepitia humu sijaona chochote na pia 'website' ya TFF kimya tena hii haina taarifa ya kitu kinachoitwa CHAN 2021. Nimetafuta hii kutaka kufahamu kama TFF wameamua chochote kuhusu kocha wa timu hiyo kutokana na matokeo mabaya tokea kuteuliwa kwa kocha huyo licha ya haya ya CHAN 2021. Watupe...
  4. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Ili taifa liwe na mwelekeo thabiti lazima kile kilicho ndani ya Katiba kiheshimiwe

    Ili taifa liwe na mwelekeo thabiti lazima kile kilicho ndani ya katiba kiheshimiwe. Ndio maana misingi ya utawala na hata utungaji wa sheria za nchi zetu lazima zirandane na katiba ya JMT. Kile kilichotamkwa na katiba ya JMT ndio mwanzo na mwisho juu ya mustakabali wa suala lolote. Leo hii...
  5. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kivuli cha Rais Magufuli kitalitesa taifa na kitamtesa Rais ajaye

    Ni wazi kwamba kwasasa Rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa. Nadhani Rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa Nyerere aka mchonga Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa...
  6. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli unatawala taifa lisilo na haki, leo ulipaswa kuondoa mfumo kandamizi unaonyima haki wanyonge

    Leo Rais wetu wa JMT amehudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya mahakama kuu hapa nchini. Kauli mbiu ya kudhimisha miaka 100 ni kujenga nchi inayozingatia haki, udugu na amani katika kuleta ustawi wa jamii. Mimi binafsi nilitarajia kama mkuu wa nchi ulienda kwenye haya maadhimisho, je...
  7. Shayu

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kwa taifa lolote ni kujitegemea kwake, huwezi kujitawala kama hujitegemei

    Maendeleo yote ya binadamu yametokana na gunduzi alizofanya, kwahiyo tunapozungumzia maendeleo ya binadamu hatuwezi kuepuka kuongelea gunduzi alizofanya na ukuaji wa kiakili wa jamii husika. Huu ugunduzi na uzalishaji mali ndio ulikuwa chimbuko la maendeleo na biashara katika jamii nyingi...
  8. Sibonike

    JamiiForums Tanzania Maoni: Kaseja staafu Taifa Stars

    Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kuwadhibiti waganga wa kienyeji na wapiga ramli chonganishi?

    Ukikaa chini na kufikiri sana, unashanga kwa namna ambavyo tumekuwa ni taifa la ovyo, linaloruhusu mambo ya ovyo kufanywa ovyoovyo na watu wa ovyo. Tunalo jeshi la Polisi, tunao Usalama wa Taifa, tunao watu wa makosa ya mtandao, tunao TCRA, lakini ETI hawaoni ujinga huu, ni mambo ya ovyo sana...
  10. S

    JamiiForums Tanzania John Fisso na Makika Kasuga hawa ndio walioliua Shirika la Chuma la Taifa

    Awali ya yote kwanza nilipongeze Gazeti la Mwananchi kwa kazi nzuri sana juu ya uchunguzi wa kina katika kujua chanzo cha kifo cha Shirika la Chuma nchini , binafsi nimesoma matoleo yote mawili yaani toleo la Jumatano , Januari 27 na toleo la pili Januari 28 , 2021. Shirika la Chuma...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kauli zako Rais zitalitesa Taifa kwa muda mrefu, jaribu kupunguza hisia weka busara zaidi

    Pamoja kuwa wewe ndio Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya taifa letu. Huna budi kukumbuka miiko ya kiti chako, nakukumbuka kauli zako iwe ni kwa uzalendo au ni kwa upendo mkubwa kwa watanzania basi huna budi kuzichambua na kuzitafakari kwa kina kabla ya kuzitamka. Mh Rais unaliumiza taifa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa, viongozi wetu wasituchukulie sisi kama watoto wadogo

    Mabibi na mabwana sisi ni taifa na kama taifa cheo ni dhamana tu. Kiongozi yeyote kwa uongozi wake ni muhimu akazingatia ukweli kuwa kwa dhamana aliyo nayo si kuwa sasa eti ndiyo anayo fursa kamili ya kufanya au hata kusema lolote kwa kuwa tu eti dhamira yake itakuwa imemtuma huko. Rais wetu...
  13. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Mali iliyoko Singida ni utajiri kwa watu wake na Taifa

    Wakuu, Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida 1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege. 2. Zao la...
  14. Leslie Mbena

    JamiiForums Tanzania Nini tatizo la Taifa Stars kushindwa kila mechi?

    NINI TATIZO LA TAIFA STARS KUSHINDWA KILA MECHI!? Leo 12:30hrs 24/01/2021 Nakubaliana na kila Mtanzania kwa 100% na ukizingatia nchi kama Zambia,Namibia,Guinea, Zimbabwe,Rwanda,Burundi,Kenya,Uganda na Burkina Faso tupo sawa tu kiuchumi tena tunaweza kuwa tumewazidi idadi ya watu ikiwa wao wapo...
  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Taifa Stars imeshinda kwa kudra za Mungu tu, haikustahili

    Huu ndio ukweli unaofichwa, shukrani zimwendee Mwenyezi Mungu pekee, baada ya Stars kufunga goli, dk zote zilizosalia tumepumulia mashine, kuna wakati nimeshangaa wachezaji wa Namibia kukosa magoli ya namna ile mbele ya difensi yetu mdebwedo kiasi cha kushangaza na kuleta maswali ya kutaka kujua...
  16. M

    JamiiForums Tanzania TFF, Benchi la Ufundi la Taifa Stars huko CHAN 2021 nimeshamaliza Kazi kwa Kikosi hiki Namibia leo na Guinea Wiki ijayo wanakufa!

    ANGALIZO Tafadhali kisibadilishwe na pia Kicheze kama ambavyo nimekipanga kwani Kiunyangindo kimeonyesha Mafanikio na tutashinda mechi zilizobakia. Kikosi cha Kuanza kiwe hiki tu.... 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Yassin Mustafa 4. Ibrahim Ame ( kama bado hajapona aanze Dickson Job )...
  17. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran kuishtaki TV ya taifa afidiwe kwa kutukanwa

    Mzuka wanajamvi! Rais wa Iran Hassan Rouhani ana mpango wa kuishtaki 'TBC' ya Iran Iran Broadcasting Corporation (IRIB),kwa kumtukana na kumkosea heshima. Rais huyo ambaye anafahamika kwa upole amekereka sana na kuhuzunika baada ya kuambiwa eti anatumia na kuvuta madawa ya kulevya akiwa...
  18. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Wamarekani na wazungu wasituingilie mambo yetu ya ndani, sisi ni Taifa huru

    Kauli hii Ni maarufu Sana kwa VIONGOZi wa awamu hii ya tano muhula wa pili."Mabeberu wasituingilie katika mambo yetu ya ndani, kwani sisi ni Taifa huru, uchaguzi ulikua huru na wa haki, Kama mtu hajaridhika aende Mahakamani" Haya maneno yanasemwa Sana na Watawala kutoka CCM ya kizazi hiki. Ila...
  19. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Je, kila Taifa lina shetani wake analiongoza?

    Ukisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika aliyekuwa ametumwa kuleta majibu wakati analeta akakutana na mkuu wa ufalme wa Uajemi, wakaanza kupigana...
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kuliombea mabaya Taifa letu haisaidii Upinzani kukubalika hapa Tanzania

    Kuna kasumba mbaya sana imejengeka ndani ya wafuasi na Wanachama wa Vyama vya Upinzani kuwa na akili mbovu ya kuwa wanalitakia mabaya taifa letu, kisa tu wao wamepoteza mvuto wa kisiasa hapa Tanzania. Ikumbukwe kuwa kama Upinzani ungekuwa unakubalika hapa Tanzania na upo ndani ya mioyo ya...
Back
Top Bottom