britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ni wanasiasa gani umewai kutana nao Live na Mliongea nini Mkashauriana nini.
Mwaka 2003 nilikutana na Mzee Hassan Mwinyi kabla sijaanza kufanya kazi na serikali kwa Ukaribu, tuliongea Mengi na nikamkumbusha mambo Mengi ya Nyuma ya History yake binafsi ambayo Wengi hawajui kwakuwa niliipata kutoka kwa Mlinzi wake wa Karibu, alifurahi sana.
Mwaka 2005 kabla ya kupita kugombea Jakaya Kikwete tulikuwa tunakutana naye kwenye Kamati fulani ambayo alizoea kutuambia perform better than yesterday but less than tomorrow.
Mwaka 2011 Nimekutana na Mzee Mkapa Rwanda alikwenda kwenye Masuala ya ishu za kushauri huko Rwanda, Huyu mzee alikuwa na mawazo safi Sana na alikuwa na maono ya Mbele kuhusu AFRIKA na TANZANIA Ila nilichogundua aliogopa sana CCM kutoka madarakani.
Mwaka 2013 na 2014 nilipokuwa naenda TANZANIA Mzee hayati Magufuli tumekutana Sana na mawazo mengine Mengi ni chanya, Ila hayo machache ambayo ni hasi yalikuwa na Madhara makubwa mno.
Mzee Sarungi, ni rafiki yangu sana, ukimsikiliza Sarungi alafu ukamsikiliza Maria utashangaa ,wote ni wazalendo ila Approach ziko against each other.
Mzee Pinda Tokea akiwa ofisi ya rais he was very Humble na mtu mnyenyekevu, anapenda utani Kama alivyokuwa Samweli Sitta ila...
Kiongozi ambaye sijabahatika kukutana naye ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Lukuvi, Masilingi hawa wote nimekaa nao sana pale Bukoba Lukuvi akiwa Mkuu wa Wilaya, akili anayo sana na Maono japo walisema shule kaunga unga.
Je, wewe umewai bahatika kukutana na kiongozi yeyote wa Taifa Hili na wapi na umepata kuongea naye kuhusu nini na mtizamo wake uliuonaje?
Mwaka 2003 nilikutana na Mzee Hassan Mwinyi kabla sijaanza kufanya kazi na serikali kwa Ukaribu, tuliongea Mengi na nikamkumbusha mambo Mengi ya Nyuma ya History yake binafsi ambayo Wengi hawajui kwakuwa niliipata kutoka kwa Mlinzi wake wa Karibu, alifurahi sana.
Mwaka 2005 kabla ya kupita kugombea Jakaya Kikwete tulikuwa tunakutana naye kwenye Kamati fulani ambayo alizoea kutuambia perform better than yesterday but less than tomorrow.
Mwaka 2011 Nimekutana na Mzee Mkapa Rwanda alikwenda kwenye Masuala ya ishu za kushauri huko Rwanda, Huyu mzee alikuwa na mawazo safi Sana na alikuwa na maono ya Mbele kuhusu AFRIKA na TANZANIA Ila nilichogundua aliogopa sana CCM kutoka madarakani.
Mwaka 2013 na 2014 nilipokuwa naenda TANZANIA Mzee hayati Magufuli tumekutana Sana na mawazo mengine Mengi ni chanya, Ila hayo machache ambayo ni hasi yalikuwa na Madhara makubwa mno.
Mzee Sarungi, ni rafiki yangu sana, ukimsikiliza Sarungi alafu ukamsikiliza Maria utashangaa ,wote ni wazalendo ila Approach ziko against each other.
Mzee Pinda Tokea akiwa ofisi ya rais he was very Humble na mtu mnyenyekevu, anapenda utani Kama alivyokuwa Samweli Sitta ila...
Kiongozi ambaye sijabahatika kukutana naye ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Lukuvi, Masilingi hawa wote nimekaa nao sana pale Bukoba Lukuvi akiwa Mkuu wa Wilaya, akili anayo sana na Maono japo walisema shule kaunga unga.
Je, wewe umewai bahatika kukutana na kiongozi yeyote wa Taifa Hili na wapi na umepata kuongea naye kuhusu nini na mtizamo wake uliuonaje?