story

  1. M

    JamiiForums Tanzania SoC04 Dhamira ya Tanzania miaka 5 - 25 ijayo

    Hili ni suala dhamira ya kuelekea mustakabali wa Tanzania katika miaka 5 hadi 25 ijayo. Kwa muhtasari, maudhui muhimu yanayoweza kuzingatiwa ni: 1. Maendeleo endelevu na upatikanaji wa rasilimali: - Kuchambua mikakati ya kutumia rasilimali za asili kwa njia endelevu na kuweka mipango ya...
  2. Gambino X

    JamiiForums Tanzania Wazo La Kukuza Uchumi kwa Wakulima an Vijana

    Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko. Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
  3. P

    JamiiForums Tanzania SoC04 Uwekezaji wa vijana

    Napenda kushiriki katika story of change kwa kutoa mawazo, mapendekezo na maoni yangu juu ya Tanzania tuitakayo. Yapo mengi ambayo ningependa kuyazungumzia katika mada hii lakini ushiriki wangu utaangazia zaidi juu ya suala la Uwekezaji kwa Vijana. Nini maana ya uwekezaji kwa vijana? Uwekezaji...
  4. Endasak Masqaroda

    JamiiForums Tanzania The interesting story about two friends-Japanese and African

    An African businessman visited Japan and he was impressed by their systems, so asked his Japanese host: How come you are all so smart and were able to build such a country? The Japanese man replied: actually you, Africans are smarter. The African surprised: how come? The Japanese replied...
  5. Uncle Mabiki

    JamiiForums Tanzania Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    Karibuni kwenye simulizi yangu ya maisha yangu ya kweli,Yenye Mapenzi na uchawi juu yake. Story inaanza mwaka 2018 nikiwa mwaka wa kwanza pale udsm main campus,mwaka huo nilikuwa mwaka wa kwanza,nilikuwa nakaa hostel za chuo pale mabibo hostel block D ,basi maisha yalikuwa yanasonga tu...
  6. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania's Green Revolution: A Story of Hope and Resilience

    The Crisis and the Promise The sun beats down on Mwanahamisi's weathered face as she surveys her farm, a stark reminder of the agricultural crisis gripping Tanzania. Once vibrant fields are now cracked and parched, a consequence of decades of unsustainable farming practices and a changing...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania SoC04 Njia ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana waliosoma na Wasiosoma na kuongeza pato la taifa nchini Tanzania

    Ajira ni tatizo kubwa linalozikumba nchi nyingi duniani, tatizo hilo linajulikana kama (Global Problem) likiwa na maana ya tatizo la kidunia. Kutokana na ripoti iliyotolewa na Decent Job for Youth 2024, inaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 13.3% ya vijana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 35...
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TRUE STORY: Historia ya maisha yangu na jinsi ambavyo nilitaka kujiua

    Habari za muda huu wana JF, natumai ninyi ni wazima wa afya na kama kuna mgonjwa kati yenu basi mwenyezi mungu amponye. Bila kupoteza muda tuje kwenye mada husika iliotuleta hapa kwenye huu uzi. Tuvumiliane jamani kwa changamoto zozote za kiuandishi kama zitajitokeza kwani sio fani yangu bali...
  9. Abana

    JamiiForums Tanzania SoC04 THE TANZANIA WE WANT: Amina Success Story during Education Summit 2024

    “It was the morning” Once upon a time in the vibrant and diverse landscape of Tanzania, there existed a young woman named Amina. Amina hailed from Katunguru a remote village found in Kibondo District in Kigoma Region where educational opportunities were scarce, and dreams often succumbed to the...
  10. mkalamo

    JamiiForums Tanzania Miracle: Acharya Krishnam hails first Hindu Temple of UAE, praise PM Modi for taking India story to the world

    Coming out in more praise of Prime Minister Narendra Modi for spreading the word on India's growing global profile and prestige in the far corners of the country on the campaign trail for the Lok Sabha elections, expelled Congress leader Acharya Pramod Krishnam said the construction of the BAPS...
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania SoC04 Kodi Zinazowezesha Maendeleo (Taxes for Progress); maoni kwa Waziri wa Fedha

    Mheshimiwa Waziri wa Fedha, Tanzania yetu ni nchi yenye amani tele na yenye fursa nyingi za uwekezaji. Tuna rasilimali nyingi muhimu, uchumi imara na uwezo wa teknolojia. Hata hivyo, kwa bahati mbaya, wawekezaji wa kigeni wanahofia kuja kuwekeza hapa nchini kutokana na kodi nyingi na ngumu...
  12. masai dada

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukutana na mtu anachekesha sana bila kutumia nguvu?

    E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha, angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana. Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani...
  13. Hamad yusuph

    JamiiForums Tanzania The Night of Scary: Story chapter two

    Tulipoishia ni pale mzee soni kuona moto ukipamba sana katika nyumba ya justin (Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea wapi…?,machozi mengi sana yalimtoka justin Justin) haiwezikani lazima nikamtoe mke wangu maindra. Justin...
  14. Saint_Mwakyoma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Love story of short broke black man

    Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi 1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini 2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu) #upambanaji mwingi 3. Black(weusi) Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk). Kwa maana...
  15. Abdul Said Naumanga

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hans Poppe na wenzake walitaka kumpindua Mwl. Nyerere? (SEHEMU YA 1️⃣)

    HATIBU GADHI & OTHERS versus REPUBLIC, 1996. Karibu katika sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa kina wa kesi hii ya kihistoria yenye mengi yaliyojificha ama yasiofahamiwa na watanzania wengi wa kizazi cha sasa. Katika makala hii ya kusisimua tutachambua kwakina kwanzia historia ya wahusika (hasa...
  16. Mjanja M1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani sijakualika Idd kwanini hauondoki kwang? story haziishi

    Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika? Jirani kwanini unakuwa hivi lakini? Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.
  17. G

    JamiiForums Tanzania True story: Mzazi ukiogopa kumlipia mtoto ajifunze kuogelea chini ya uangalizi jiandae kwa lolote mtoto akienda mtoni / beach kuogelea bila uangalizi

    maji yana hatari lakini ni vema kuipunguza hatari hii kwa kujifuunza kuogelea, kuna watu wanakufa maji kwenye mafuriko kwa kushindwa kuogelea, meli zinpinduka ufukweni kuna abiria wanakufa maji kwa kushindwa kuogelea, watu wanaozama wanashindwa kuokolewa saabu anaeshuhudia hawezi kuogelea, n.k...
  18. D

    JamiiForums Tanzania Story za Mayele kuteseka Pyramids FC. Sababu ni hii

    alot of financial drama.
  19. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Story za ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni danganya toto

    Hizi hadaa ambazo uongozi wa Yanga pamoja na GSM wanaendelea kufanya kuhusiana na ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni geresha tu ambazo hazitakuja kuzaa matunda yoyote zaidi ya kuwapotezea muda wapenzi, mashabiki na wanachama wa Deportivo de Utopolo. Pale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa...
  20. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Story ya Kambona ipo kwenye kitabu cha kina Shivji

    Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma. Baadhi ya Mikasa yake Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku...
Back
Top Bottom