FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Kwakuwa Usalama wa Taifa ni kama kinyonga wanafiti popote,basi wangevaa uniform za shule ya msingi na sekondari na kuingia madarasani kama wanafunzi ilimradi tu wawe wanajulikana na walimu ili wasichapwe kuzuia matukio ya walimu wanaochapa ovyo kwa kuripoti mapema kwa maafisa elimu na kukaa mabwenini kama wanafunzi.
Mimi mwenyewe nilifeli hesabu Leo nikiambiwa rudi form three kusoma hesabu narudi japo Nina miaka 36,raha tu.mchango wenu jamani.
Mimi mwenyewe nilifeli hesabu Leo nikiambiwa rudi form three kusoma hesabu narudi japo Nina miaka 36,raha tu.mchango wenu jamani.