Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,033
Familia nyingi zinateseka na watoto sababu ya kuachia kila kitu mabinti wa kazi
Wako leo hii waliojisahauu na sasa mabinti wakazi wamekuja sec wife na hawana nguvu ya kuwaondoa anaelipa mume kumbe ni kwa ujinga wako mwenyewe
Turudi kwenye màda kifupi ningeombà mjitahidi watoto wenu kabla ya kwenda shule msali nalo
Wengine mtajiuliza msali nn kwani awajui kusali
Apana wanajua
Ipo nguvu maalum ya maombi kwa wazazi juu ya watoto wao
Kemea mapepo yanayosumbua watoto wasielewe mashuleni
Wafundishe mwanao wakaingia darasani tu wasali pia kufungua ufahamuu waoo kufungua nafsi zao
Waombee waende salama na kurudi salama
Waombee wawe na heshima kwa wakubwa na wadogo zako
Kubwaa kabisaa waombee wamjuee mungu wamshike Mungu wawe na hofu ya mungu milele
Hii itawasaidiaa kutofautisha mema n lipi baya n lipi la shetani
Tuombe
Mungu mwenyezi ahsante kwa kutupa uhai ahsante kwa nafasi hii tena ya kukutukuza wewe tunaomba uwalinde na kuwahifadhi watoto wetu na roho zote mbaya za yule muovu shetani
Wape hofu yako wakujue wewe wakatende yale mema yanayokupendeza wewe tunaomba na kushukuru
Amen
Wako leo hii waliojisahauu na sasa mabinti wakazi wamekuja sec wife na hawana nguvu ya kuwaondoa anaelipa mume kumbe ni kwa ujinga wako mwenyewe
Turudi kwenye màda kifupi ningeombà mjitahidi watoto wenu kabla ya kwenda shule msali nalo
Wengine mtajiuliza msali nn kwani awajui kusali
Apana wanajua
Ipo nguvu maalum ya maombi kwa wazazi juu ya watoto wao
Kemea mapepo yanayosumbua watoto wasielewe mashuleni
Wafundishe mwanao wakaingia darasani tu wasali pia kufungua ufahamuu waoo kufungua nafsi zao
Waombee waende salama na kurudi salama
Waombee wawe na heshima kwa wakubwa na wadogo zako
Kubwaa kabisaa waombee wamjuee mungu wamshike Mungu wawe na hofu ya mungu milele
Hii itawasaidiaa kutofautisha mema n lipi baya n lipi la shetani
Tuombe
Mungu mwenyezi ahsante kwa kutupa uhai ahsante kwa nafasi hii tena ya kukutukuza wewe tunaomba uwalinde na kuwahifadhi watoto wetu na roho zote mbaya za yule muovu shetani
Wape hofu yako wakujue wewe wakatende yale mema yanayokupendeza wewe tunaomba na kushukuru
Amen